The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Duh!Nimekutana na hii huyo mtoto wa Gaddafi,Saif Al Islam akiwa na Saddam,
111020_0_worldleaders-IMG_0492.jpg

Qaddafi's son, Saif al-Islam, with Saddam Hussein.
 
Kanjanja ile...
Subiri Moussa Ibrahi, Saad, Saify au Hamisi ndio watakaokuja kutupa huzuni na majonzi au kutufanya turukeruke kwa furaha.

Hao mbwa koko si walishawahi kututangazia mara kadhaa kuwa wamewakamata watoto au mtoto wa Gaddafi?

Kisha mwisho wa siku wanawasingizia eti NTC ndio waliotoa habari hizo...

Wewe utakuwa unaota. You better start grieving kama bado. Gaddafi will never rise from the dead.


Libyans have been flocking to the morgue, where Gaddafi's body was taken, and have been taking photographs of him

article-2051361-0E76175A00000578-996_634x837.jpg


Gaddafi's son Mutassim was also killed in a firefight in Sirte yesterday
article-2051361-0E76195600000578-42_634x490.jpg


Headshot: The body of former Libyan Leader Muammar Gaddafi lies in an ambulance as it is brought to hospital in Misrata, a bullet hole visible in his temple

article-2051361-0E7592D800000578-572_306x464.jpg


An ambulance carries Gaddafi's body from Sirte to Misrata

article-2051361-0E75CB2C00000578-789_634x445.jpg


An ambulance, containing happy rebel fighters, carries Gaddafi's body after he was executed

article-2051361-0E75CB9C00000578-182_634x436.jpg
 
EMT

Hiyo picha ya pili ni Gaddafi kweli? Hayo madevu vipi?

Au huyo ndo Muttassim?

Kwa waliosikitishwa ni muda muwafaka wa kuweka matanga
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Duh, muislamu mwingine tena kwishnei! Sadam, Osama na sasa Gadafi! Wahuni hawa. Uislamu tujivue gamba sasa.
 
condoleezza08.jpg


Ndio maana kwenye room yake alikutwa na albamu yenye picha za Condeleza tuu.

Dah! Ebana umenikumbusha hiyo ya albamu ilojaa picha za Leeza Leeza....lol. Jamaa kweli alikuwa dakika tano mbele.
 
Dah! Ebana umenikumbusha hiyo ya albamu ilojaa picha za Leeza Leeza....lol. Jamaa kweli alikuwa dakika tano mbele.
Hilo ni kweli,ndo maana Libya ilikuwa mbele yetu kimaendeleo zaidi ya mara tano.
 
Jamaa katolewa pangoni mithili ya Sadam! Muhuni mwingine wa kiislamu afa kwa jambiya la wamagharibi.
 
Kwahiyo Condoleeza alienda kama Condoleeza?Was it a date?

Dah! Ebana umenikumbusha hiyo ya albamu ilojaa picha za Leeza Leeza....lol. Jamaa kweli alikuwa dakika tano mbele.

Don't know but the late Gaddafi had previously hinted at a serious admiration for Condoleeza. In 2007, alisema:

"I support my darling black African woman,' he said at the time. 'I admire and am very proud of the way she leans back and gives orders to the Arab leaders. ... Leezza, Leezza, Leezza. ... I love her very much."

Mwaka 2008 kama sijakosea alimtembelea Libya and once again, Gaddafi repeatedly addressed her - known as 'Condi' to her friends - as 'Leezza'.

Three years later, at Gaddafi's compound, Libyan rebels found the photo book.
article-2030186-0D9202B900000578-273_306x353.jpg
article-2030186-0D92057D00000578-417_306x353.jpg



But Qaddafi also had a slightly eerie fascination with Condi personally, even asking visitors why his "African princess" wouldn't visit him. It seems that Gaddafi was hot for Condi and other women as well. The Condi fan photo album, the all-virgin female bodyguard corps, the voluptuous Ukrainian nurses, the wife of the former president of Zanzibar.

And in 2010,Gaddafi flied Italian women to Libya for cultural yours and romance. Gaddafi was interested in romances developing between youths from Libya and Italy, according to an Italian agency. Gaddafi reportedly has high hopes that romance will spark between Clio Evans, 25, a half-English actor from Rome who has visited Libya four times, and his nephew, Ghazali: Gaddafi flies Italian women to Libya for 'cultural' tours - and romance | World news | The Guardian

1314386154726.jpg


That was your fellow African. Wakati anang'ang'ania kuwa na the United States of Africa alitaka wanaume wa Libya wawe na uhusiano wa kimapenzi na wazungu.
 
Ujumbe gani?. Hauwezi kuilinganisha Gadaf na ccm. Pia Afrika tumempoteza kiongozi wa ukweli.

R.I.P Gadaf.

Afrika mmepoteza kiongozi wa ukweli, ukweli gani mbona wakati mapambano yanaanza hamkwenda kumsaidia ashinde? NTC ndiyo wa ukweli, tatizo lenu mnafahamu tu yale mnayoambiwa na viongozi wenu watembeza bakuli kuhusu Gaddafi; tafuteni upande mwingine wa shilingi muone pia.
 
KUmbuka gaddafi hajaondolewa na walibya, ameondolewa na wamarekani na allies, angekua gaddafi pekee angeshawamaliza wapinzani

mifano haifanani, wangemwacha gaddafi kama walivyomwacha mugabe, nothing would have happened!!!

Takie it from me, you will never see mzungu anakuja kumuondoa kikwete wala CCM coz wageni wananeemeka na hali ya sasa

we umesikia wapi serikali inapeleka waziri mkuu wake kuuza shamba nje ya nchi??? hata ofisa wa TIC hakutakiwa kwenda bali wao ndio waje hapa
 
KUmbuka gaddafi hajaondolewa na walibya, ameondolewa na wamarekani na allies, angekua gaddafi pekee angeshawamaliza wapinzani

mifano haifanani, wangemwacha gaddafi kama walivyomwacha mugabe, nothing would have happened!!!

Takie it from me, you will never see mzungu anakuja kumuondoa kikwete wala CCM coz wageni wananeemeka na hali ya sasa

we umesikia wapi serikali inapeleka waziri mkuu wake kuuza shamba nje ya nchi??? hata ofisa wa TIC hakutakiwa kwenda bali wao ndio waje hapa

Sawa, ndiyo maana bado CCM watafanya madudu mengi zaidi make wana sapoti ya mabwana mkubwa wanaozoa madini yetu bure, bure kabisa!
 
Unaumwa wewe! Hivi unajua jinsi ilivyo vigumu kumzushia mtu kifo? Kama ni mzima kweli si ajitokeze watu tumwone,arushe hata video kukanusha kifo chake, inauma sana lakini ukweli ni kwamb mzalendo wetu is no more
nasubiri kauli toka kwa watu wanne kisha niamini kama True African Veteran is dead or alive...
1. Moussa Ibrahim
2. Saif al islam
3. Saad
4. Hamisi
 
how long shall they kill our brothers while we stand aside and look?
 
Back
Top Bottom