The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Ni vigumu kumvumilia rais anayeuwa raia kwa staili ya Gadaff, nguvu ya umma haiwezi kumwondoa madarakani kwa kuwa anajibu kwa silaha kali kama vile umma una silaha za kijeshi.
Kama kweli Gadaff anapendwa yanini kukodi wanajeshi (from Somalia and Mali) kuuwa walibya? je dunia ijitenge kama ilivyojitenga wakati wa mauwaji ya kimbari Rwanda?

Gadaff kaifanyia mengi mazuri Libya ila asitumie hicho kama kigezo cha kuwauwa raia wasio na silaha.
 

A US Marine Corps CH-53E Super Stallion transport helicopter hovers above the deck of the USS Kearsarge amphibious assault ship near Santa Marta
 

The US Navy's USS Kearsarge amphibious assault ship anchors off Santa Marta
 
0022190fd3300ed911a60f.jpg

US Navy ships of the Kearsarge Amphibious Ready Group and the Enterprise Carrier Strike Group are seen underway in close formation in the Red Sea in this February 16, 2011 handout photo provided by the US Navy
 
Yaani hapa ni sikio la kufa halisikii dawa, si tupo tunaona IRAQ jamaa wanakomaa demokrasi na kila kitu ila hamna kitu kama ukiangalia western wameanza huu ustarabu baada ya wao kuendelea ila ni ngumu taifa kuendelea bila udikteta.(yaani tuanze kwenye utumwa,vita za dunia .....)
-Angalia IRAQ ya saddam,Libya,China,Zimbabwe ya zamani (maendeleo yao na sasa baada ya democracy) halafu angalia na democracy ya bongo (bora tungebaki kwa mkoloni).
-Angalia majanga ya Sudan,Ivory coast watu kimya hawana muda,ila Libya unaweza kuta sio raia wala nini front wa US secret agencies ndo wana call the shot.
Labda na bongo tuandamane marekani watakuja kumtoa mkwere si tuna resources nyingi.
 
Mkuu hawa wamagharibi ni vizabizabina kweli, wazandiki na tena ni wanafiki wakubwa, kama kweli wanataka demokrasia duniani kwanza wangekepeleka manowari na wanajishi wao ivory coast kumng'oa dikteta Gbagbo. kwani ni zaidi ya wiki sasa wanajeshi wake wanaua watu wanao muunga mkono rais Outarra. Hivi leo wakisikia maandamano yametokea Saudia au Iran utawaona jinsi watakavyo anza vikao vyao vya kinafiki katika jina la umoja wa mataifa na kupanga mikakati ya kuweka vikwazo na uvamizi wa kijeshi.
Believe me hata kama wananchi wa nchi za africa mashariki, na kusini mwa jangwa la sahara tutaandamana kupinga serikali zetu tusitegemee msaada kwa hawa jamaa kwani serikali zetu sio makini na wala si tishio kwa nchi zao. Sanasana watakachofanya ni kutugawia silaha tumalizane wenyewe kwa wenyewe ili waendelee kuvuna rasilimali zetu.

Hapo ndo ninapochoka na marekani na maana yao halisi ya DEMOCRACY...................:rain:

 
lakini jamani si aondolewe na watu wake wa libya? - kuna haja gani ya hawa mabepari kutaka kuingilia kijeshi? Si watategemea malipo fulani?

mbona yeye kachukua mercenaries dhidi ya wananchi wake?
 
