The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

There is profit which USA(obama)and other western countries in Libya uprisings.1 why libyans react against Gadaffi's rule although they gets good social services? 2.Always USA stay frontline at any conflicts,why? And UN is it an US's institution? any uprisings US enter in so the sources of it is USA even in libya,misri
 
You are stupid. Not Obama.
Qaddaff is a killer and must go. Furthermore, it seems you are in denial of the truth in re of Qaddaf. Read news about the him and stop kukurupuka kama mwehu
khe!

Hivi na serikali yetu sio killers? au lazma uue kwa bunduki? mbona hatujamuona hata mama clinton kuja kupiga bwabwajo?
 
As i write USS INTEPRISE meli la kubebea madege ya kivita la marekani is distacing itself from medditerania water to gulf of eden.removing that aircraft carrier from libya ater ambayo ilitakia kuinforce non flying zone suggest.
-Wamerikani wamegundua kuwa wale wapigania uhuru are not freedomfighter at all na wako kibiashara zaidi na waeza kua algaida kweli.
-marekani imeshindwa kupata ushirikiano wa kijeshi toka misri mpaka sasa ni gatar na united arab emirate ndo wamekubali kutoa ushirikiano na wakati huo saudi inapinga mpango huo.
Kuonyesha hawakua wamejiandaa kuimpose non flying zone hakuna ndege iwe ya marekani,uk,france ama mataifa ya kiarabu iliyoruka leo juu ya anga la libya inasemekana itachukua hata wiki.yaonekana bado kuna ubishi kwani marekani hawataki kucommit askari wao wao wanataka kuproduce logistic support huku,uk,waarabu na france wakiongoza operatiön.
Wakati hayo yakiendelea obama amtaka gadaf awaondoe askari wake toka maeneo aliyoyateka na bi clinton akisema mwisho ya yote lazima ghadaf aondoke madarakani.
Kwa ufupi obama maneno kibao action zero


Nadhani hujuhi vita vinapigwana vipi.
Ngoja nikupe Dodoso tu kidogo.

1. Ni lazima meli zote za Kivita ambazo zinaweza kuwa vulnarable kwa sasa vipelekwe mbali na eneo la kivita.
2. Kinachofuata hapo ni kuharibiwa kwa uwezo wa Libya kupigana vita njee ya mipaka yake thats, kuanzia Rada, anga na defense mechanisims zote lazima ziharibiwe kwa sasa.
3. Baada ya hapo ndipo sasa unaweza kurusha ndege kwenye anga la Libya kwani kunakuwa amna tisho jingine lolote.

Kumbuka uharibifu utafanya kwa kutumia Manowari ambazo zitarusha cruise missiles na pia ndege kama B 52 na zile nyingine zenye uwezo wa kuruka mbali bila kutishwa na Libya.

Na pia Shambulio hilila kwanza ni lazima liwe supprise kwelikweli kiasi walibya wachanganyikiwe nadhani unakumba Iraq ilivyokuwa siku ya kwanza.

Na matumaini ya wamarekani na washirikani kuwa hii supprise inatosha kabisa kumuangusha Gadafi kwani wanaamini kuwa hata jeshi lake alimsapoti, so wakishutukizwa kwa kichapo kikali wata mgeuka mara moja baada ya kugundua kuwa wana support kutoka nje na hawana uwezo wa kupigana na majeshi ya nje.

Hope nime eleweka.
 
Iwe tetemeko na tsunami Indonesia, tetemeko Haiti, Tetemeko China, Tetemeko New Zealand, maafa Pakistani, mafuriko Ulaya na sasa tetemeko, tsunami na mmafa ya nuklia Japan, tegemeo la dunia ni Marekani. Leo hii Iran ikipata maafa, Tanzania ikilipuka cholera, Kenya wakianza kuchinjana, mafuriko yakitokea Venezuela au India, msaada unaosubiriwa ni wa kutoka Marekani. Kweli nimeamini katika kisa cha baniani na kitu chake.
 
And you cant impose non flying zone kwa nchi yeyote without first taking out its airdefence ,missile alone fired from warship cant do the job cause you need to destory in this case gadaf airforce,yeah you can hit plane while they are stil on the ground,but those which are airborne you need jetfighter with air to air missile to take them out so that call for aircraftcarrier.
But kwanini wanasema gadaf anashambulia raia,they are armed militant sasa walitaka afanye nini?ukweli ni kwamba licha ya mafuta pia west wanataka gadaf out hasa wakikumbuka lockebei wasichojua west ni kua gadaf ataondoka but wanarudia kosa lile la irag watajikuta wamenasa libya na uchumi wao utaishia hapo na hawataiba hata pipa moja la mafuta,watatumia pesa na damu kuoccupy hapo,tatizo vita ni kama jadi kwa waarabu,kama hobby sasa hawa jamaa wanaingia mkenge ambao hawatasau na mwisho wa siku watakimbia kama ilivotokea irag then iran,russia wanaingia hapo
 
