The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Yule bwana alokua akijifanya chizi kwa kuua watu wake kila kukicha, amepata akili baada ya kuchezea kichapo kutoka France, US na UK. BBC wameonyesha live viongozi wa jeshi wakitoa amri kwa vikosi vyote kusitisha mashambulizi ya aina zote kwa hao waliokua wanawaita 'rebels' wametoa amri kwamba badala ya kushambulia watu wahakikishe watu wote wako salama, hakuna ruhusa kushambulia mtu yeyote...Hongera Obama and the co, kumbe huyu bwana akili anayo ule uchizi ulikua wa kujifanyisha

atakuwa amepokea simu kutoka kwa Saddam Hussein. Aendelee kuuwa 'mende' atakiona chamtemakuni.

Watu wana silaha zao mpyaa wanatafuta pa kuzi-testia.
 
Naona hapa kuna watu wana selective memory, na kwa makusudi wanakwepa reality issue ya ivory coast AU ya kina Kikwete iliwaambia UN wataishughulikia wameunda tume imeenda kuonana na Gbago guess what happened? Kawawekea kiburi,dharau na kuwacheka sasa hivi hawajui nini cha kufanya, Somalia tayari kuna majeshi ya kulinda amani ya AU kutoka Uganda.

Tuweke ushabiki pembeni maandamano ya Libya yalianza kwa amani kama ya misri na Tunisia serikali ya Libya ilijua hayatenda popote walipoona watu wanakusanyika green square wakaleta mambo ya kuua sisimizi kwa nyundo.
 
Huyu Gaddaffi unayemtetea wewe ni yupi? Libya tangu lini ulisikia wanakubali kuwa wao ni waafrika? Wanasema wao ni waarabu sasa sijui unazungumzia nini hapa. Gaddaffi ana deserve hii kwa sababu ni mjinga mwendawazimu hana huruma na watu wake wacha mataifa makubwa wamwonyeshe kazi mpaka asalimu amri. Sasa hivi amejaza watu kwenye palace yake kama kinga au kile kinachoitwa kifo cha wengi harusi sasa hii ni akili kweli au ni upuuzi? Kumbuka waliopo hapo si wapo kwa hiari ni amri imetolewa. Mimi nasema wacha wampige tu mtu asiyesikia dawa yake ndio hii.

Hivi, unakijua unachoshabikia? This is a New colonialism (DIGITAL COLONIALISM) Wanatuongoza kwa rimoti, wanafanya wanachotaka wao. Inauma sana, Mbona Ivory Coast hawajashikilia Bango? Lini Afrika itakuwa huru?
 
Mbona Somalia hawaendi kusaidia raia wasio na hatia miaka na miaka wanauawa?

Somalia tayari kuna jeshi la AU likiongozwa na Uganda isitoshe hakuna nchi inayotaka kujitolea wanajeshi wake baada ya kilichotokea kwa majeshi ya UN miaka ya tisini.
 
It is a UN sanctioned mission, UN haina jeshi bali nchi wanachama ndio zinajitolea wanajeshi, vifaa, na kufoot the bill

Nikuulize swali, kwa mtazamo wako, unafikiri America na washirika wake hapo kimaslahi zaidi katika uvamizi huo?
 
Nikuulize swali, kwa mtazamo wako, unafikiri America na washirika wake hapo kimaslahi zaidi katika uvamizi huo?
Maslahi gani? Libya tayari alikuwa anauza mafuta take kwa wingi nchi za magharibi na isitoshe NOC walikuwa wamesaini mikataba ya mabilioni na kampuni za uingereza na as far as I know kulikuwa hakuna mushkeli wowote kwenye ku supply mafuta kwenda Europe.

Hayo maslahi mnayoyasema ni yapi?
 
baby mbona unaenda nje ya mada? au sijakusoma?
mzima kweli hujanisoma.Kuna watu wanahalalisha uhalifu wa Gadaff just bcs Somalia and Ivory coast,hapo ni sawa na kusema wanainchi wasimseme vibaya Chenge vijisenti kwa sababu kuna mafisadi wengine ccm
 
Alafu watanzania inabidi tuache unafiki miaka miwili iliyopita wakati Membe na Kikwete wanang'ang'ana kupeleka wanajeshi wetu Comoro kwa kisingizio cha kusambaza demokrasia mlikuwa mnachekelea na kuwaita wale waliokuwa wanapinga sio wazalendo leo mfadhili anapewa kichapo imekuwa nongwa?
 