Waislam wa Tanzania hata kwamba Gadafi alishawahi kutuma majeshi yaje kumsaidia idi amini dadaa kuipiga Tanzania, wao hadi leo bado wanampenda na kumsapoti Gadafi, kwasababu yeye ni extremist wa kiislam ambaye hana utofauti na osama bin laden....nasikitika kwamba, mwaka huu ni mbaya kwake. lazima atatoka tu hata kitumia nuclear...na wote wanaomsapoti wataaibika midomo wazi....nampa wiki chache sana kuanzia leo...na akitoka tu, the Hague inamsubiri kwa crimes against humanity alizofanya kwa kuruhusu public massacre kwa civilians...UN security council imesha refer iyo kitu kwa prosecutor, na investigation ikifanyika muda wowote atapigwa arrest warrant, ataishi maisha magumu maisha yake yote, akitembelea nchi yoyote anakamatwa, na asset zake wamefreez...angelijua angejitokea mikono myeupe kama alivyofanya Mubarak....pole yake, na pole kwa supporters wa magaidi waliopo Tanzania....
Samahani mkuu una assume mimi ni muislam? kama ni ndio naomba niombe radhi.

sidhani kama gadhafi ni Gaidi au inawezekana sijui maana ya Gaidi wana jamvi watanisaidia maana.
 
Lakini jamani si aondolewe na watu wake wa Libya? - kuna haja gani ya hawa mabepari kutaka kuingilia kijeshi? Si watategemea malipo fulani?
Yes malipo ya mafuta!!! Libya anayo ya kutosha (acha ambayo bado hayajaanza kuchimbwa)!! Halafu unakumbuka jamaa walikua na usongo naye siku nyingi wametafuta nafasi ya kumvamia wee wakakosa wakaishia kumpiga kwa ndege wakati fulani sasa wameipata sababu ya kuingia!!
 
Rebels in Libya have been celebrating after fighting off an attempt by troops loyal to Col Muammar Gaddafi to retake the eastern oil port of Brega.

The town was full of jubilant people, who fired their guns in the air, the BBC's John Simpson in Brega reports.

Well-armed Gaddafi forces had arrived in large numbers, and at one stage appeared to hold the upper hand. But they were later forced to retreat.

Meanwhile, Col Gaddafi warned he would "fight until the last man and woman".

In a televised speech, Col Gaddafi also said that thousands of Libyans would die if Western forces intervened.

Discussions continue at the UN about the idea of implementing a no-fly to stop pro-Gaddafi forces launching air attacks on rebel forces.

But the BBC's Barbara Plett in New York says Russia, among others, is unlikely to support any no-fly zone proposal unless there are air raids by Colonel Gaddafi's forces on civilians.

Meanwhile, Venezuela's President Hugo Chavez has spoken to Colonel Gaddafi to discuss the establishment of a "peace commission" to mediate in the country.

Communications Minister Andres Izarra did not say how the Libyan leader had reacted to President Chavez's proposal.

'Important reverse'
The BBC's John Simpson said that he had been to Brega's seashore and university, where the heaviest fighting took place on Wednesday, and they appeared entirely clear of pro-Gaddafi troops.

Our correspondent says that a senior rebel officer suggested the Gaddafi troops - who had arrived in more than 100 vehicles and had managed to briefly seize the university and an oil refinery - might have run out of ammunition and been forced to withdraw.

The excited rebels appear to be very proud of what they have achieved, our correspondent says, and the feeling in the town is that Col Gaddafi's men do not necessarily have their hearts in the job.


A Libyan air force plane did recently drop one bomb nearby, he says, but the attempt by Col Gaddafi to move on the eastern rebel-held areas - his first such attack in two weeks - appears for now to have been repulsed and, although this is by no means a final victory, it is an important reverse for the Libyan leader.

Medical sources in Brega told BBC Arabic that 14 people had been killed in the fighting.

Our correspondent says an airforce plane had earlier tried to bomb the vast weapons dump on the outskirt of Ajdabiya 50km (30 miles) from Brega.

He says most people in Ajdabiya probably assumed at that point that Col Gaddafi's forces were on their way and that there was little between them and the rebel capital Benghazi 100 miles away. But volunteers came pouring in from Benghazi and Ajdabiya.
BBC
 
Source BBC: Marekani, Uingereza na nchi kadhaa za ulaya zinanuia kummaliza Gaddafi. Nyingine zimeshaanza kusogeza meli zake kuelekea mpakani mwa Libya tayari kutimiza nia zao. Umoja wa Waarab umekutana kupitisha azimio la kupinga uvamizi wowote wa kijeshi.

