The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Yeyote anayetaka kuingiza udini kwenye suala la Libya ni bora akae kimya asije akawa kituko kwa wafuatiliaji wa mombo.

Usaliti ni hulka ya mtu na wala sio kasumba ya dini flani.

Usaliti upo toka enzi na enzi mpaka leo na kesho Rejea katika maandiko YOHANA:18:1-40 ili upate kujua. Unaposema kuwa waislamu wanauana wenyewe kwa wenyewe kwa mzingatio wa Libya unakosea maana huja mention pia kuwa hao waasi/NTC walipewa silaha na nani?
Cheki hapa:
BBC News - Libya conflict: France air-dropped arms to rebels
America's secret plan to arm Libya's rebels - Middle East, World - The Independent

Na pia hujasema kuhusu ariel support walotoa hao NATO (ambacho ni kitengo cha freemason)
nato_swastika.gif
.
kwa idhini ya UN ambayo pia ni part of freemason
 
Kwa
maana mshahara wa dhambi ni
mauti; bali karama ya Mungu ni
uzima wa milele katika Kristo
Yesu Bwana wetu.
Rum. 6:23
Ukaidi, u-wamuyaya, udikteta,
u-terrorism mfano kuua air
passengers wasio na hatia, n.k.,
ndicho kilichomuua Gadafi. Na
wananchi wa Libya walikesha
WAKISHANGILIA saaana!
 
Watu walisema Obama wanahisi atauwa,au walisema Iraq au Afghanistan zisingetulia leo kimya kimya tunaanza kusau mabomu ya milipuko ya Nchi hizo na tunaaanza kuona picha za matukio mengine kabisa.Libya na mataifa mengine yatajengwa na kupewa ushirikinao na marafiki wao wa kweli,ubaya imekula kwetu kwa kuwa viongozi wetu wamekosa maono [Vision] wengelijua wakasimama katika misingi ya kusimamia sauti kama

"TUNAUNGA MKONO MHESHIMIWA RAIS WA LIBYA KUWASIKILIZA RAIA WAKE NA KUCHUKUA MAAMUZI KWA MUJIBU WA MATAKWA YA RAIA ZAKE "


Sentensi kama hii,leo hii tusingejichongeaa kwenye mapinduzi haya kwa kuwa Nchi ni Mali ya Raia na si kuwa ni Mali Ya Gadhafi na Serikali na Wapambe wake wa Karibu.

Leo hii tumetengeneza ukuta wa kidplomasia wa umma na Taifa hilo la Libya,nashukuru Mungu Kikwete aliliona hilo akalekebisha kwa kutumia uzoefu wake pale alipokuwa United Nations.Ila kwa hapa Nchini Waziri wa Mambo ya Nchi Za Nje amekuwa akiliweka katika Sura mbaya na isiyopendeza kwa kuwajengea wanachi muono mbaya wa sura halisi ya mapinduzi ya Umma ya Libya.Mimi binafsi imekuwa inanichefua vibaya pindi anapoongelea siasa za dunai mpya zinazoendela hasa habari za mapinduzi ya Nchi za Kiarabu.

Sasa ni zamu ya Syria na Yemen sijui ataweka nyongo gani ndani ya Wananchi kuendelea kuichukia Marekani kwa visingizo vya kijinga pasipo kuangalia ukweli halisi.

Nakumbuka miaka ya Nyuma watanzania walilishwa chuki mbaya sana swala la YUGOSLAVIA NA KOSOVO kiasi kuwa kuna mataifa yalibambikiziwa misimamo ya kiovu leo hii kosovo na Yugoslavia ni mataifa yanasonga mbele kustawisha Taifa.

Viongozi wetu wajitume kusoma alama za nyakati [Vision] wasimamie upande wa wenge hiyo ndo asili yetu toka enzi ya Mwalimu aijalishi alikuwa anatupatia nini?Isingekuwa busara za kikwete kuonyesha kuwa yuko pamoja nao kabla ya kifo cha huyu jamaa na hakika mafuta ya Libya tungeyaskia kwenye bomba.

View attachment 39641
Rais Wa Tanzania Jakaya Kikwete na Kiongozi wa Mapinduzi Ya Libya Mustafa Abdel -Jalil walipokutan Nwe York United Nations
View attachment 39642
Rais Jakaya Kikwete na Kiongozi huyo wa Libya Wakifanya Mazungumzo Muhimu ya faragha tena yanaonekana Matamu kwelikweli [Yani kwa tafsili Nyingine ni Mtanzania anaongea na Mlibya kama Marafiki wanaotegemeana kwa ushirikiano]
View attachment 39643
Rais Jakaya Kikwete na Kiongozi huyo wakitakina mikonno ya heri kuwa tuko pamoja [Tafsiri sahihi ni kuwa Mtanzania anamtakia heri Mlibya ambae ni rafiki yake kwa mafaniko yake].Hapa ndipo uwa naona kweli jamaa huyu anastahiki Kofia take ya Udaktari wa Heshima ya Juzi ya SHERIA ya Chuo kikuuu
View attachment 39645
Rais Jakaya Kikwete akimtambulisha Barozi wa Kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa Bwana Ombeni Sefue.

