Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari za kuaminika zinadai kuwa Kiongozi Mkuu wa Libya Muammar Gaddaf amekalia kuti kavu ,habari zinasema kuwa hali iliyofikia hairudi tena nyuma ,nae atakurupushwa na kung'olewa kama shina la muhogo,kuna brigedi za kijeshi ambazo tayari zimeungana na wananchi ,wazalendo wanasema wamefikia point of no return.
Hata hivyo upande wa Colonel Gadaf umezidisha nguvu na kutoa upinzani wa liwalo na liwe kama ni lawama iwe baadae kwa mikakati huo wanapiga risasi direct kwa wazalendo,habari zinazidi kutonya kuwa makao makuu ya Gadaf yaliopo Benghazi ambao ni mji wa pili kwa ukubwa , yameshachomwa moto na wananchi wanaelekea Tripoli ili kieleweke,kumbuka tu sasa kuna majeshi yalio pamoja na wananchi na wanatumia silaha na magari ya kijeshi katika kumng'oa Gadafi na mafisadi wenzake.
Vilevile muelewe kuwa Majeshi ya gadafi yapo katika mgawanyo,kuna kundi linaongozwa na mwanawe ,hili ndilo ambalo linasemekana halitakuwa tayari kuachia madaraka kirahisi,hapo ndipo mapambano yatakapokuwa makali.
|
Libya bila Gaddafi itatawalika?
Khadija Kalili |
Mimi nilikuwa class natulifundishwa kutumia ak 4744721004703249^wellSasa kama umetoka 83 miaka karibuni 30 sasa, yawezekana mambo yalibadilika baada ya mwaka 1983
sorry am using phone nasema gadaffi alikuwa real mnyonyaji nilikuwepo libya 12yrs nimeondoka 1983
I wonder why people say gaddafi used to provided good services for his people sio kweli hata mshahara haujawahi kufika 1000usd na gaddafi alikuwa hapendwi na wa libya kabisa sema alikuwa babe tu na hakuna huruma yoyote ya bureau labda school lakini maji umeme alikuwa wanakula nataka kuna kulala eliza