Historia za vita mbili za kwanza za dunia zilianza namna hii. Ukiangalia machafuko ya nchi za kiarabu na shutuma dhidi ya West, nashawishika kuna hatari ya vita?

Imekaaje hii? Inaweza kuchkua mrengo wa ubara, rangi, tajir/maskini au Imani? Ikiwa mrengo wa imani, je udini wa kikwete utadhihirika hapa kwetu? Au wa uswaz na maskini tutawavamia Masaki, mbez b nk? AU TUTASMAMA KM NCHI? KM ni kiNCHI, TUNA UZALENDO HUO WA KUIFIA NCHI HII ILIYOTUTOSA? Wataalam wa general reflections, analysis na political & historical diagnosis, kama mnaweza kuchkua break kidogo toka kwny hiz za upupu wa viongoz wa TZ na harakati za CDM kutimiza wajibu wao wa kikatiba&democracy, tafadhali.


Hapo nilipopigia mstari. Udini ulishachukua mkondo wake. Kama ulimsikiliza vizuri Waziri Membe TBC, alisema Tanzania itabaki 'neutral' akiwa na maana hawawezi kurahani mashambulizi ya Gadaffi zidi ya wananchi wake au kukubali wanachofanya wananchi wa Libya kundoa serikali yao baada ya utawala wa Gadaffi miaka 42. Nilichojiuliza ni hiki! How Tanzania could remain neutral for obvious facts? What is the secrecy behind Membe to remain neutral while Gadaffi is massively killing his own people like that? Any way, you all know what happened in Arusha demonstration killings and the government contravened itself, particularly Membe himself!

 
..Lesson ingine: Viongozi wa wa Afrika (Bongo, Karume, Uganda, TZ, Kenya) na Arabuni (Sadam, Hafez Al-Assad, Ali Abdullah Saleh, GADDAFI etc), wameonekana kuwapa majukumu makubwa sana watoto wao, hasa katika maswala ya kulinda maslahi yao;

Gadaffi MFANO, kawakabidhi watoto wake watatu majukumu makubwa na nyeti katika JESHI. Kama kweli anawakilisha maslahi ya walibya, kwanini aweke watto wake maeneo anayodhani ndo ya kuweza kuwadhibiti haohao anaodai wanampenda? hapa TZ tuliona wakati wa kampeni JK alisusiwa kwa kiasi kikubwa na wanasiasa wakongwe wa CCM, na in reaction, ili kulinda maslahi yake ya kuukamata tena uraHISI, akamkabidhi mikoba mwanae. Any sent/received message to the people? Nafikiri privatization & famililization of PRESIDENCY ni hatari kwa nchi, kwa demokrasia na misingi mingine ya utawala bora!
 
Rebels in Libya have been celebrating after fighting off an attempt by troops loyal to Col Muammar Gaddafi to retake the eastern oil port of Brega.

The town was full of jubilant people, who fired their guns in the air, the BBC's John Simpson in Brega reports.

Well-armed Gaddafi forces had arrived in large numbers, and at one stage appeared to hold the upper hand. But they were later forced to retreat.

Meanwhile, Col Gaddafi warned he would "fight until the last man and woman".

In a televised speech, Col Gaddafi also said that thousands of Libyans would die if Western forces intervened.

Discussions continue at the UN about the idea of implementing a no-fly to stop pro-Gaddafi forces launching air attacks on rebel forces.

But the BBC's Barbara Plett in New York says Russia, among others, is unlikely to support any no-fly zone proposal unless there are air raids by Colonel Gaddafi's forces on civilians.

Meanwhile, Venezuela's President Hugo Chavez has spoken to Colonel Gaddafi to discuss the establishment of a "peace commission" to mediate in the country.

Communications Minister Andres Izarra did not say how the Libyan leader had reacted to President Chavez's proposal.