View attachment 39644
Haaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!! Enzi hizo imebaki kuwa story aksnnte Kikwete kwa kucheza pele kuwa ulifanya kuwakubali Wapinzani wa Gadhafi kabla HAJAFA vinginevyo tungeweka wapi sura kujitokeza kuonyesha tuko pamoja nao baada ya kuona huyu asieleweka na mkosa utu kashindwa.Lakini leo tuko kifua mbele kwa kuwa uliwatakia heri toka mwanzo RAFIKI WAKATI WA DHIKI NDIO RAFIKI WA KWELI,LEO WAKIKUPA MAFUTA KWA AJILI YA RAIA WAKO NI HAKI YAKO.

Ila bado nalia na wewe na UFISADI WA BONGO, japo ukuuanzisha lakini watanzania wanataka kuona unaumaliza !!!!!!!!!!!!!!!!
Wanachotakiwa sasa kujifunza ni kwamba ku brush shoulders na kina Sarkozy,Obama,Brown nk si tiketi ya kubaki madarakani ama kuheshimiwa na kuandikwa vyema kihistoria.

Kila jamii ni tofauti,jamii yetu tunataka maendeleo,na tutakuenzi kwa hayo.

Walibya naona wao walitaka hiyo demokrasia ambayo nyie ndo mnatupa.

Tunataka maendeleo ambayo yatapatikana only mtakapozisimamia rasilimali zetu vyema.

Gaddafi alifanya kosa moja kubwa,nalo ni kuweka zile bilioni 150 kwenye ile fund of Libya.Halafu bado akawa anaisimamia vyema.

Wakazitamani kwenye usawa huu wa hali mbaya ya kiuchumi duniani.

Gaddafi pengine alitafuta nguvu kubwa zaidi hata nje ya taifa lake.Hilo liliwapa mwanya maadui.

Tunataka viongozi wetu wa invest on the people.Those are the ones who gives you power,give them what they want,and you'll be fine!

Labda JK atagundua hizo safari zake za kwenda kuwaona kila kukicha ni kujidhalilisha tu.Haina maana kabisa kwamba ataandikwa vyema kwenye historia.

Angalia wananchi na uwatumikie JK,ni ushauri.
 
baada ya kuwa usingizini kwa muda mrefu, putin ndo anaibuka? kwa mipango yake ya kurudi kwenye urais, atazame upya, asije kuwa ghaddafi wa kesho kutwa. asidhani warusi ni wajinga wa kumwona yeye tu ndo anastahili kuwatawala. siamini kama putin, akirudi kwenye urais atakuja kumaliza kipindi chake cha uongozi, kabla nae hajauawa...pamoja na uhusiano wake wa karibu na ujerumani
 
NATO hawakumuua Gaddafi. Walikuwa makini sana juu ya hilo. Walichofanya ni kudisrupt tu ile convoy na kuhakikisha jamaa hachoropoki!
 
Body of ousted Libya leader Muammar Gadhafi on display in metal-lined cold-store by a Misrata market; dozens of people, many with cellphone cameras, come to see that he is dead.

In a statement on a Syria-based pro-Gadhafi television station, the ousted dictator's family asked for the bodies of Gadhafi, his son Mo'tassim, and others who were killed on Thursday by fighters who overran his hometown Sirte.
"We call on the UN, the Organization of the Islamic Conference and Amnesty International to force the National Transitional Council to hand over the martyrs' bodies to our tribe in Sirte and to allow them to perform their burial ceremony in accordance with Islamic customs and rules," the statement said.

At an understated and sparsely-attended news conference late on Friday, NATO Secretary-General Anders Fogh Rasmussen said the Western alliance had taken a preliminary decision to call a halt to Operation Unified Protector on Oct. 31.

Like other Western officials, Rasmussen expressed no regrets in public about the gruesome death of the deposed Libyan dictator, who was captured alive by the forces of the National
Transitional Council but was brought dead to a hospital.

"We mounted a complex operation with unprecedented speed and conducted it with the greatest of care," Rasmussen said. "I'm very proud of what we have achieved."

The NATO operation, officially intended to protect civilians, effectively ended on Thursday with French warplanes blasting Gadhafi's convoy as he and others tried to escape a final stand in Sirte.

Gadhafi was captured wounded but alive hiding in a drain under a road. The world has since seen grainy film of him being roughed up by his captors while he pleads with them to respect his rights.

NTC officials have said Gadhafi later died of wounds in the ambulance, but the ambulance driver, Ali Jaghdoun, told Reuters that Gadhafi was already dead when he picked up the body.

"I didn't try to revive him because he was already dead," Jaghdoun said, in testimony that adds greater weight to the widespread assumption that Gadhafi was lynched.

The UN human rights arm said an investigation was needed to into whether he was summarily executed. The interim leaders have yet to decide what to do with the corpse.

