The SGR War: Wakati Kenya wakisuasua, Uganda wameamua kujenga SGR. Hii ni fursa kwa SGR ya Tanzania. Is it viable? Tuichangamkie?

The SGR War: Wakati Kenya wakisuasua, Uganda wameamua kujenga SGR. Hii ni fursa kwa SGR ya Tanzania. Is it viable? Tuichangamkie?

Mkuu Yusuf Kashaju , kwanza nakubaliana na wewe, sisi Tanzania tuna tatizo la kupanga mipanga mkakati bila wenyewe kujipanga kimkakati, tulikimbilia kununua mi dege, bila kuwa na business plan, as a results, midege imepaki tuu, huku hata timu zetu, zikikodi ndege za jirani kwa safari za kimataifa!. Ili SGR izalize kwa faida, ni lazima ipate mzigo wa kushiba, hivyo tulipaswa saa hizi tunavyojenga, at the same time tunajenga uwezo wa kuzalisha mzigo wa kusafirishwa na SGR. Kuchangamkia fursa: WaTZ tuna matatizo!. Pongezi Rais Magufuli kuwa M/Kiti SADC, usiposaidia WaTZ kuchangamkia fursa, tutaishia kuwa watazamaji tu!.
P
Jamani ninyi mnao kaa huko Dsm mnajua idadi ya maloli yanayosafirisha mizigo mpaka mseme huenda kukawa hakuna mzigo wa kushiba? Ukikaa kahama au Tunduma ndio utajua umuhimu wa reli. Maelfu ya malori yanapita na kuharibu barabara.

Nchi kama South Africa wanabarabara nzuri hii ni sababu ya mizigo mingi kusafirshwa na reli. Kwa hiyo pamoja na kusaidia kusafirisha mizigo,hata barabara za Tanzania zitadumu kwa muda mrefu.
 
Mkuu pascal Hongera kwa bandiko ka kufikirisha
Nina swali moja tuu ambalo linaweza kuzaa maswali mengine
Hivi unafikiri kati ya Mradi wa SGR na Stieglier gorge ni upi unaweza kuingiza pesa faida kwa Haraka?
Megawatt 2115 na 2700kmSGR
Then hela itakayopatikana hapa ilipe mradi Mwingine
Assume kama tungeanza na Mradi mmoja!
pascal
Mkuu ikigijo , hili ni swali gumu kupita uwezo wangu, linamhitaji mtaalam wa uchumi, kufanya a comparative analysis the multiplier effets ya hizo megawat 2115 na faida za SGR. Kitu ambacho mimi nilikinote tangu mwanzo, ni tatizo katika upangaji wa vipaumbele vyetu, mfano fedho zinazotumika kununua ndege, zingeingizwa kwenye kilimo, tungefaidika zaidi kuliko na ndege zilizo pack tuu pale airport.



P
 
Mkuu ikigijo , hili ni swali gumu kupita uwezo wangu, linamhitaji mtaalam wa uchumi, kufanya a comparative analysis the multiplier effets ya hizo megawat 2115 na faida za SGR. Kitu ambacho mimi nilikinote tangu mwanzo, ni tatizo katika upangaji wa vipaumbele vyetu, mfano fedho zinazotumika kununua ndege, zingeingizwa kwenye kilimo, tungefaidika zaidi kuliko na ndege zilizo pack tuu pale airport.



P

Yes Seali linahitaji wachumi kuchambua Comparative advantage na kuona Mizigo ni Tani ngapi,Sgr uwezo wake ni upi?
Na Umeme 2115MW zikiingia kwenye grid ya Taifa tutapata Tsh ngapi kwa mwezi!
Kuhusu bombadier na hata hiyo miradi inatoendelea unafikiri wachumi au wataalam hawakushauri?
 
Hili la bomba la mafuta naomba ukae kimya, kwanza ni nje ya uzi na huna jipya.

Hilo la China kufinance mradi wa SGR ulianza 2019. Hiyo 2019 ndio serikali iligundua ile porojo ya kuwa tunajenga kwa fedha za ndani hailipi? Kama tuliwakwepa wachina mwanzo kuwa huo mradi ulikuwa overestimated kwa $7b+, je sasa hivi bei ndio itakuwa chini kwa sehemu ambayo watatoa pesa? Kwa hili ww au mimi hatujui, na sababu hasa ya kuficha itakuwa na aibu ya gharama kuwa juu.