'Important reverse'
The BBC's John Simpson said that he had been to Brega's seashore and university, where the heaviest fighting took place on Wednesday, and they appeared entirely clear of pro-Gaddafi troops.

Our correspondent says that a senior rebel officer suggested the Gaddafi troops - who had arrived in more than 100 vehicles and had managed to briefly seize the university and an oil refinery - might have run out of ammunition and been forced to withdraw.

The excited rebels appear to be very proud of what they have achieved, our correspondent says, and the feeling in the town is that Col Gaddafi's men do not necessarily have their hearts in the job.


A Libyan air force plane did recently drop one bomb nearby, he says, but the attempt by Col Gaddafi to move on the eastern rebel-held areas - his first such attack in two weeks - appears for now to have been repulsed and, although this is by no means a final victory, it is an important reverse for the Libyan leader.

Medical sources in Brega told BBC Arabic that 14 people had been killed in the fighting.

Our correspondent says an airforce plane had earlier tried to bomb the vast weapons dump on the outskirt of Ajdabiya 50km (30 miles) from Brega.

He says most people in Ajdabiya probably assumed at that point that Col Gaddafi's forces were on their way and that there was little between them and the rebel capital Benghazi 100 miles away. But volunteers came pouring in from Benghazi and Ajdabiya.
BBC
That is not victory for Ajdabiya and Bengazi its victory for democratic and freedom loving people. Aluta Continua. Libya should be liberated, from tyrannic leader Mohamar Ghadafi.
 
Source BBC: Marekani, Uingereza na nchi kadhaa za ulaya zinanuia kummaliza Gaddafi. Nyingine zimeshaanza kusogeza meli zake kuelekea mpakani mwa Libya tayari kutimiza nia zao. Umoja wa Waarab umekutana kupitisha azimio la kupinga uvamizi wowote wa kijeshi.

Historia za vita mbili za kwanza za dunia zilianza namna hii. Ukiangalia machafuko ya nchi za kiarabu na shutuma dhidi ya West, nashawishika kuna hatari ya vita?

Imekaaje hii? Inaweza kuchkua mrengo wa ubara, rangi, tajir/maskini au Imani? Ikiwa mrengo wa imani, je udini wa kikwete utadhihirika hapa kwetu? Au wa uswaz na maskini tutawavamia Masaki, mbez b nk? AU TUTASMAMA KM NCHI? KM ni kiNCHI, TUNA UZALENDO HUO WA KUIFIA NCHI HII ILIYOTUTOSA? Wataalam wa general reflections, analysis na political & historical diagnosis, kama mnaweza kuchkua break kidogo toka kwny hiz za upupu wa viongoz wa TZ na harakati za CDM kutimiza wajibu wao wa kikatiba&democracy, tafadhali.

Umeanza vizuri sana bandiko lako lakin mkuu umeshindwa kulimalizia kwani suluhisho lako ni tofauti na maudhui yako. Pole sana.

Kifupi nchi za Kiarabu zimeshagundua njama za nchi hizi za magharibi za kutaka kuzifarakanisha na viongozi na nchi kwa nchi ili damu imwagike,

Gadafi ni Gemedari na Kanali ndani ya jeshi tumwache tu awamalize wale vibaraka wa nchi za magharibi ndani ya Libya na kuendelea na utawala wake uliotukuka.

nashangaaaa. Pilipili yaliwa shamba au UK, USA na nchi za EU zinawawasha nini kama si kiherehere.
 
Watz mpaka saa hizi hakuna mshikamano wala umoja wenzetu wameuawa arusha siye kimya, mbalali siye kimya , gongolamboto siye kimya je libya?
 
