khe!You are stupid. Not Obama.
Qaddaff is a killer and must go. Furthermore, it seems you are in denial of the truth in re of Qaddaf. Read news about the him and stop kukurupuka kama mwehu
As i write USS INTEPRISE meli la kubebea madege ya kivita la marekani is distacing itself from medditerania water to gulf of eden.removing that aircraft carrier from libya ater ambayo ilitakia kuinforce non flying zone suggest.
-Wamerikani wamegundua kuwa wale wapigania uhuru are not freedomfighter at all na wako kibiashara zaidi na waeza kua algaida kweli.
-marekani imeshindwa kupata ushirikiano wa kijeshi toka misri mpaka sasa ni gatar na united arab emirate ndo wamekubali kutoa ushirikiano na wakati huo saudi inapinga mpango huo.
Kuonyesha hawakua wamejiandaa kuimpose non flying zone hakuna ndege iwe ya marekani,uk,france ama mataifa ya kiarabu iliyoruka leo juu ya anga la libya inasemekana itachukua hata wiki.yaonekana bado kuna ubishi kwani marekani hawataki kucommit askari wao wao wanataka kuproduce logistic support huku,uk,waarabu na france wakiongoza operatiön.
Wakati hayo yakiendelea obama amtaka gadaf awaondoe askari wake toka maeneo aliyoyateka na bi clinton akisema mwisho ya yote lazima ghadaf aondoke madarakani.
Kwa ufupi obama maneno kibao action zero
"I call this first Obama stupidity." Mwanasheria, hongera kwa huo mtazamo wako kuhusu sakata la Libya, lakini nadhani haumfahamu vizuri Obama. Huyu bwana ni Realist wa nguvu, na anachoangalia kwa sasa ni maslahi ya nchi yake. Hivi kweli baada ya Iraq na Afghanistan, ulitegemea raisi wa U.S.A awe mstari wa mbele kwenye vita nyingine in the Islamic World? Kama alivyosema Mammamia, kwa nini European Union, ambao wapo pua na mdomo na Libya hawafungi vibwebwe kwenye hili sakata? Au the Arab League, ambayo inawakilisha zaidi ya watu millioni 300 kutoka nchi za kiarabu?
Na kama Obama akiamua kuingia kichwakichwa, halafu hii kasheshe ikawa ya miaka kadhaa kama ilivyo Afghanistan, na bila kuepusha mauwaji ya raia kama ilivyokuwa SERBIA (SEBRENICA)ni nani atakayebeba hilo jukumu?
Serikali ya Obama bado ipo katika hatihati ya kuchaguliwa endapo hataweza kuimarisha UCHUMI wa nchi yake, ambao pamoja na mambo mengine, vita vya Afghanistan na Iraq vilichangia. Sasa kwa nini ajiongezee vita ya tatu?
Leo tunaongelea Libya, je vipi hii vurugu ikitapakaa hadi kwenye nchi kama Saudi Arabia itakuwaje? Je itabidi Obama apeleke majeshi huko?
Ningekushauri ukazipitie upya zile principles za REALISM ili kumuelewa vizuri huyu ndugu yetu, na kuelewa mstakabali wake kwenye hili suala.
Well, I don't support Gadaffi for being in power for more than 40 years. However, I don't support Obama's plan and indeed lust desire to impose no fly zone in Libya and the intention to invade Gadaffi Militarily.
Why prohibit Gadaffi to fight against armed terrorist? Does US and Obama justify terroristic way of Revolution? Gadaffi is not opening fire to demonstrators. What is going on in Libya is not demonstration like it was in Eqypt and Tunisia, it is typical terrorism though it started as demonstration.
Forcing Gadaffi, to stop fighting against terrorist, and forcing him to withdraw his armies from some parts of his country is unacceptable, and contrary to state sovereignty principles.
What I see is that Obama is going to invade Libya unjustifiably, just like Bush did to IRAQ, this is unacceptable. Obama is forcefully insisting at this Juncture, where it is clear that Gadaffi is on the way to Victory.
I call this "OBAMA'S FIRST STUPIDITY
I WISH THIS HAPPENS ONE DAY IN THE LAND OF THE USA so that we can see how the USA will deal with this matter. "NON-SENSE"
Hayo maneno MWANASHERIA hawezi kuyaelewa hata ukimpa kamusi ya kiingereza-kiswahili!Can you support your nonsense?
Twisted bigot unconstructive biocidal insalubrious criticism.
Jamani ndege ya kivita ya ghadafi imedondoshwa hivi punde
Source;aljazeera,
pia unaweza kuiangalia ndege yenyewe hapa Libya: Jet shot down and shelling in Benghazi despite UN air strike threat | World news | The Guardian
Jamani ndege ya kivita ya ghadafi imedondoshwa hivi punde
Source;aljazeera,
pia unaweza kuiangalia ndege yenyewe hapa Libya: Jet shot down and shelling in Benghazi despite UN air strike threat | World news | The Guardian