Ingia hapaGADDAF YUPO ON AIR MUDA HUU KWA MARA NYINGINE TENA-MUDA HUU ANASEMA YEYE HAFWATILII SATELITE TVs,SO HAJUI NINI WANACHOSEMA WAO
Al Jazeera English: Live Stream - Watch Now - Al Jazeera English
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia hapaGADDAF YUPO ON AIR MUDA HUU KWA MARA NYINGINE TENA-MUDA HUU ANASEMA YEYE HAFWATILII SATELITE TVs,SO HAJUI NINI WANACHOSEMA WAO
hii statement yake iunaendana sawa na ya mtoto wake wa alipokuwa anahojiwa na sky news-yeye alilaumu al-jazeera kwa kuchochea machafukoThis means...watu wa magharibi wanabagua kuonyesha protests za wanaomuunga mkono.
sawa-pia cnn,sky news na bbc wanamuonesha
This means...watu wa magharibi wanabagua kuonyesha protests za wanaomuunga mkono.
lakini kumbuka pia al-jazeera wanaonyesha picha za maandamano na machafuko,na al jazeeera sizan kama watakuwa upande wa marekani au wa alqaedani kawaida yao kubagua,hata Iran walifanya hivyo baada ya uchaguzi ila kidume akawaweka sawa.... wao wanamtumikia kafiri wao na si Gadaffi.....mi nachoshindwa kuelewa Mpevu...hao al-qaeda na marekani wameungana au kila mtu na malengo yake wakishamtoa Gadaffi? mbona patakuwa hapatoshi? kuna hatari ya kambi moja kufanikisha malengo ya nyingine!!kazi kweli kweli!!!
ni kawaida yao kubagua,hata Iran walifanya hivyo baada ya uchaguzi ila kidume akawaweka sawa.... wao wanamtumikia kafiri wao na si Gadaffi.....mi nachoshindwa kuelewa Mpevu...hao al-qaeda na marekani wameungana au kila mtu na malengo yake wakishamtoa Gadaffi? mbona patakuwa hapatoshi? kuna hatari ya kambi moja kufanikisha malengo ya nyingine!!kazi kweli kweli!!!
Aninikumbusha wakati wa "Vita ya Iraq" kulikuwa na Waziri mmoja wa Saadam Hussein (RIP) akitoa propaganda kama hizo! Wakati serikali ilikwisha poteza uwezo wa kutawala kabisa!
lakini kumbuka pia al-jazeera wanaonyesha picha za maandamano na machafuko,na al jazeeera sizan kama watakuwa upande wa marekani au wa alqaeda
hizi propaganda kweli ni controversial,maana anasema hakuna maandamano nchini mwake-maana "TERRORIST HAWAFANYI MAANDAMANO.WANA-ACT TU,Aninikumbusha wakati wa "Vita ya Iraq" kulikuwa na Waziri mmoja wa Saadam Hussein (RIP) akitoa propaganda kama hizo! Wakati serikali ilikwisha poteza uwezo wa kutawala kabisa!
Nimekupa mfano wa al jazeera ambayo si ya magharib ili kuweka sawa hio statement aliyosema kuwa westerners wapo biased-ndo nikatoa mfano wa al jazeeera ambao si westerners lakini pia wanatoa habari za gaddafi-MAY BE NA HAWA AL JAZEERA PIA HAWAMTAKII MEMA GADDAFIhivi Al-jazeera ni ya magharibi? CNN,BBC,SKY etc ndo za magharibi navyojua.....ok,kweli Al-jazeera wanajitahidi ila nao kuna wakati wako biased!!!!!
The USA pamoja na Al-qaeda wote wana malengo tofauti ya kimaslahi juu ya Libya, Ukifanya uchambuzi utagundua mpaka muda huu ni kwamba al-qaeda hawajatoa tamko lolote lenye kuhusu hali ya Libya na midle east in general. Kitakachotokea pale ni nchi kuendeshwa na vibaraka wa pande zote hizo mbili, kwa hali ya Libya jinsi ilivyo ni rahisi sana kwa makundi kama al-qaeda kujipenyeza na kuwa na himaya yao ndani ya nchi...'ukizingatia vijana wanataharuki na hawajui pakwenda'.
Pale midle east ndio kila kitu kilianzia pale, mitume wakuu wote wametokea pale, machafuko mengi yanatokea pale, unyama unatokea pale, miji mitakatifu ipo pale, masinagogi ya mitume yapo pale, misikiti mitakatifu ipo pale, makanisa makuu yapo midle east...basi inabaki ni mitazamo yetu tu wanaadam.
Ni rahisi sana kwa Gaddafi kuegemea upande wa al-qaeda kama akishawishika vizuri kuliko kuungana/kuwakubalia wakuu wa magharibi.
Nimekupa mfano wa al jazeera ambayo si ya magharib ili kuweka sawa hio statement aliyosema kuwa westerners wapo biased-ndo nikatoa mfano wa al jazeeera ambao si westerners lakini pia wanatoa habari za gaddafi-MAY BE NA HAWA AL JAZEERA PIA HAWAMTAKII MEMA GADDAFI
Naona huyu mkuu anawamwagia civic education Libyan Style!Aninikumbusha wakati wa "Vita ya Iraq" kulikuwa na Waziri mmoja wa Saadam Hussein (RIP) akitoa propaganda kama hizo! Wakati serikali ilikwisha poteza uwezo wa kutawala kabisa!