The only option ni kumwondoa kwa nguvu. Gadafi lazima aondoke na hakuna taifa lolote--liwe la kizungu au kiarabu--linaloweza kuzuia. Mwangalie huyo jamaa, amejitokeza sana public jana na leo..huyo siyo kiongozi ila ni dictator!!
Hana chembe ya utu..

kaka/dada nashawishika kukujibu ila nachelea kukiri huo ni mtazamo wako na kamwe sina jinsi ya kuupinga ila kukuomba uangalie vizuri swala la kiongozi ni nini na dictator ni nini hahaha
Narejea kwenye swala Msingi sio jambo lolote baya nyuma ya gaddafi kwani hata Slaa anapingwa Tanzania na kama Slaa anaitwa mchochezi na mvunjifu wa amani wewe unafikiri gaddafi ataitwa nani na hao wanaotetea maslahi yao??? haswa swala zima la mafuta ??? Tusiwe wepesi kunyoosha kidole kwa wenzetu .... Toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndipo uone kibanzi kwa mwenzako.... Mungu ibariki afrika Mungu mlinde gadaffi
 
Umeanza vizuri sana bandiko lako lakin mkuu umeshindwa kulimalizia kwani suluhisho lako ni tofauti na maudhui yako. Pole sana.

Kifupi nchi za Kiarabu zimeshagundua njama za nchi hizi za magharibi za kutaka kuzifarakanisha na viongozi na nchi kwa nchi ili damu imwagike,

Gadafi ni Gemedari na Kanali ndani ya jeshi tumwache tu awamalize wale vibaraka wa nchi za magharibi ndani ya Libya na kuendelea na utawala wake uliotukuka.

nashangaaaa. Pilipili yaliwa shamba au UK, USA na nchi za EU zinawawasha nini kama si kiherehere.

Hapo umenena na hata kama anahitaji mamluki sie Tanzania tuko tayari kwani yetu yameshatushinda ngojea tukaongeze nguvu huko tu labada baada ya kumsaidia kule anaweza akaja nasisi huku kutuongoza kuwaondoa watawala wa kikoloni weusi....si unakumbuka mambo ya kina che guevara
 
The only option ni kumwondoa kwa nguvu. Gadafi lazima aondoke na hakuna taifa lolote--liwe la kizungu au kiarabu--linaloweza kuzuia. Mwangalie huyo jamaa, amejitokeza sana public jana na leo..huyo siyo kiongozi ila ni dictator!!
Hana chembe ya utu..

....akishaondoka,,,,,next????
 
Watu wengine hawaeleweki, wakati Ghadafi ameanza kuua waandamanaji watu walianza kulalamika mbona mataifa makubwa hasa US hawaingilii kuwaokoa walibya wasio na hatia. Sasa wamesema wanaweza kuingilia watu wanalalamika tena kuwa jamaa wanaenda kuchukua mafua.Sasa wafanyeje?

Ukweli ni kwamba jinsi maandamano yalivyoanza yalikuwa ni ya amani, yalichukua mfumo wa Tunisia na Misri. Hapo ulimwengu ulikuwa unangojea uone kama walibya watafanikiwa kumuondoa Ghadafi. Ghadafi alipoanza kuua watu, kwa muda kidogo mataifa mengine yalikuwa kimya baadae wakaanza kulaumu na kutaka asitishe kuua, kutokana na mataifa mengine kuangalia tu mauaji, walibya wamejichukulia hatua ya kuvamia kambi za jeshi na kuchukua silaha kupambana, sasa si maandamano tena ni rebellion . Ndani ya hiyo rebellion wameshajichanganya makundi mengi yakiwemo ya kigaidi. Kwa sasa hivi hali ni mbaya ni vita tu na hapo haihitaji kusaidia upande mmoja bali kusitishwa kwa mapigano.

Hatari iliyopo ni kubwa sana,
Hakuna kundi maalumu la upinzani,kila mtu na lake,wana falsafa tofauti,lakini wote hawamtaki ghadafi. Kama wakifanikiwa kumtoa nani atatawala? ipo hatari ya kuingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe,vinginevyo jeshi limtoe ghadafi halafu liweke mfumo wa demokrasia,au yafanyike makubaliano Ghadafi aendelee kuongoza kwa muda mfupi ambao ataweka mfumo wa demokrasia na kuitisha uchaguzi pasipo yeye kugombea.
 
Back
Top Bottom