Brutal dispute

In Misrata, a local commander, Addul-Salam Eleiwa, showed off the body, torso bare, on a mattress inside a metal-lined cold-store by a market on Friday. There was a bullet hole in his head.

"He will get his rights, like any Muslim. His body will be washed and treated with dignity. I expect he will be buried in a Muslim cemetery within 24 hours," he said.

Dozens of people, many with cellphone cameras, filed in to see that he was dead.

"There's something in our hearts we want to get out," said Abdullah al-Suweisi, 30, as he waited. "It is the injustice of 40 years. There is hatred inside. We want to see him."

In Tripoli, Gadhafi's death prompted a carnival-like celebration, with fireworks, a bouncy castle and candy floss for the children. "Muammar, bad," one small girl said to foreign journalists in English. "Boom boom."

"For some people from outside Libya it could look wrong that we are celebrating a death with our children," said one man with a child on his shoulders. "But it was 42 years with the devil."

Risks of division

Saif al-Islam, Gadhafi's son and heir-apparent remains at large, believed by NTC officials to have escaped from besieged Sirte and headed for a southern border.

Without the glue of hatred for Gadhafi and his tribe to unite the factions, some fear a descent into the kind of strife that bedevils Iraq after Saddam Hussein. Optimists say that so far Libya's new rulers have quarreled but not fought.

"Can an inclusive, effective national government be formed? Yes, if factions can avoid fighting," Jon Marks, chairman of Britain's Cross Border Information consultancy said.

In Washington, State Department spokesman Mark Toner said the NTC had promised to explain how Gadhafi was killed.

"They're dealing with the death itself as well as the aftermath in as transparent a way as I think they can," he said. "They've fought bravely to liberate their country from this dictator. And, you know, he met an ignominious end yesterday."


Source;Israel News - Haaretz Israeli News source.
 
Maiti ya Gaddafi inaanza kuoza! - BBC

BBC (News hour) wanaripoti kwamba maiti ya Gaddafi ambayo imehifadhiwa kwenye chumba cha barafu mjini Misrata imeanza kuoza kutokana na kutokukubaliana kati ya pande tofauti kuhusu ni wapi na ni lini Gaddafi azikwe.
 
article-2051361-0E74ACE500000578-996_634x382.jpg


... bunduki iliomtoa roho Kanali Gaddafi ni hiyo hapo ilionyanyuliwa juu dakika chache tu mara baada ya tukio.

Mtu aliyeruhusu risasi kadhaa mwilini mwake Kanali ni huyu muasi mwarabu mweusi hapo kwenye picha ambaye pia
NI MUISLAMU SAWA NA MAREHEMU mwenyewe na wala si mtu wa Magharibi, wala ndugu zetu Wa-Kristo.

Vyema sana.
 
Usemi usemao "asiyependa mabadiliko,mabadiliko umbadilisha".usemi huu umejidhihirisha ukija kuangalia hili swala la muamar G.viongozi na watu wote kwa ujumla inabidi mjifunzie hii methali kwa huyu kamanda muamar.na ndio maana hali hii imempelekea rais wa yemen kutangaza jana kua ataachia madaraka kwa masharti kwani ameshaona kuwa kifo nae kinamkabili kama ataendelea kuwa na msimamo na ubishi wa kipuuzi kama wa mwenzake wa libya.tujifunze kupitia hili.
 
Mkuu Saint Ivuga,

Wabongo tunaopiga kelele za ajabu ajabu huko misikini Kwa Mtoro bila kuwa na taarifa kamili tujue kwamba tunakua nikituko kama si kichekesho mbele ya uso wa ulimwengu. Habari ndio hiyo!!!

Very constructive truth.
 
hakika Libya watakiona, kwani ni sawa na wame mkaribisha fisi katika zizi lao. kama vipi "Time will tell"
 
huyu gaddaf ni mtuhumiwa inabidi akizikwa kaburi lake lizungushiwe minyororo tutakuwa tumemfungia mbinguni na duniani.mia
 
Angalia unafiki wa waislamu!!! Akifa mtu they don't pay last respects (hawamwangalii osoni), ghadafi kafa wanamweka kwenye maonyesho hata wanawake wanamwangalia!!!! Mtu aliyekufa anazikwa as soon as possible, wamemuua Ghadafi wanasema hatazikwa haraka. Huu ni unafiki mkubwa wa waislamu!!

Uislamu upo na Dola ipo,
Usitegemee JK afariki sasa eti atazikwa masaa machache yajayo (Mungu apishe mbali), hivyo kila taifa linapokuja suala la mtu mashuhuri au mkubwa katika taifa husika kidogo taratibu huwa zinakinzana na mamlaka ya nchi husika.
Hivyo usiunasibishe Uislamu aidha na chuki binafsi au ni kutokuelewa mantiki murua ya iwavyo.
 
Rest in peace shujaa Gadafi,aliahidi atapigana na hata ikimbidi kufia vitan na kwel hilo limetokea,ingekuwa tz kiongoz gan mkubwa angekuwepo nchin wakat hali imechafuka? Si semi alikuwa mwema sana ila watamkumbuka baadae.
 
Back
Top Bottom