jimmyjjohn
Member
- Jul 23, 2013
- 30
- 6
Kikwete should learn in a hard way......nguvu ya umma hushinda risasi na mabomu yake
Social Club Insurance
Social Club Insurance
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Semeni yooote lakini LIBYA WAS THE ONLY COUNTRY isiyokuwa na madeni mpaka Gaddafi anavyong'olewa. Hakuna nchi nyingine diniani!!!!
Gadaffi ndiye kiongozi pekee wa UARABUNI niliyekuwa nikimkubali kwani kaiendeleza Libya kuliko wenzake wa UARABUNI ila kwa hili la kuuwa mamia kwa siku mbili huyu jamaa ni mkatili na yuko tayari awaangamize walibya wote,huyu sio binadamu ni zimwi fulani hivi
Hakuna umasikini mbaya kama wa busara ya maamuzi...Wenzetu wametuaminisha wao ndiyo wenye akili ya kufanya yote mema na sisi yakwetu ni mabaya bila kuangalia tamaduni na mazingira yetu kuwa yanatuhusu na sisi tunajua zaidi ya waoso sad aisee kipindi cha Gadaff almost every thing was free but look at the situation now ni vifo kila siku Huduma za afya mbovu maisha yamkuwa magumu dah aisee Gadaff was really great leader....
Bado upo..!??!Nimekuelewa ingawaje nilitaka sana nipatiwe majibu naanza kusoma mwanzo Wa thread na sijui Kama nitapata jibu langu Thanks Noda
Ishakombolewa mkuu ,waweza kwenda sasa .Nadhani Libya itakombolewa upya,bado sina imani na hao NTC kabisa!
Imekombolewa kutoka kwa nani?Ishakombolewa mkuu ,waweza kwenda sasa .
Hapa ndiyo ninakuwa na Imani kuwa wazungu walimuondoa kwa sababu ya maslai yao na si kwamba alikuwa kiongozi mbaya.so sad aisee kipindi cha Gadaff almost every thing was free but look at the situation now ni vifo kila siku Huduma za afya mbovu maisha yamkuwa magumu dah aisee Gadaff was really great leader....