The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

EMT,
Kuna ubaya wowote wa Gaddaffi kuwa mwarabu na pia kuwa mwafrika?
Libya kweli ni member wa Arab league...lakini mbona umeishia hapo tu. Je Libya si member wa AU?

Mifano mengine ni ya OIC, Msumbiji na uganda ni member wa OIC. je nchi hizi ni nchi za kiislamu?
Tanzania ni member katika jumuiya tofauti je kuna ubaya gani?

Unasahau kuwa tuna watanzania amabo pia ni wahindi , na tuna watanzania wamakonde, wachaga na kina RA..hata Tabora wapo Watanzania, wanyamwezi,waarabu zote hizi ni sifa za mtu mmoja. Kuna tatizo gani?

Lakini usisahau pia watu wengine huwa na Identity crisis, hujikuta kachanganya damu huku na huko. Kama Obama. US bithers wanasema Obama ni mkenya. hili lilimchanganya Obama katika utoto wake mpaka akatumia bangi. Akamalizia kujiita Black American lakini si unamjua mama yake? mama yake ni mweusi kama mpingo! LOL.

Kwa hiyo Gaddaffi ni mwafrika na pia mwarabu.
 
Nonda, Gaddafi kaanza kujitambulisha kama muafrika lini? Nimekutana na north Africans wengi hakuna ata mmoja anayejitambulisha kama muafrika.
 

Mkuu kuna watu wanataka Somalia nako kuwa na no fly zone kama libya. Wapi na wapi.
 

Mkuu.
Somalia waliwauwa wanajeshi wa wamarekani wengapi hata waogope kurudi kule?
wamarekani na west wengapi wameshauliwa Iraq na Afghanistan? mbona hawajaondoka huko?

Hebu eleza kilichotokea Somalia ambacho West na US kiliwafanya watoke na wasirudi, na waruhusu maelfu ya raia wa Somalia kuendelea kuteseka na kuuawa.

Je wao kufa au kuuliwa ni msiba lakini wanapoua hata malaki ya watu huwa si kitu?
 
Nonda, Gaddafi kaanza kujitambulisha kama muafrika lini? Nimekutana na north Africans wengi hakuna ata mmoja anayejitambulisha kama muafrika.

Mkuu
Jibu lako ni rahisi kama Unajua lini Libya ilijiunga na AOU na baadae kuwa AU.
 

Swala la Libya je AU waliomba msaada kwa hayo majeshi ya magharibi kupiga Libya?
 
Wakati hiyo useless nations (UN) walipokaa kimya kwenye yale mauji ya Rwanda watu mlipiga kelele kama nini. Leo wameact kuzuia another massacre, mnapiga kelele. what you want this useless nations to do?

Kwasasa naona jinsi hiyo useless nations inavyojiendesha..pia mind you siku-support Gaddafi kukaa madarakani kungángánia ila wananchi wake ndio walikuwa wanatakiwa wamtoe..hivi ukiangalia tangia hiyo no-fly zone decision ilivyopita hali ya Libya ikoje,imesaidia chochote au situation imekuwa mbaya zaidi?
I still feel sorry for Libyan people, that's it...Pia maamuzi ya UN hayakuwa sahihi na bullshit to western countries kujifanya wanatatua matatizo ya nchi za Afrika..full unafiki!
 
Ghadafi is the mannnnnnnnnnnn........fight the babylon invasion....MAXIMUM RESPEKKTTTTTT GADAFIIIIIIIIII
 
tatizo la mitanzania ni kwamba inamtetea Gadafi kwasababu amewajengea msikiki kule dodoma, sasa kama amewajengea msikiti na yeye ni muuaji ana faida gani hapa duniani? mimi napenda wamtupie bomu la kichwa apotelee mbali kabisa.
 
Nonda, Gaddafi kaanza kujitambulisha kama muafrika lini? Nimekutana na north Africans wengi hakuna ata mmoja anayejitambulisha kama muafrika.

Tuko nao wengi tu huku ughaibuni wa-Libya na wa-egypt wote hawataki kuitwa waafrika na ukiwaambia wanatoka Africa basi watakutukana. Msilazimishe kuwaita waafrika wakati wao hawautaki
 
Nonda, Gaddafi kaanza kujitambulisha kama muafrika lini? Nimekutana na north Africans wengi hakuna ata mmoja anayejitambulisha kama muafrika.

Tabia ya Gadafi kujiita Mwafrica kaitaka mwenyewe wala hajaombwa. Amewahi hata kuwaomba Waethiopia eti wajiunge na Arab League wakamkatalia kwa kumwabia wao sio Waarabu akaishia kuwapata Wasomali. Jambo hilo lilimchukiza Gadafi hasa kwa madai yake kuwa Ethiopia ndio ilipofanyika Hijra ya kwanza ya wafuasi wa Mtume kwa hiyo Ethiopia kutojitambulisha kama nchi ya Kiarabu inamuuma sana hadi akataka kuhamisha makao makuu ya AU toka Ethiopia kwenda Sitre huko kijijini kwake alikozaliwa.