JPM kaachana na umeme wa gas kwa mtazamo wako hata mtoto mdogo hawezi kuhoji, labda ww na mtoto wako ndio hamuwezi kuhoji. Miaka mitano iliyopita kabla ya Magufuli kuwa rais, yeye alikuwa waziri kwenye serikali iliyokuwa inatuimbisha kuhusu umuhimu wa umeme wa gas. Kwanini wakati huo hakuonyesha kuwa umeme wa gas siku sahihi ni ghali kuliko huu wa maji? Iwapo kila rais akiingia anakuja na ukweli anaoujua yeye, na wote tunatakiwa tumuamini wala tusihoji maamuzi hayo, siku akiingia rais mwingine akasema umeme wa upepo ndio sahihi maana wa maji kuna tatizo la mabadiliko ya tabia nchi utaweza kuhoji? hiyo 240mg mpaka sasa kumbuka tulikopa $1.2b, hiyo ikiwemo na ujenzi wa bomba toka Mtwara. Je tungeweka 3t maana bomba tayari liko Dar, tusingepata hiyo 2,115mw, na hiyo hiyo 3.5 tukaingiza kwenye kilimo? Lengo letu sio kupata umeme 2,115mw kwa mkupuo, bali ni kupata umeme unaotosheleza mahitaji yetu. Tungeweza kuongeza kila mahitaji yetu kila inapohitajika, na fedha nyingine kuingizwa kwenye mahitaji mengine. Sio sasa hivi watu hawaajiriwi kisa pesa zinajenga mradi wa umeme wa ziada. Na wanaojenga huo mradi wao hawasikii maumivu ya wengine kukosa ajira, maana kwenye misafara yao wana mpaka maVX 70 na helikopta angani, achia Mbali kupata huduma zote kwa gharama ya serikali, na mishahara yao kwa wakati.

Nimesema hakuna uwezekano wa hiyo reli kufika Mwanza kwa fedha za ndani, maana ukweli wa mapato yetu kwa sasa uko chini. Moja na la dhahiri ambalo ni nje ya uwezo wetu, ni janga la corona. Na la pili ambalo bila corona lazima tungekwama, ni mwenendo wa awamu hii kwenye sekta binafsi, ambayo ndiyo inayotoa kodi kwa wingi.
Kuhusu bomba nakaa kimya maana umeleta lawama kwa serikali hali ukijua haipaswi kulaumiwa. Nakaa kimya ila umebugi. Pesa za sherehe kuwekea jiwe la msingi zinakutoa roho? Kwani hazitarudi mafuta yakianza kusafirishwa?

Kwanza naomba utulize kichwa kisha utumie akili kudadavua mambo,kuendesha serikali sio jambo jepesi. Na hata mipango ya ujenzi wa miradi mikakati mikubwa kama hii ya Sgr sio jambo dogo kama wewe kupanga kujenga nyumba ya vyumba vitatu na sebule.

Inawezekana serikali ilijipanga vizuri ili ijenge Sgr kwa pesa za ndani lakini kama nilivyokuambia kuendesha serikali kuna mambo mengi na vikwazo vingi. Hivyo sioni jambo baya kupata pesa toka China maana hujui vikwazo gani vimetokea hapo kati. Na sioni haja wewe uambiwe maana ni siri ya serikali.

Kwamba JPM alipokuwa waziri wa JK ulitaka apinge mradi wa gas wa umeme? Unadhani ni rahisi? Kwanza nafikiri mpaka anaingia madarakani Kinyerezi 1&2 ziliendelea kujengwa na akazikamilisha.kwa hiyo sioni kama anapinga kuwa na gas plants.

Lakini kataa au usikatae uamuzi wa kujenga JNHP ni wa busara kuliko hizo gas plant unazozipigia debe huku zikizalisha Mw 240 kwa mafungu. Na kama tukipata Mw 2115 hazitatosheleza? Au ulitaka ukusanye MW 2115 kwa mafungu? Nani amekuambia maji ya mto rufiji,ruaha mkuu na na kilombero ni ya seasonal? Mbona tangu aingie madarakani hatujaona ukame au mgao wa umeme? Kama kuna maumivu kama watanzania tuwe wazalendo,Sgr na JNHP zikamilike na tujifunge mikanda.

Hata kama Sgr itakamilika kwa pesa za mkopo toka nje nani atayelipa hilo deni kama sio watanzania? Acha porojo kisa tu unapinga maendeleo.
 
