The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

'Kafa' huo ndo ukweli, nipo live aljazeera. Kuna mambo najifunza hapa kupitia tukio hili kubwa la kuuwawa kwa dikteta huyu wa libya...kwanza kwa hapa tanzania kuna viongozi madikteta waliojificha chini ya mwamvuli wa chama. Kumbuka Ccm imekaa madarakani tangu uhuru kwa miaka 50. Mi8 zaidi ya gadafi,hivyo tunawahitaji kuwapumzisha. Pili,walioendesha mapinduzi huko libya,95% ni vijana. Tunahitaji vijana kwa ajili ya ushindi 2015. 85% ya vijana wote waliokuwa chini ya chama/kikundi walivalia magwanda na walionyesha ishara ya vidole viwili(alama ya chadema) na walionekana wakichoma bendera ya gadafi ,ambayo inarangi ya kijani(ccm?!) kushehekea ushind4 walioupata leo. Tofauti ni kuwa wao walibeba bunduki cc tutabeba shahada kwa ajili ya kura...ccm hili wanalijua, hatuitaji tena udikteta kwa mgango wa chama. Ona huu kama c udikteta. Riz1,Hussein mwinyi,karumekenge,na upuzi wa aina ya akina Nape,wote wanapanda juu kupitia mgongo wa baba(chama) zao/chao,kama ilivyo kwa watoto wa madikteta kama museveni,gadafi,mubarak hata sadam husein. Vijana tuamke!
 
I feel sory for gaddafi,aliwafanyia kila kitu mpaka wazungu wakamaindi
 
Baada ya kutawala miaka 42 unafikiri alistahili kuongezewa miaka mingapi kwa uchache.
Wlibya wangeamua wao na sii nchi za Marekani na wafuasi wake. Jiulize ni kwa nini Uingereza, Marekani na Ufaransa walipeleka majeshi yao kuwasaidia waasi Libya kama sio kwa maslahi ya kwao?
 
Hiyo ya kanzu ni ya zamani!
Kama kweli kafa,basi wanatengeneza mazingira ya kipropaganda ukiona hayo ya conflicting photos just as in conflicting news!

Msemaji wao mmoja mzembe kweli.Anasema walimkamata akiwa hai lakini amekufa kwenye fire fight.Sasa sijui hiyo firefight ilikuwa ya kumlinda asitoroke ama ni ile moment ya kumkamata!

Mi nadhani walimmalizia kwasababu consequences za yeye kukamatwa alive ni kubwa zaidi kama akikamatwa dead.

Ndo maana Obama aliwaambia wale seal 6 team kuhusu mission ya Bin Laden.Just kill!

I think same fate for Gaddafi.

Kwa jinsi walivyo hamnazo hao magaidi,basi habari zote hizi bado zinahitaji kuwa excersized carefuly.Hawa watu hawako stable kabisa.

Especially na news ambazo hata kama zina ukweli mara nyingi ziko rigged with massive propaganda!
 
Hili siyo suala la imani. Ni suala la ukweli ama uongo. Mpaka sasa sijajua kama ni kweli kafa au la!

Wewe unaamini kafa au unajua kuwa kafa?
Ndugu yangu kuamini si lazima uguse tuliamini Sadam kanyongwa hatuwepo wakati ananyongwa...ukitaka kuamini zaidi Al Jazeera wameonyesha live video inaonyesha Gaddafi alivyokamatwa na kuchinjwa kwa kisu nimeshidwa kuirekodi ilikuwa fupi sana nafikiri watarudia kuionyesha.
 
Ghadafi! Lying in the street, dead, in his home town. In the country he ruled for 42 years. What a tragic end for him. Hayo ni maneno ya mtangazaji wa al jazeera.

Sasa nchi nafiki zilizokua zinaona aibu kuwatambua NTC watajitokeza waziwazi kuwatambua
 
I feel sory for gaddafi,aliwafanyia kila kitu mpaka wazungu wakamaindi

A gold-plated gun, said to have been owned by the former Libyan leader, has been brandished by those who say he has been captured.
 
R.I.P
Chakushangaza ni kwamba kwanini hakuvaa BULLET PROOF?
 
Grainy video footage has been circulating among NTC fighters appearing to show Col Gaddafi’s corpse.
AFP news agency reported that the video showed a large number of NTC fighters yelling in chaotic scenes around a khaki-clad body, which has blood oozing from the face and neck.

Video of how Col Gaddafi was killed | Kampala 24/7
 
Tena nadhani ni heri hata wangemwacha Gaddafi na kumfyagia Kikwete kwani Gaddafi pamoja na ubabe wake wote alijitahidi kuijenga Libya na pia alikuwa mwenye kuweza kutoa maamuzi mazito pale kwenye ugumu..!!!

Mungu hadhihakiwi, apandacho mtu, atavuna; tena kwa kipimo kamili. Kikwete aendelee tu kuamuru askari wafyatue risasi kwenye maandamano na makundi ya watu wanaolinda kura. Lakini ajue msimu wa mavuno utakuja hata kama ni kwa kuchelewa.
 
 
Last edited by a moderator:
Grainy video footage has been circulating among NTC fighters appearing to show Col Gaddafi’s corpse.
AFP news agency reported that the video showed a large number of NTC fighters yelling in chaotic scenes around a khaki-clad body, which has blood oozing from the face and neck.
Another NTC official, Abdel Hafez Ghoga, told AFP: “We announce to the world that Gaddafi has been killed at the hands of the revolution.

Video of how Col Gaddafi was killed | Kampala 24/7
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…