The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Daima ndege za Marekani huwa hazitunguliwi na adui. Huwa zinaanguka tu zenyewe au hutunguliwa na wenzi wao katika kile kinachoitwa friendly fire.

Inasemekana katika any war the first casualty is the truth -- na Marekani kwa propaganda za kivita huwa hakuna wa kumfikia hata kwa asilimia mbili. Marekani itajiona vipi iwapo ndege hiyo ilikuwa imetunguliwa! Aibu kubwa kwa taifa kama hilo.

Kwani kweli haiwezi kutunguliwa? Mwaka 1986 wakati wa uchokozi wa Reagan dhidi ya Libya -- kuna ndege moja ya Marekani ilitunguliwa na Libya -- kama kukmbukumbu zangu bado zinafanya kazi.
 
Kwanini wamarekani wanakua wababe juu ya mataifa mengine? Je wanataka kumuua Gaddafi km walivyomnyonga sadam Hussein bila kupata walichoita silaha za maangamizi? AU nini maana ya uwepo wake km hawana maamuzi ktk hili?
 
Mbwa wakubwa ni Ghaddaf, familia yake na Jeshi lake wanaoua raia wao kwa kudai demokrasia katika nchi yao! Libya ni nchi ya wana Libya wote sio Ghaddaf na familia tu!!

So US ndo wazee wa Demokrasia??
 
:smash:safi sana mbwa wakubwa hawa:smash:

Askari wa marekani 1 akifa hesabu askari wa Libya 1000 - nani anapata loos? Gadafi mwisho wake umefika na atanyongwa kama sadam for your info.
 
That's just the beginning, many morecasualities to come. 1990/91 Senior Bush alipovamia iraq alisema ni 3days operation, lakini ilipita miezi mi3 wakakimbia kwa aibu na sadam akabaki mshindi.
viva la Col Qaddafi
 


sidhani kama uko sahihi kwenye kila kitu hapo juu..
kuna ndege ya marekani ilitunguliwa wakati wa vita vya Kossovo

U.S. F-117 Stealth Fighter Is Downed in Yugoslavia
 
Gaddafi ni mlibya aliyelipukwa na wendawazimu wa ajabu kabisa, kufikiri alizaliwa kuwatawala walibya wenzake kwa umri wake wote, badala ya kukubali kukataliwa kuendelea kutawala, yeye kawaalika wageni kuja kuivuruga libya, marekani na washirika wake kwa sasa wanawatetea walibya kwa kuwapiga walibya, hayo ni matokeo ya wendawazimu wa gaddafi, alichokosea ni kuwapiga wananchi wenzake akijikweza kuwa na ubora kuliko walibya wengine, jumuiya ya kimataifa huwa haifurahii kiongozi wa nchi yoyote kuwashambulia raia wa nchi yake, maadamu wameshaanza kumlegeza nguvu za magoti, vifundo vya miguu,mabega na viwiko vya mikono, ajue mwisho wake umekaribia kama sii umefika.
 
Let him go, why killing innocent people:lol:

West and US.!!??....All I wanna say say is that they , west and US ,don't care about us!! It is not abous us, innocent people.


 
Last edited by a moderator:
Dah,dude lime crash afu hajafa mtu?
Hehe,ingekuwa ya nchi fulani hapo duh,majivi tu
 
Gadafi siku zake zinahesabika.......haikubaliki na haitakubalika kuuwa walibya na silaha za kivita ambazo zimenunuliwa na kodi za walibya! Huu ni ushetani mkubwa! Libya ni ya walibya na si ya gadafi na familia yake..........hakuna marefu yasiyokuwa na ncha! Hili ni pigo moja bado mapigo kadhaaa yanakuja toka kwa Mungu Kwa kusema Biblia si kitabu cha Mungu!
 
Inaitwa operation odyssey,kwa nini? Sikia.why they choose march 19 to start the war.for the same reason bush choose march 19,2003 to attack irag.
March 19 is the birth date of minerva or athena goddes of war.mungu wa vita wa wagiriki athena alizaliwa tarehe hiyo na kila mwaka wanasherekea march 19 hadi 23 kwa kutoa kafara ivo walibya wanatolewa kafara
 
The BBC's Allan Little in Tripoli says that it's very hard for reporters on the ground to know what's been hit in the Libyan capital. Our correspondent adds that the Libyan government has shown no evidence that civilians have been killed in the air raids.
 
Inaitwa operation odyssey,kwa nini? Sikia.why they choose march 19 to start the war.for the same reason bush choose march 19,2003 to attack irag.
March 19 is the birth date of minerva or athena goddes of war.mungu wa vita wa wagiriki athena alizaliwa tarehe hiyo na kila mwaka wanasherekea march 19 hadi 23 kwa kutoa kafara ivo walibya wanatolewa kafara
 
The BBC's Allan Little in Tripoli says that it's very hard for reporters on the ground to know what's been hit in the Libyan capital. Our correspondent adds that the Libyan government has shown no evidence that civilians have been killed in the air raids.

SASA HAO WANAO SEMA KUWA USA, FRANCE WAMEUWA RAIA wao walipata wapi?
 
Inaitwa operation odyssey,kwa nini? Sikia.why they choose march 19 to start the war.for the same reason bush choose march 19,2003 to attack irag.
March 19 is the birth date of minerva or athena goddes of war.mungu wa vita wa wagiriki athena alizaliwa tarehe hiyo na kila mwaka wanasherekea march 19 hadi 23 kwa kutoa kafara ivo walibya wanatolewa kafara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…