Where is the value of Sovereignty in Africa kama wewe unashangilia yaliyofanywa na Western countries in Libya?
Yaani Nonda unataka kusema huyo kwenye hayo mapicha yote yaliyozagaa kwenye mtandao ni Carlos Santana?Je hii ya Gaddfi kufa ni misinfo au propaganda?
Kama ni NTC, US-NATO misinfo basi wanastahiki Nobel peace Prize kama ya Obama
Gonga hapa Libya S.O.S.
Fuatilia history ya US vyema mkuu.Na reference yangu haikuwa kipindi cha uhuru.Historia ya kupigania uhuru ya wamarekani ni tofauti na historia ya serikali dhidi ya native indian.Apples to apples mkuu.
Mfano wangu ulijikita zaidi kwenye ukweli kuwa uhuru tunadaiwa kuwa nao lakini hatuna maamuzi.Wahuni wakajiita watanzania wakasaidiwa wanaweza kuwaondoa hata viongozi wenu.(Sina maana napenda serikali yetu inavyofanya kazi)
Nina amini pia bila ya msaada mkubwa wa kuiharibu nchi hiyo ya Libya kwa kiasi walichofanya,wasingeweza kuiangusha serikali ya Libya,pi kwa upande mwingine,hata hayo yangekuwa yanatokea kwao wasingeungana.
Ustake kuniambia hujui kuwa mataifa hayo hayataki kabisa idea ya eti Afrika kuungana.
Sasa mfano mwingine ni hao wa wallstreet.Wakitokea wahuni wakawalima askari wa marekani risasi,askari hao waka retaliate na raia wakafa,je serikali nyingine ie uchina wanaweza kwenda kuwatetea wananchi hao kwa kuiondoa serikali iliyopo madarakani?
Kama kuna mtu angekuwa na malengo dhabiti kabisa dhidi yao kama ilivyo kwetu,basi narudia tena,US isingekuwa US hii unayoifahamu.
Ndo ukweli huo.
Ghadafi ana dharau sana ,aliwatusi wananchi wake ,akawaona wote hawajui kitu leo kuanzia benghazi, tripoli ban walid ni shangwe ,kwani muosha huoshwa ,wanaNTC wao hawajui matusi wamenyonga na kuua kabisa,anaungana na Rafikize saddam,Osama hili ni somo tosha kwa yule Rais wa Iran Ahmeidnijad anaye make noisy kuwa israeli ifutwe kwenye ulimwengu,ajipange maana watam-roast kama mshikaki naungana na wote wanamageuzi, wapenda uhuru, na kujali haki za msingi za raia kusherehekea ushindi huu wa kipekee!RIP GHADAFI kwa kiwango kile kile utakachopendwa ndivyo utakavyochukiwa!
'Gaddafi dead' story stinks? 'Skepticism over NATO & NTC reports'
The following content has been identified by the YouTube community as being potentially offensive or inappropriate.
Viewer discretion is advised.
Mbona hao wanaowaletea wananchi umasikini hawaondolewi?Kila nchi ina historia yake unique.Libya ni tajiri sana na hiyo mambo yenu kama mnayofanya kuuza nchi haiukuwepo.Sovereignty gani hiyo ya kulinda maslahi ya mtu mmoja tu kutawala? Kwani lazima atawale YEYE tu? 42 years? Cammon men be serious! Kama hiyo ndio sovereignty hatuihitaji.
Si kweli. Saif ametoroka. Labda useme MutassimNew kutoka Libya mpya inayokataliwa na Membe kuwa Yule Mtoto Mbishi korofi fisadi Saif nae keshakamatwa Kwanza walimchapa risasi mguuni akafanikiwa kusepa na akakimbilia kwa hospital baada ya kuona damu zinamwagika kama mvua Sasa Libya ipo Huru 98% News zaidi Tutajuzana
Mkuu nimekupata,however fuatilia vizuri historia ya kuungana kwa wamarekani.Hawakuungana kwasababu eti walikuwa masikini tu.Ungesoma tokea mwanzo hii issue imeanzaje ungenielewa. Kuna mdau alisema Gaddafi alikuwa anataka kuanzishwa kwa United States of Afrika lakini viongozi wengine wa Kiafrika wakam let down. Mimi nikamjibu kuwa they way Gaddafi alivyotaka kuanzishwa kwa United States of Africa was wrong na isingefanikiwa ahat kama angepata support toka kwao. Nikasema kuwa intergration is a process inayo involve stages mbali mbali za integration na kuwa political union is the last stage.
Nikatoa na mfano wa European Union ambayo imefuata hizo stages lakini wameshindwa kuafikiana kwenye politcal union. Nikasema ambition ya Gaddafi ya kuwa na United States of Africa insinge suceed kwa sababu alitaka a-apply the integration process in a reverse order. Kuwa tuanze na political union then mambo mengine baadae. Nonda akaluliza vipi Marekani waliunganaje na kama walitumia hiyo integration process. Nikamfafanulia ni kwa nini hawakuitumia na ni kwa nini kama afrika walitaka kuitumia haita succeed. In short the sub-issue ilikuwa the creation of an effective United States of Africa.
Nikirudi kwenye point inawezekana uhuru tunadaiwa kuwa nao lakini hatuna maamuzi simply because we are still economically dependent. Hatuko huru kiuchumi. Sasa badala ya ku create chombo ambacho kitatu-united economically ili tuwe na voice moja kiuchumi, Gaddafi alitaka kuwa na chombo cha kisiasa zaidi kwa ajili ya interest zake za kisiasa.
Sijasema kuwa sitaki kujua kuwa mataifa hayo hayataki kabisa idea ya Afrika kuungana. Kama Marekani walikuwa hawataki the expansion of the European Union surely hawatataka muungano wa Afrika. Ndio maana unakuta kuna multilateral agreement ina deal na issue fulani halafu unakuta Marekani inaingia kwenye bilateral agreements na nchi hizo hizo ambazo zipo kwenye hiyo multilateral agreement.
Lakini point yangu ni kwamba integration has to start from somewhere. You can't just come to Afrika after being kicked by your fellow Arabs then utake kuanzishwa kwa United States of Africa, halafu uwe kiongozi wa hiyo organisation na makao yake makuu yawe kwenye mji uliozaliwa. Sidhani kama integration ya aina hiyo itafanikiwa kwa vile imejaa ubinafsi wa madaraka na siasa bila foundation yoyote. Na tumeona jinsi AU ilivyosepond kwenye mgogoro wa Libya.
Hii video ita wa hunt hawa waasi maisha yao yote....Wamechemsha.Dakika za mwisho wakati Gaddafi yu hai!