Miafrika ya namna hii inatakiwa kuuliwa hadharani.
nI JUMUIYA YA KIARABU NDIYO ILIYOPELEKA RASIMU YA NO FLY ZONE UN,sasa wafaransa na washirika wake wanasaidia kutekeleza azimio lililopitishwa.
hebu fuatilia kauli waliyoitoa wamasonia kuhusu vita ya libya ndio ujue tunapoelekea.
I saw in newsweek few weeks ago you can google that,libya spent less on their military than denmark it has only 50000 troops half of them defected to benghaz so if the bombing continour the have no choise but to melt into civilian and launch guerilla war that is what west are afraid off cause they will have to put troops ön the ground then the real game will began by the end usa and company will run away crying..ooh I RAN FROM IRAN like they did in irag
Mkuu hiyo ya kusema mafuta ya iraq yanapitia kuwait ni uongo, kusini mafuta yanapitia kwenye bandari ya basra na kaskazini yanapitia kirkuk through uturuki. Ungesema ufaransa na italy ndio wanataka kupora mafuta ya libya ningekuelewa.Kwanza unatakiwa uelewe kuwa Gadafi ni mmoja wa viongozi amabao hakubaliani na matakwa ya America na washirika wake, na hilo Gadafi huliweka wazi kabisa.
Utakumbuka ule uvamizi wa Iraq, America walizua visingizio vingi matokeo yake wakatengeneza njia za kusafirisha mafuta kutoka Iraq kwenda Kuweit then America. Hatimaye lengo lao likatimia.
Wanachotaka America sio kununua mafuta ya Libya bali ni kupora mafuta ya Libya, nielewe.
...na nichajua mimi Libya wanajeshi kali sana.
Tayari nimesikia ndege kadhaa za maerkani zimeshatunguliwa, hii vita itawawia vigumu sana Marekani tena kuliko ile ya Somalia miaka ile ya tisini.
mzima kweli hujanisoma.Kuna watu wanahalalisha uhalifu wa Gadaff just bcs Somalia and Ivory coast,hapo ni sawa na kusema wanainchi wasimseme vibaya Chenge vijisenti kwa sababu kuna mafisadi wengine ccm
wewe ndio usi-twist ukweli,jumuia ya kiarabu warikubari tu kwa NO FLY ZONE na wamesisitiza hilo jana/leo
Lini Afrika itakuwa huru?
Hapa ishu sio kumuacha Gadafi uwe raia wake, ishu ni kwamba kwa nini kule Ivory cost raia wanauliwa na majeshi ya Gagbo na hawa UN hawafanyi kama libya?hata mi siwaelewi hawa watu. yaani ni halali qaddafi kuuwa mende wa libya, lakini ni haramu kumshikisha adabu ili awache kuuwa mende wa nchi yake?
Hehehe mkuu hii umeitoa kwenye forums za pro gaddafi? Command ya hii operation iko Naples Italy, base nyingine zinazotumika ni Sardinia na Sicily tornadoesbna typhoon za uingereza zinaruka kutoka marham raf base.Obama is a brown useless chocolate coloured moron,leave libya to sort themselves out .he repeating mistake of eghpty by removing mubaraka he allowed muslimbrothehood to control cairo dat is why hilaly clinton was refused by ntantawi when he wanted egpty to allow their military base to be used by west to attack gadaf and also cairo now recognize hamas
Umesoma provisions za kwenye hiyo resolution au unalalama tu? Hawa jamaa wamekubali kupitisha resolution bila kusoma kilichomo inanikumbusha viongozi wetu wanapitisha mikataba bila kusoma fine prints.
Mbona Somalia hawaendi kusaidia raia wasio na hatia miaka na miaka wanauawa?