The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Nawashangaa watanzania wenye matatizo kibao yasiyo na tiba nashangilia marekani wauaji wakubwa kuipiga Libya!! hana umeme,maji,barabara wala huduma za afya...jue US anataka kuiba mafuta sio kingne chochote
Mkitaka kuona USA wabaya na wanaweza kutushambulia tutangaze kuuza Uranium Iran lazima wahakikishe serikali inapinduliwa na wanazoa uranium yote,
 

elekea kule iternational forum kama unadhani unahoja yenye mashiko
 
crapppppppppppppppppppp
 
mie hayo ma US na UK...huwa yananiboa kweli kuingilia affairs za nchi nyengine na maguvu yao,mpk leo Iraq inajikongoja kwa sababu ya upuuzi wao na ukiangalia kulikuwa hamna sababu....:hatari:
tanzania hatukupeleka jeshi Comorro?pale tulienda kunywa maji ya madafu sio?kule sio kuingilia mambo ya ndani ya nchi ingine?By that time libya alitoa logistic support kwa vikosi vyetu comorro.
 


Jamaa naona kapiga kabisa magwanda ya Amerika!



Mchizi naona mambo yake poa asapiga mzigo kwa kutegemea kwamba mbele kuna neema




Huyu mchizi anawashangaa wanaomsapoti **** Obama

Mafutaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
i hate america forever

I love America 4ever! Ni Kiranja wa dunia, hata kwenye familia lazima awepo Baba na Mama na watoto، wote hamwezi kuwa baba ndiyo maana hata likiwepo suala la misaada husaidia hata kama ni kwa masharti maana hata wewe huwezi kutoa mali yako pasipo masharti. Siku tukijiweza kama China poa،
 
i love and i will love democracy forever
Democracy!, IvoryCoast, Somalia, Afgan, irak,Pirates, Bandids!. Poor Africans!.Poor AU!.

All we have to say is Thank u Americans, bilakuangalia nini wanakifanya na kwa nini na madhara yake??

I doubt!
 
Which is right?

(1) Muammar Qaddafi,
(2) Mo’ammar Gadhafi,
(3) Muammar Kaddafi,
(4) Muammar Qadhafi,
(5) Moammar El Kadhafi,
(6) Muammar Gadafi,
(7) Mu’ammar al-Qadafi,
(8) Moamer El Kazzafi,
(9) Moamar al-Gaddafi,
(10) Mu’ammar Al Qathafi,
(11) Muammar Al Qathafi,
(12) Mo’ammar el-Gadhafi,
(13) Moamar El Kadhafi,
(14) Muammar al-Qadhafi,
(15) Mu’ammar al-Qadhdhafi,
(16) Mu’ammar Qadafi,
(17) Moamar Gaddafi,
(18) Mu’ammar Qadhdhafi,
(19) Muammar Khaddafi,
(20) Muammar al-Khaddafi,
(21) Mu’amar al-Kadafi,
(22) Muammar Ghaddafy,
(23) Muammar Ghadafi,
(24) Muammar Ghaddafi,
(25) Muamar Kaddafi,
(26) Muammar Quathafi,
(27) Muammar Gheddafi,
(28) Muamar Al-Kaddafi,
(29) Moammar Khadafy,
(30) Moammar Qudhafi,
(31) Mu’ammar al-Qaddafi,
(32) Mulazim Awwal Mu’ammar Muhammad Abu Minyar al-Qadhafi.
(33) Muammar Gaddafi

Hata yeye mwenyewe hajasema tamshi halisi la jina lake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…