Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
endelea kuota kuwa GADAF ia alivenasubiri kauli toka kwa watu wanne kisha niamini kama True African Veteran is dead or alive...
1. Moussa Ibrahim
2. Saif al islam
3. Saad
4. Hamisi
Unataka kashata ngapi mkuu?
bado Seif al Islam yeye atakufa kama mende mshenzi yuleBoth died like rats. both of the hide in hole like rats.
Kuna "Like" Kwenye bandiko hilo... fanya kukibonyeza tu...Naipenda hii.
Si lazima mimi kuweka desa (huu msemo wa kileo/kisasa? Haukuwepo enzi za Mwalimu). Kila mtu anao huo uhuru wa kudesa. Hata wewe pia. Hapa jukwaani hatulazimishani!Mkuu Askari Kanzu
Umeshasema tuache ya Gaddafi tujadili mustakbali wa Afrika. Una input yoyote?
Nini mustakbali wa Afrika( somo la Libya) na nini tunakihitaji sasa na tutakifikiaje?
Au uliposema tujadili mustakbali wa Afrika ulikuwa unatania? Kama hukuwa unafanya "masihala". Weka desa (UDSM term) hapa.
Mkuu EMT,in future atauawa mwingine utakuja hapa na kuandika tena hayo. Kwa staili hii utawa-RIP madikteta wengi. Shame on you.
MkuuSi lazima mimi kuweka desa (huu msemo wa kileo/kisasa? Haukuwepo enzi za Mwalimu). Kila mtu anao huo uhuru wa kudesa. Hata wewe pia. Hapa jukwaani hatulazimishani!
Mirembe panakuhusu.Kiongozi huyu comandoo alisikia pwa ikawa aliyelenga alikosea garilaka. Akaamua kutimkia kwenye culvert. Hapo alikamatwa na alijaribu kukumbia ila bahati mbaya hakusikia paa inamanisha ilimpata na mlengaji alikuwa na shabaha