Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye some bases kuna SA-5 launchers so wanazishambulia hizi ili zisije kutumika kutungulia ndege pindi zitakapokuwa zinapatrol anga ya Libya.Hapo nimekubali, kingine mbona wanalipua military base wakati ?
Baadhi ya magari yanatumika kubebea Anti Aircraft Missiles au MANPADS.Sasa kama ni hivyo ina maana magari nayo yana fly? hebu nieleweshe zaidi
Vikaragosi vya nchi za Ulaya vimejaa kila kona ya bara la Africa!
"Ulaya" in this context covers China and Russia!Wapo wapi vikaragosi wa China na Russia?
Ushawahi kukutana na Mlibya, Mmorocco au Malgeria yoyote anayejitambulisha kama muafrika? Gaddafi mwenyewe mpaka late 90s alikuwa anajichukulia ni muarabu alivyoona ndoto zake za kuunda taifa la kiarabu kwa kuungana na nchi nyingine za north afrika zimeshindikana akageukia kwenye idea ya umoja wa kiafrika akamwaga mipesa wee wakaunda AU wakampa na uenyekiti.hebu nielweshwe hapa! kwani muafrica lazima awe mweusi..?! na nywele za katani?!! see Afro Arab bahati nzuri utakuta picha za gadafi nyingi
Global Arab Network | Egyptian President calls for boosting Afro-Arab partnership | Egypt Politics
Je Gaddaffi ameshafanya hivyo? Kuwapa silaha raia wote? Nimesoma kuwa amesama atafanya hivyo. Je ameshafanya hivyo?Nashawishika kuamini kuwa yanayotokea libya yatakuwa kama ya Vietnam
Naamini kuwa ilikuwa rahisi kumwangusha Ghadafi kwa Nguvu ya umma kuliko majeshi ya magharibi..sasa Ghadafi kawapa wananchi silaha wapambane na adui mvamizi...
Inawezekana kabisa ikachukua muda mrefu na hatimae wavamizi wakashindwa.
Nashawishika kuamini kuwa yanayotokea libya yatakuwa kama ya Vietnam
Naamini kuwa ilikuwa rahisi kumwangusha Ghadafi kwa Nguvu ya umma kuliko majeshi ya magharibi..sasa Ghadafi kawapa wananchi silaha wapambane na adui mvamizi...
Inawezekana kabisa ikachukua muda mrefu na hatimae wavamizi wakashindwa.
No fly mana halisi nin mana Gates kama alikuwa anaipinga. Help me
Nashawishika kuamini kuwa yanayotokea libya yatakuwa kama ya Vietnam
Naamini kuwa ilikuwa rahisi kumwangusha Ghadafi kwa Nguvu ya umma kuliko majeshi ya magharibi..sasa Ghadafi kawapa wananchi silaha wapambane na adui mvamizi...
Inawezekana kabisa ikachukua muda mrefu na hatimae wavamizi wakashindwa.
Großansicht des Bildes mit der Bildunterschrift: Ndege ya kijeshi ya NATO
Bildunterschrift: Großansicht des Bildes mit der Bildunterschrift: Rais Barack Obama wa MarekaniMarekani yenyewe bado ipo kwenye njia panda: upande mmoja inataka ijiingize kabisa kabisa, upande mwengine inataka iwe kando kando tu.
Bildunterschrift: Großansicht des Bildes mit der Bildunterschrift: Kiongozi wa Libya, Muammar GaddafiLakini ikiwa lengo la hatua hizo ni kuuondosha utawala wa Gaddafi, basi majeshi ya Muungano lazima yafanye mashambulizi makali, tena ndani ya kipindi kifupi dhidi ya vituo vya kijeshi vya Gaddafi.
Bildunterschrift: Großansicht des Bildes mit der Bildunterschrift: Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Guido Westerwelle Huo ulitakiwa uwe mtazamo wa Umoja wa Ulaya pia. sio kuchukuliwa na andasa za siasa za ndani za Nicolas Sarkuzy wa Ufaransa, ambaye anaukimbia mbinyo wa kisiasa ndani ya nchi yake kwa kujibebesha dhima ya kuongoza shinikizo dhidi ya Libya.