And you cant impose non flying zone kwa nchi yeyote without first taking out its airdefence ,missile alone fired from warship cant do the job cause you need to destory in this case gadaf airforce,yeah you can hit plane while they are stil on the ground,but those which are airborne you need jetfighter with air to air missile to take them out so that call for aircraftcarrier.
But kwanini wanasema gadaf anashambulia raia,they are armed militant sasa walitaka afanye nini?ukweli ni kwamba licha ya mafuta pia west wanataka gadaf out hasa wakikumbuka lockebei wasichojua west ni kua gadaf ataondoka but wanarudia kosa lile la irag watajikuta wamenasa libya na uchumi wao utaishia hapo na hawataiba hata pipa moja la mafuta,watatumia pesa na damu kuoccupy hapo,tatizo vita ni kama jadi kwa waarabu,kama hobby sasa hawa jamaa wanaingia mkenge ambao hawatasau na mwisho wa siku watakimbia kama ilivotokea irag then iran,russia wanaingia hapo
 
Uk na france hawako katika hali nzuri saana,aircraft carrier ya uk ilikua maintenence na haiwezi kutia timu hapo meddeterania,de gaule ile ya france ilikua persian gulf kusaidiana na ile USS NIMTZ ya usa kwenze standoff na iran hata kama itaamua kugeuza kurudi mediterani itachukua zaidi ya wiki kufika hapo na kumshambulia ghadaf tokea kwenye base huko france ni distance itahitaji airbornerefueling,so ni costly.
The only aircraft carrier arround ni USS ENTEPRISE ya marekani ikiwa na ndege zaidi ya sitini za kijeshi lakini usiku wa kuamkia leo ilianza kuondoka pwani ya libya kuelekea ghuba ya eden.wakati marekani anakwepa kutumia askari wake kwa kuhofia kunasa hapo kama huko irag,france na UK wanaupungufu wa logistic.
Waarabu nao wako busy kuzima maandamano ndo kisa hadi saa ni kimya.
 
IN Gold Oil and Diamond we trust! hiyo ndio USA they are always after their own interest in whatever the cost, and this time poor Libyas will pay for the cost of American Interest! I wish Obama wouldn't have African particulary East African blood! shame on him!
 
And you cant impose non flying zone kwa nchi yeyote without first taking out its airdefence ,missile alone fired from warship cant do the job cause you need to destory in this case gadaf airforce,yeah you can hit plane while they are stil on the ground,but those which are airborne you need jetfighter with air to air missile to take them out so that call for aircraftcarrier.
But kwanini wanasema gadaf anashambulia raia,they are armed militant sasa walitaka afanye nini?ukweli ni kwamba licha ya mafuta pia west wanataka gadaf out hasa wakikumbuka lockebei wasichojua west ni kua gadaf ataondoka but wanarudia kosa lile la irag watajikuta wamenasa libya na uchumi wao utaishia hapo na hawataiba hata pipa moja la mafuta,watatumia pesa na damu kuoccupy hapo,tatizo vita ni kama jadi kwa waarabu,kama hobby sasa hawa jamaa wanaingia mkenge ambao hawatasau na mwisho wa siku watakimbia kama ilivotokea irag then iran,russia wanaingia hapo
 
"I call this first Obama stupidity." Mwanasheria, hongera kwa huo mtazamo wako kuhusu sakata la Libya, lakini nadhani haumfahamu vizuri Obama. Huyu bwana ni Realist wa nguvu, na anachoangalia kwa sasa ni maslahi ya nchi yake. Hivi kweli baada ya Iraq na Afghanistan, ulitegemea raisi wa U.S.A awe mstari wa mbele kwenye vita nyingine in the Islamic World? Kama alivyosema Mammamia, kwa nini European Union, ambao wapo pua na mdomo na Libya hawafungi vibwebwe kwenye hili sakata? Au the Arab League, ambayo inawakilisha zaidi ya watu millioni 300 kutoka nchi za kiarabu?

Na kama Obama akiamua kuingia kichwakichwa, halafu hii kasheshe ikawa ya miaka kadhaa kama ilivyo Afghanistan, na bila kuepusha mauwaji ya raia kama ilivyokuwa SERBIA (SEBRENICA)ni nani atakayebeba hilo jukumu?

Serikali ya Obama bado ipo katika hatihati ya kuchaguliwa endapo hataweza kuimarisha UCHUMI wa nchi yake, ambao pamoja na mambo mengine, vita vya Afghanistan na Iraq vilichangia. Sasa kwa nini ajiongezee vita ya tatu?

Leo tunaongelea Libya, je vipi hii vurugu ikitapakaa hadi kwenye nchi kama Saudi Arabia itakuwaje? Je itabidi Obama apeleke majeshi huko?

Ningekushauri ukazipitie upya zile principles za REALISM ili kumuelewa vizuri huyu ndugu yetu, na kuelewa mstakabali wake kwenye hili suala.

Realists: If u want to avoid a war, prepare for one, to these people War is a common phenomenon, and they believe in
1. security
2. national interest and...........
 