Jamani ninyi mnao kaa huko Dsm mnajua idadi ya maloli yanayosafirisha mizigo mpaka mseme huenda kukawa hakuna mzigo wa kushiba? Ukikaa kahama au Tunduma ndio utajua umuhimu wa reli. Maelfu ya malori yanapita na kuharibu barabara.

Nchi kama South Africa wanabarabara nzuri hii ni sababu ya mizigo mingi kusafirshwa na reli. Kwa hiyo pamoja na kusaidia kusafirisha mizigo,hata barabara za Tanzania zitadumu kwa muda mrefu.
Mkuu chagu wa malunde, kwanza naunga mkono hoja 100% kwa 100%, malori yanaharibu sana barabara zetu, na hili niliisha wahi kulizungumza, Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta...
P
 
Kuhusu bomba nakaa kimya maana umeleta lawama kwa serikali hali ukijua haipaswi kulaumiwa. Nakaa kimya ila umebugi. Pesa za sherehe kuwekea jiwe la msingi zinakutoa roho? Kwani hazitarudi mafuta yakianza kusafirishwa?

Kwanza naomba utulize kichwa kisha utumie akili kudadavua mambo,kuendesha serikali sio jambo jepesi. Na hata mipango ya ujenzi wa miradi mikakati mikubwa kama hii ya Sgr sio jambo dogo kama wewe kupanga kujenga nyumba ya vyumba vitatu na sebule.

Inawezekana serikali ilijipanga vizuri ili ijenge Sgr kwa pesa za ndani lakini kama nilivyokuambia kuendesha serikali kuna mambo mengi na vikwazo vingi. Hivyo sioni jambo baya kupata pesa toka China maana hujui vikwazo gani vimetokea hapo kati. Na sioni haja wewe uambiwe maana ni siri ya serikali.

Kwamba JPM alipokuwa waziri wa JK ulitaka apinge mradi wa gas wa umeme? Unadhani ni rahisi? Kwanza nafikiri mpaka anaingia madarakani Kinyerezi 1&2 ziliendelea kujengwa na akazikamilisha.kwa hiyo sioni kama anapinga kuwa na gas plants.

Lakini kataa au usikatae uamuzi wa kujenga JNHP ni wa busara kuliko hizo gas plant unazozipigia debe huku zikizalisha Mw 240 kwa mafungu. Na kama tukipata Mw 2115 hazitatosheleza? Au ulitaka ukusanye MW 2115 kwa mafungu? Nani amekuambia maji ya mto rufiji,ruaha mkuuna na kilombero ni ya seasonal? Mbona tangu aingie madarakani hatujaona ukame au mgao wa umeme? Kama kuna maumivu kama watanzania tuwe wazalendo,Sgr na JNHP zikamilike na tujifunge mikanda.

Hata kama Sgr itakamilika kwa pesa za mkopo toka nje nani atayelipa hilo deni kama sio watanzania? Acha porojo kisa tu unapinga maendeleo.
Mkuu chagu wa malunde, thanks kwa your objectivity, kati ya kazi ngumu sana, ni kazi ya kubadili mind sets, kazi ya kuelimisha hawa wapinga maendeleo, wenye negativity ili wa change hizo negativity na kuwa positive.

P
 
Mkuu tindo , with due respect, wakati tukiendelea na huu mjadala, naomba tuepuke lugha za maudhi, machukizo na matukano!, tunaweza kuendelea kujadiliana in civilized manner bila kuitana wendawazimu!.
P

Ni kweli kabisa, kadiri mjadala unavyoenda inabidi maneno kama hayo niyaache, ili tusipotezane huko mbeleni. Nafuta kauli.
 
Kwa taarifa yako Kenya SGR tayari ishaanza kuingiza kipato,wananchi wa Kenya wamesha anza kuonja manufaa ya SGR .

