Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikumbukwe kwamba US hawana rafiki au adui wa kudumu, wapo KIMASLAHI zaidi
Umeanza vizuri sana bandiko lako lakin mkuu umeshindwa kulimalizia kwani suluhisho lako ni tofauti na maudhui yako. Pole sana.
Kifupi nchi za Kiarabu zimeshagundua njama za nchi hizi za magharibi za kutaka kuzifarakanisha na viongozi na nchi kwa nchi ili damu imwagike,
Gadafi ni Gemedari na Kanali ndani ya jeshi tumwache tu awamalize wale vibaraka wa nchi za magharibi ndani ya Libya na kuendelea na utawala wake uliotukuka.
nashangaaaa. Pilipili yaliwa shamba au UK, USA na nchi za EU zinawawasha nini kama si kiherehere.
..mtu wa maudhui na umaliziaji.... wakati nikiamini mipasho ruksa, maana ndo wapinga mageuzi mnayotumia kila mara siku hizi-mpaka ikulu, nahamaki kukubaliana na wewe kwamba wanaokufa ni wageni wa kutoka nchi izo zenye (niruhusu nikunukuu) "viherehere". Infact wenye viherehere yapaswa tuwaite haohao walibya wanaolishwa, kuvishwa, kuozwa na kupumulishwa bure wkt huohuo wanaMPINGA huyo anaewapa vyote hivyo? Ku-make sense inahtaji uwe na sense pia, in the first place!
Nina hakika wewe enzi za mkoloni ulikuwa bado hujazaliwa!...(bora tungebaki kwa mkoloni).
Punguza jazba. Matumizi ya lugha namna hii yanakushushia hadhi kwa jamii!Na kama huna la kuandika basi kachukue kopo ukachambe.
Elewa kuwa shoka haliwezi kukata miti bila kuwekwa kipande cha mti yaani Mpini.
Sasa gadafi lazima awamalize hao vibaraka ndani ya walibya wanaoleta machafuko nchini mwake.
fahamu kuwa haijawahi kutokea kuwa na wakimbizi ndani ya Libya lakini sasa hao mamluki wametia doa ni lazima watafutwe kwa udi na uvumba na kisha wauwawe hata nchi mabwana zao za magharibi zikiwatetea ni lazima wafe tu.
Hongera sana Gadaffi.
anadai ni za serikali ya libya
uchochezi upi??Gaddafi ni miongoni mwa viongozi wanaoongoza vyema watu wake, na pia ni mwanademokrasia na mwanamapinduzi
daima nchi za magharib na ulaya huchochea ugomvi kwa maslahi yao. na hasa kwa vile pale pana mafuta
ila nnaamini gaddafi kwa hili atapita salama
Ficha upumbavu wako.
Na kama huna la kuandika basi kachukue kopo ukachambe.
Na hiyo Nyambizi yenye Ndege za kivita zinazoweza kuzuia ndege nyingine kupaa ktk anga tofauti la kimataifa niya nani?
Usikurupuke tu kuandika ushuzi, hapa sio Facebook
Kwenye shuzi la Ivory Cost wako kimyaaa...
Ila kwa Muammal ona walivyo na kihelehele
wewe amini unachoamini na kufahamu na sisi tuachie tuendelee kuamini tunachofahamu.....hatulipwi kuisingia USA wala kumtetea Gadaffi,hii ni forum tunabadilishana mawazo na ku=share tunavyoona mambo......kwanini marekani inasaidia mapinduzi kwenye nchi zenye mafuta tu?
inategemea unalichukulia vipi neno gaidi ila miaka ya 70 na 80 gaddafi alikuwa ana bankroll the so called wanamapinduzi kwa mfano black september, jamaa walioteka ndege ya air france wakaipeleka entebbe, carlos, vikundi vingine vidogo vidogo. Alimpa idd amin msaada wa wanajeshi, fedha na zana za kivita ili atupige kwa sababu gani siju.Samahani mkuu una assume mimi ni muislam? kama ni ndio naomba niombe radhi.
sidhani kama gadhafi ni Gaidi au inawezekana sijui maana ya Gaidi wana jamvi watanisaidia maana.