_51746930_011564599-1.jpg


A plane burst into flames before hitting the ground in the western part of Benghazi

 
Laiti Obama angehutubia kwa kiswahili ungeweza kumwelewa, vinginevyo hapa ni wewe ndiye unaonekana stupid!

Well, I don't support Gadaffi for being in power for more than 40 years. However, I don't support Obama's plan and indeed lust desire to impose no fly zone in Libya and the intention to invade Gadaffi Militarily.

Why prohibit Gadaffi to fight against armed terrorist? Does US and Obama justify terroristic way of Revolution? Gadaffi is not opening fire to demonstrators. What is going on in Libya is not demonstration like it was in Eqypt and Tunisia, it is typical terrorism though it started as demonstration.

Forcing Gadaffi, to stop fighting against terrorist, and forcing him to withdraw his armies from some parts of his country is unacceptable, and contrary to state sovereignty principles.

What I see is that Obama is going to invade Libya unjustifiably, just like Bush did to IRAQ, this is unacceptable. Obama is forcefully insisting at this Juncture, where it is clear that Gadaffi is on the way to Victory.

I call this "OBAMA'S FIRST STUPIDITY

I WISH THIS HAPPENS ONE DAY IN THE LAND OF THE USA so that we can see how the USA will deal with this matter. "NON-SENSE"
 
Western Benghazi leo baada ya bomu kulipuka Mar. 19, 2001 (sehemu kama Mikocheni vile!)


 
Last edited by a moderator:
libyan spokeman is on air talking about ongoing crisis
the Libyan people are with us in fighting the armed gangs-
alqaeda is behind this uprising,argues UK and France not to intervene
 
Kama ni kweli ghadafi bado anayaendeleza mashambulio. basi sikio la kufa halisikii dawa; nchi za magharibi zimepania kumwondosha ghadafi kwasababu kuu mbili; kwanza ni kulipiza kisasi. Kwenye kitabu chake kinachoitwa "The years of upheaval" waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Marekani Henry Kisinger anamtaja ghadafi namba moja wa nchi za magharibi. Kisinger anasema jambo lililomfanya ghadafi afuzu kuwa adui nambari moja wa nchi za magharibi ni kitendo chake cha kutaifisha visima vya mafuta baada ya kumpindua King Idrisa, anasema nchi nyingine ziliiga kitendo hicho na hivyo kuweka njia wazi ya kuanzishwa kwa opec, ambayo ilipandisha bei ya mafuta ya petroli kitendo kilichohadhiri sana uchumi wa magharibi. Sababu ya pili inayozisukuma nchi za magharibi kutaka kumwondoa ghadafi ni hazina kubwa ya mafuta yaliyo nchini mwake. Kwa kuzingatia ukweli kwamba eneo zima la mashariki ya kati ni tete, nchi za magharibi zisingelipenda kupoteza hii fursa ya kuweka mafuta ya Libya kwenye mikono salama.
 
libya.jpg
Gaddafi's Forces Facing Modern Firepower
Colonel Muammar Gaddafi's ramshackle Libyan air force appears to be no match for the international forces heading for the region.

The International Institute for Strategic Studies estimated, despite a nominal strength of some 200 fixed wing aircraft, fewer than 40 are actually capable of flying.


Most are old Russian-built types dating back to the Soviet era and are obsolescent in Western terms - although Col Gaddafi does have a small number of more modern French Mirage F1s.


The Libyan regime does have some more effective anti-aircraft defences.
They include a long range surface-to-air missile system thought to be within 30 to 40 miles of Benghazi, which could pose a threat to international air patrols if it is not taken out.


On the ground, Col Gaddafi's fear of a possible military coup has meant that he has largely tended to keep the army weak.
The best equipment is concentrated in the hands of two brigades commanded by his sons.
That includes the 32nd Brigade - equipped with relatively modern T72 tanks and self-propelled guns.
The unit crushed rebels in the western town of Zawiyah and has been spearheading the attacks on the western city of Misratah.


The most commonly seen vehicles on both sides are the ubiquitous "technicals" - pick-up trucks modified to carry heavy machine guns and a variety of other weaponry.


Up against Gaddafi's forces are sophisticated Western fighters like the RAF's Tornados and Typhoons.
The Tornado GR4 ground attack aircraft could be used to suppress the Libyan defence or mount strikes against ground forces.
Its arsenal includes the air-launched anti-radiation missile, which homes in on the emitted radiation of enemy radar systems and can be used for the suppression of air defences.
The Typhoon is deployed mainly as an air superiority fighter and could use its air-to-air missile systems to bring down any Libyan aircraft which defy the no-fly zone.


They will be backed up by VC10 air-to-air tanker refuelling aircraft and E-3D surveillance aircraft already in theatre which will provide airborne monitoring of land and sea.
There is speculation that they will be supplemented by Nimrod R1 reconnaissance and electronic intelligence gathering aircraft.
uk.jpguk1.jpg
 
Back
Top Bottom