Tangu mwezi wa November SGR ilikuwa imeshajaa hadi januari kwa wingi wa abiria.
Mkuu Mmawia, hakuna mtu anayejua kila kitu, kitu kama hujui sio lazima kuchangia!. SGR haiwezi kujiendesha kwa faida hata ikipata abiria 100%. The plan ya SGR ya Mombasa ni kwenda mpaka Malaba, hivyo kubeba mzigo wa Uganda, Rwanda, DRC na Southern Sudan. SGR ya Uganda ili ilete faida ni kupokea mzigo wa Rwanda, Burundi, DRC na Southern Sudan. Kitendo cha SGR ya Rwanda kuunganisha na ya Tanzania, kukaifanya SGR ya Kenya a white elephant, kwasababu bila mzigo wa Rwanda, SGR ya Uganda hailipi, bila mzigo wa Uganda, SGR ya Kenya hailipi, hivyo sasa SGR ya Kenya itaishia Naivasha and will never pay!.
Jielimishe zaidi hapa
P
 
Wishful thinking ya Pascal Mayalla inachekesha lakini ndo tabia ya njaa ikizidi hata nguli anakuwa mjinga(sorry Pascal). SGR ni Mradi wa EAC wa kuunganisha nchi 6 wanachama kwa Reli yenye uwezo zaidi kuliko iliyopo ambayo ni nyembamba na reli ndogo kwa hiyo treni zake haziwezi kwenda kasi wa kubeba mzigo mzito. Kila nchi mwanachama ilipewa sehemu yake ya kujenga ndo maana nchi zingine zanajenga kwenye nchi za wengine kama Rwanda inajenga toka Isaka na Burundi toka Uvinza. Tanzania inajenga toka Dar mpaka Uvinza mpaka Mwanza na Kenya inajenga toka Mombasa mpaka mpakani na Uganda halafu mpaka Kisumu na Uganda itajenga toka mpakani na Kenya mpaka Port Bell, ziwa Viktoria ikiwa na maana kuwa bandari ya Mwanza, Kisumu na Port Bell zitakuwa zimeunganishwa. SGR ikikamilika nchi wanachama zote zitakuwa zimeunga na Bandari za Dar, Mombasa, Mwanza, Kisumu na Port Bell na nchi wanachama zitakuwa na Mashirika yao ya Reli kama TRC, KR nk. Kama SGR imefika Isaka, Rwanda nao wangekuwa wameanza kujenga kwenda Kigali na kama tungekuwa tumefika Uvinza, Warundi nao wangekuwa wameanza kwenda Bujumbura maana mawe ya msingi yamekwisha wekwa. Kwa hiyo Tz ndo inachelewesha Mradi maana Kenya karibu wamalize, Uganda wameanza wengine bado wanangoja Reli ifike eneo la kuanzia kwa sababu Reli hujengwa kwa kutumbua Reli hiyohiyo.
Mkuu asante sana kwa kuliweka hili suala kwa uwazi, lakini hii ilikuwa developmental proposions za Head of States kuboresha EAC infrastructures.

Lakini hakukuwa na kitu chochete East Africa Community ilikifanya kwa Head of States baada ya mapendekezo, ( polical wishes).

1) Memorundum Of Understanding (MOU)
2) Projects Technical proposals (PTP),
3) Business Plan (BP),
4) Projects Implementation Plan(PIP),
5) Projects Financing Plan(PFP).

Na sio kweli nchi zinazo subiri zinahakika ya kufanya hayo kama ilivyo pendekezwa, kama Warundi ni sisi tutakao jenga. Hata bandari na barabara ya ndani kwa Congo ili kuunganisha kwa upande wao na barabara kuu ni sisi tumependekezwa tujenge au tushirikiane kugharamia kuijenga. JAPO KWA HILI MKULU YAKO KIMYA.
 
Kuhusu bomba nakaa kimya maana umeleta lawama kwa serikali hali ukijua haipaswi kulaumiwa. Nakaa kimya ila umebugi. Pesa za sherehe kuwekea jiwe la msingi zinakutoa roho? Kwani hazitarudi mafuta yakianza kusafirishwa?

Kwanza naomba utulize kichwa kisha utumie akili kudadavua mambo,kuendesha serikali sio jambo jepesi. Na hata mipango ya ujenzi wa miradi mikakati mikubwa kama hii ya Sgr sio jambo dogo kama wewe kupanga kujenga nyumba ya vyumba vitatu na sebule.

Inawezekana serikali ilijipanga vizuri ili ijenge Sgr kwa pesa za ndani lakini kama nilivyokuambia kuendesha serikali kuna mambo mengi na vikwazo vingi. Hivyo sioni jambo baya kupata pesa toka China maana hujui vikwazo gani vimetokea hapo kati. Na sioni haja wewe uambiwe maana ni siri ya serikali.