Gadafi amewahi kutaka kupiga marufuku wananchi wa Libya wanaozungumza lugha za ki-berber akidai duniani hakujawahi kuwa na watu wanaoitwa berber na kwamba hizo ni fabrication za wazungu. Amekuwa akiwatukana wa-berber hadharani ndio leo tuamini kuwa yeye ni mwafrica?

Huyo ndiye Gadafi.
 
tatizo la mitanzania ni kwamba inamtetea Gadafi kwasababu amewajengea msikiki kule dodoma, sasa kama amewajengea msikiti na yeye ni muuaji ana faida gani hapa duniani? mimi napenda wamtupie bomu la kichwa apotelee mbali kabisa.

Siku watakapomnyonga kama Sadam na jina la msikiti itabidi wabadilishe.
 
Siku watakapomnyonga kama Sadam na jina la msikiti itabidi wabadilishe.
ufaransa ilishasema hawana lengo la kumwondoa madarakani bali kumzuia asiendelee kuuwa raia kwa hiyo hamna uwezekano wa kunyongwa.

Kuna watu wanajificha kwenye vivuli vya dini hasa uarabuni na kuendesha mauaji ya kutisha.
 
Mkuu.
Somalia waliwauwa wanajeshi wa wamarekani wengapi hata waogope kurudi kule?
Nenda kaangalie Black Hawk Down.
All jokes aside wanajeshi 18 wamarekani waliuliwa kama unakumbuka kuna picha za wanajeshi walikuwa wanaburuzwa mtaani wakiwa hawana nguo, Malaysia na Pakistan walipoteza wanjeshi vile vile.

Wanajeshi 24 wa Pakistan walikuwa ambushed wakati wanafanya uchunguzi hii ilikuwa kwenye UNOSOM 1

wamarekani na west wengapi wameshauliwa Iraq na Afghanistan? mbona hawajaondoka huko?
Wanajeshi wa Marekani waliobaki Iraq wamebaki kwenye role ya mafunzo na ushari tu sio tena kwenye mission, all in all kwenye vita vyote nadhani wamekufa 6000 sijui exact number (ukigoogle utapata jibu kamili)

Hebu eleza kilichotokea Somalia ambacho West na US kiliwafanya watoke na wasirudi, na waruhusu maelfu ya raia wa Somalia kuendelea kuteseka na kuuawa.
Nenda kasome hisoria ya Battle of Mogadishu 1 na issue zote za UNISOM 1 and 2

Je wao kufa au kuuliwa ni msiba lakini wanapoua hata malaki ya watu huwa si kitu?
Ilo jibu wanalo wao wenyewe, kama Saddam alivyosema wakati wa Gulf War 1 "Yours is a society which cannot accept 10,000 dead in one battle."
 
ufaransa ilishasema hawana lengo la kumwondoa madarakani bali kumzuia asiendelee kuuwa raia kwa hiyo hamna uwezekano wa kunyongwa.

Kuna watu wanajificha kwenye vivuli vya dini hasa uarabuni na kuendesha mauaji ya kutisha.

Wasipomkamata na kumuua mapema vita ya Libya haitaisha mapema na itakuwa hasara kubwa kwa west. Wanasema tu kuwa hawana mpango wa kumkamata lakini ukweli lengo lao ni kummaliza mapema sana tena kumuua.
 
Hayo mataifa Wameyafanya ya Iraki yamewashinda, wameyafanya ya Afganstan yamewashinda sasa ni Libya!

Sioni sababu ya wao kuingilia na kujifanya wanatetea wananchi, Wana lao jambo wale hamna kitu, Hawawezi kwenda Somalia wala Ivory Coast.

Basi ebu shauri wangefanya nini? Shauri basi nasi Africa tufanye nini?
 
Mkuu
Jibu lako ni rahisi kama Unajua lini Libya ilijiunga na AOU na baadae kuwa AU.
Ukisoma historia utagundua kuwa Gaddafi miaka yote ya nyuma alikuwa anachampion taifa la kiarabu *(Arab Gathering), kamwe hakuwahi kupigia kelele mambo ya umoja wa kiafrika mpaka mambo yalipogoma uko kwa wenzake ndio akaona aje uku kwa weusi akamwaga mihela wee wakamteua mwenyekiti wa AU na OAU ikavunjwa.

*"He has a split personality - both parts evil." - Nimeiry
 
Mkuu kuna watu wanataka Somalia nako kuwa na no fly zone kama libya. Wapi na wapi.
Heheh Somalia ata ndege hawana, lakini kama watu wana uchungu na vinavyotokea Somalia si wapeleke resolution kwenye baraza la usalama badala ya kulalama tuuu.

Waacha hii dozi ya Gaddafi itolewe madikteta wengi na wale wanaopenda kuoppress wananchi wao watafikiria mara mbili mbili sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…