Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo shida ya wabongo tajiri akifa Hela za manyoka masikini akifa ni mipango ya mungu au alipita anakula maindi hapa kumbe ndo alikuwa anatuagaWatu wa huo ukanda wa mbeya pesa zao huwa ni za moto..hata huyo sauli ni miongoni mwa watajwa.nadhani alichelewa kutoa kafara,wakapita nae.
Kwa tajiri akizaliwa mtoto mwenye matatizo ya afaya ya akili, maskini tunasema kamtoa kafara kwa mganga ili apate utajiri. Huku kwa maskini tunao hao watoto kibao na tunaona ni bahati mbaya tu.Ndo shida ya wabongo tajiri akifa Hela za manyoka masikini akifa ni mipango ya mungu au alipita anakula maindi hapa kumbe ndo alikuwa anatuaga
Masikini tuna chuki sanaKwa tajiri akizaliwa mtoto mwenye matatizo ya afaya ya akili, maskini tunasema kamtoa kafara kwa mganga ili apate utajiri. Huku kwa maskini tunao hao watoto kibao na tunaona ni bahati mbaya tu.
Luxury typing errorRuxury ndio nini?
Unajua bus moja ni tsh ngapi katika hayo?maskini huwa mna wivu sana usio na sababu.Billionea ana basi 6 tu ?
Unajua bus moja ni tsh ngapi katika hayo?maskini huwa mna wivu sana usio na sababu.
Jaribu ushindwe, usishindwe kujaribuNyingine zilikuwa za mkopo
Kama ile DXE aliposhindwa kurejesha ikapigwa mnada Katarama akainunua
Ile DWL ilipomshinda ikapigwa mnada Tembo Safaris wakainunua
Anyway mwamba kaacha watoto 16
Maskini hamna kazi. Mnajiajiri kwa kazi ambazo hamlipwi nazo.ukitaka kujua habari za tajiri
Tuulize masikini
Na updates zinasema zimebaki 4 na zote ziko garage
Kwahiyo kaa kwa kutulia mlugaluga
Tuishi humoJaribu ushindwe, usishindwe kujaribu