Alafu watanzania inabidi tuache unafiki miaka miwili iliyopita wakati Membe na Kikwete wanang'ang'ana kupeleka wanajeshi wetu Comoro kwa kisingizio cha kusambaza demokrasia mlikuwa mnachekelea na kuwaita wale waliokuwa wanapinga sio wazalendo leo mfadhili anapewa kichapo imekuwa nongwa?
be blessed,I appreciate you for reminding us this move.
 
kama uelewi kwa undani nini kinaendelea uliza kwanza sio kukurupukia vitu ka ushabiki usio na tija. elewa hakuna vita iliyokua ndogo. na kwa msimamo wa libya hii vita utaona impact yake hata wewe mwenye maisha magumu yatazidi kuwa magumu na utasingizia serikali ya awamu ya nne.
 
Gaddafi lazima akamatwe na ashitakiwe!

Gadhafi Must be Captured, Put on Trial, Says OppositionLeader

Hadi Shalluf, president of the Justice and Democracy Party says Gadhafi is a criminal and the opposition will not negotiate with him
LIBYA_03_19_11_300x300.jpg
Photo: YONHAP NEWS

A Libyan opposition leader says coalition forces enforcing the U.N-authorized no-fly zone over Libya should capture leader Moammar Gadhafi so that he can be put on trial at the International Criminal Court (ICC) for crimes against humanity. Hadi Shalluf, president of the Justice and Democracy Party of Libya, says the opposition is not ready to negotiate with Gadhafi because, in his words, the Libyan leader is a criminal.

“No, no negotiations with Gadhafi. Nobody can negotiate with him because he’s a criminal. He’s under investigation now by [the] ICC [International Criminal Court]. We want them [coalition forces] to capture Gadhafi live with his sons, with his family and then take him [to] trial. We will give him the right to defend himself if we capture him. If [he] decides to fight until he dies, that’s something different,” he says

-VOA
 
Nikweli tupu ktk makala iliyoandikwa hapojuu,hata canal gaddafi jana alionya nchiyake ikivamiwa kijeshi basi ukanda wote wa mediterenian na nchi za ulaya watajutia,huwezi jua nayeye anaweza kuamua kujibu mapigo kutwanga kwa makombora miji ya marseile france na huko italy,hapo ndio kina sarkozy watakapoondoshwa madarakani na raiawao kwahasira baadayakushambuliwa namajesh yalibya yaliyochokozwa,walishazoea kuuwa wenzao wao wako mbali ila kwahili la libya watakoma,makombora ya gadafi yanatua mpk ulaya.
endelea kujidanganya
 
Maslahi gani? Libya tayari alikuwa anauza mafuta take kwa wingi nchi za magharibi na isitoshe NOC walikuwa wamesaini mikataba ya mabilioni na kampuni za uingereza na as far as I know kulikuwa hakuna mushkeli wowote kwenye ku supply mafuta kwenda Europe.

Hayo maslahi mnayoyasema ni yapi?

Kwanza unatakiwa uelewe kuwa Gadafi ni mmoja wa viongozi amabao hakubaliani na matakwa ya America na washirika wake, na hilo Gadafi huliweka wazi kabisa.
Utakumbuka ule uvamizi wa Iraq, America walizua visingizio vingi matokeo yake wakatengeneza njia za kusafirisha mafuta kutoka Iraq kwenda Kuweit then America. Hatimaye lengo lao likatimia.
Wanachotaka America sio kununua mafuta ya Libya bali ni kupora mafuta ya Libya, nielewe.
 
So long as kaua raia wake,hata wakimchinja sawa tu!

Mna mtetea eti mwanzillishi wa AU anavamiwa na AU iko kimya,kwani AU ilifanya nini pale kwanzilishi wake alipokuwa anaua raia wake kama mende?

Me naona UN wanachelewa kuingia kumtoa kabisa na kumnyongelea mbali kama zaidi ya saddam Hussein
 
kama uelewi kwa undani nini kinaendelea uliza kwanza sio kukurupukia vitu ka ushabiki usio na tija. elewa hakuna vita iliyokua ndogo. na kwa msimamo wa libya hii vita utaona impact yake hata wewe mwenye maisha magumu yatazidi kuwa magumu na utasingizia serikali ya awamu ya nne.
sasa wewe ndio unaelewa nini badala ya kuleta hoja unabakia kulalama.
madhara yapo ila hayalingani ya uhai wa binadam uliokuwa ukitolewa na Gadaff.
 
[/CENTER]


[CENTER][IMG]http://i.huffpost.com/gadgets/slideshows/18483/slide_18483_255371_splash.jpg​

hapa ndipo huwa nachoka na imani. hawa kwa mujibu wa pro gadafis ni rebels-wanasali kumwomba nani awasaidie kupata ushindi na wale wa gadafi nao muda ukifika wanasali kumwomba nani awasaidie wapate ushindi?
 
Back
Top Bottom