Kwamba JPM alipokuwa waziri wa JK ulitaka apinge mradi wa gas wa umeme? Unadhani ni rahisi? Kwanza nafikiri mpaka anaingia madarakani Kinyerezi 1&2 ziliendelea kujengwa na akazikamilisha.kwa hiyo sioni kama anapinga kuwa na gas plants.

Lakini kataa au usikatae uamuzi wa kujenga JNHP ni wa busara kuliko hizo gas plant unazozipigia debe huku zikizalisha Mw 240 kwa mafungu. Na kama tukipata Mw 2115 hazitatosheleza? Au ulitaka ukusanye MW 2115 kwa mafungu? Nani amekuambia maji ya mto rufiji,ruaha mkuuna na kilombero ni ya seasonal? Mbona tangu aingie madarakani hatujaona ukame au mgao wa umeme? Kama kuna maumivu kama watanzania tuwe wazalendo,Sgr na JNHP zikamilike na tujifunge mikanda.

Hata kama Sgr itakamilika kwa pesa za mkopo toka nje nani atayelipa hilo deni kama sio watanzania? Acha porojo kisa tu unapinga maendeleo.

Mkuu ahsante kwa hoja mujarabu
Kwanini tusiwe na Miradi Mkakati 1,au 2 tuu
Tuseme Stiglier na SGR vimiradi vingine vidogovidogo tuviache kwanza...
Yaani tuwekeze nguvu kubwa huko lakini tunawekeza tumiradi twingiiii mara Megawatts 30,100,240,
Mara sijui kivuko mara Yaani ni Vingi mnooo,
Feasibility study ingefanyika na kufanya hata Mradi mmoja Giant say Stieglier Sababu hata Hiyo Reli ya Umeme ungetegemea ukamilikaji wa stieglier gorge kwanza!
Tungepiga sana hapa,
Kuliko sasa hivi mara sijui Kinyerezi-1,2,3,4,5 Six huko sijui,
Zote ni mipesa hivyo...
Twende na stieglier kwanza!
 
Mkuu ahsante kwa hoja mujarabu
Kwanini tusiwe na Miradi Mkakati 1,au 2 tuu
Tuseme Stiglier na SGR vimiradi vingine vidogovidogo tuviache kwanza...
Yaani tuwekeze nguvu kubwa huko lakini tunawekeza tumiradi twingiiii mara Megawatts 30,100,240,
Mara sijui kivuko mara Yaani ni Vingi mnooo,
Feasibility study ingefanyika na kufanya hata Mradi mmoja Giant say Stieglier Sababu hata Hiyo Reli ya Umeme ungetegemea ukamilikaji wa stieglier gorge kwanza!
Tungepiga sana hapa,
Kuliko sasa hivi mara sijui Kinyerezi-1,2,3,4,5 Six huko sijui,
Zote ni mipesa hivyo...
Twende na stieglier kwanza!
Ni wazo jema.
 
Paskali kujenga standard gauge ni kazi mmoja na kuendesha hiyo SGR kwa ufanisi na kwa faida ni kazi nyingine.
Kenya walioanza na SGR kutoka Mombasa hadi Nairobi na baade Naivasha.Operating cost kwa mwezi ni 14 million dollars lakini mapato ni 7 million dollars. Labda ndio sababu China imewanyima mkopo wa kufika Maraba mpakani mwa Uganda.
SGR sio muarobaini wa kila tatizo,bali ni uharaka wa kusafirisha mizigo.SGR ni aghali in short term tena ukiongezea SGR ya umeme lakini pakiwepo wingi wa mizingo ya kwenda na kurudi umuhimu wake upo wazi.
Serikali ya Magufuli imefufua na kuhimarisha meter gauge yaani Reli ya kati na Reli ya kaskazini na kuwezesha garimoshi kuongeza speed tokea 35 hadi 70 km kwa saa.Labda mfumo huo wa zamani usipuuzwe ni mbadala ya SGR.
Paskali Jumuiya ya Afrika Mashariki si kushindanisha hizi nchi bali kushirikiana na kuwawezesha wananchi wake wafaidi ummoja wao.
Mkuu suala la complimenting or alternative katika Economic projects valuation halina nafasi.

Every project is a profit center. Unless tunaongea political economy.

Na sio kwa SGR tuu, every project work as a tool to accelerate economic growth of our people and the country.
 
nadhani wasiwasi wa nchi zote za magharibi ni kwamba Tanzania ikiweza kuwa vizuri kwenye uchumi itapelekea nchi nyingi sana za ukanda wetu kuwa huru kiuchumi na hii haitokuwa vizuri sana kwao maana kuna vikwazo lazima tutakuwa tuna vipunguza kutokana na uchumi wetu kuimarika na nchi za jirani

Na hili litaweza kuwafanya wao waingize propaganda kwasababu sidhani kama Tanzania tulishawahi fuata na kuwa kwenye nyayo zao muda mrefu ikipelekea hii miradi kumalizika na kilimo kikawa vizuri jumlisha na umeme imported goods zitapungua na wazee huku hawatokubali maana economic yao ina tegemea sana bara la Africa hasa sub saharan countries

Nadhani kwa hili tuombe MUNGU tufanikiwe maana adui anaweza kutokea popote na huenda hata akawa rafiki wa karibu

National interests kwa Africa ni changamoto na ni vita kubwa sana mzungu kukubali si rahisi na zijengwe kutokana na matumizi ya sisi wa Africa isije ikawa ndio njia za ku lubricate exports ya raw materials kwenda mataifa ya magharibi tutakuwa hatujafanya kitu

ikiwezekana viwanda navyo tuangalie viwepo hata processing na manufacturing industries

We Africans need to produce things we consume and consume things we produce without awareness nothing gonna change,it's a war and in these issues Africa needs to become one without any country being a traitor pasipo hivyo kuna watu wanaweza kuja kuwekwa kwenye kikaangoo kama Gaddafi na wengine being economically independent inawapa wazungu hasira sana sanaaa

There's is no a place that loves you the most like your country Africa is home we need to rebuild it again!
 
Inategemea nano yuko madarakani na mahusiano yao yakoje kwa wakati husika, hivyo hiyo fursa hata kama ipo, sio reliable kutegemea na mahusiano ya nchi na nchi kwa wakati husika.

Kwa nchi zetu hizi, akija mtawala X anavuruga kila kitu na kuanzisha analoona linafaa na mnabaki kumuangalia tu mpaka muda wake uishe.
Mkuu Kishina cha Mshahara, Salary Slip , naunga mkono hoja, naunga mkono hoja, nchi inaendeshwa kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, na sio kwa utashi tuu wa kiongozi aliyepo madarakani. Mfano, haiwezekani nchi itumie bilions kuanzisha mchakato wa katiba, na baada kula ngombe mzima, na kubakisha mkia, kiongozi anafuata, ana abandon kila kitu kwa hoja sio kipaumbele changu!.

Kufuatia uzoefu huu, JPM ndie rais wa mwisho Tanzania, kuwa rais kwa kubeeb tuu, kuanzia sasa, tutahakikisha anayempokea Magufuli, anasainishwa "a continuity clause", kuyaendeleza yote ya mtangulizi wake, na anayempokea ni yule atakayeyaendeleza mazuri yote ya Magufuli, na tukijiona tuna mashaka, then, Magufuli alazimishwe kuendelea, hadi akamilishe miradi yake yote ya kimkakati, hata kama it will take some ten extra years, let it be!.
P
 
Nimecheka kwa nguvu hiki unachoandika hapa Paskali, unazungumzia faida ya SGR kwani hata imekamilika hiyo SGR? Nakumbuka ile siku ya uzinduzi wa bomba la mafuta Chongoleani Tanga, nilimsikia rais akipiga faida ya kodi ya mapipa ya mafuta tutakayoanza kupata kuanzia hii 2020 mradi ukishakamilika. Akawa anaoonyesha na sehemu pesa zitaiingia baada ya 2020, watu wakawa wanarukaruka kama wendawazimu. Kwakuwa nilikuwa namjua Museveni nitapeli nilikuwa nacheka kwa nguvu. Leo hii yako wapi kuhusu mradi wa bomba la mafuta, zaidi ya juzi Museveni kuja kumpigia kampeni Magufuli kwa kisingizio cha huo mradi? Unachoongea hapa Paskali ni zile porojo za ma Motivational speakers.
Umewahi kutembelea maeneo ya hii miradi ukaona kazi zinazofanyika?? Kama la basi tembelea kwanza then ndo uje uwazodoe hapa. Huwa nawapinga sana MATAGA ila kwenye hili napingana na wewe. Fanya kwenda kuangalia naamini utabadilisha maoni yako. Btw soon kipande cha mwanza kitaanza kujengwa.
 
Back
Top Bottom