The Shade Room: Mwanamuziki Vanessa Mdee adaiwa kuwa kwenye uhusiano na muigizaji wa Series ya Power

Yaani Vee kanifurahisha sana kwa hilo. Jux atakuwa kazima data kwa muda
Na wanaija wanavyojua kudekeza na kudanganya... Kwa Vee ni raha tupu
Kwamba Jux alikuwa anamsubiri Vee warudiane? Jux kwa yule demu wake hakuna mapenzi? Kwanza Vee mwenyewe kauli zake zilikuwa zinaonesha hana future na Jux mara zote amekuwa akisema hawawezi kuoana kwa sababu wana imani tofauti na yeye mama ake ni mlolkole hawezi kuwa mwislamu kumfuata Jux, so hata Jux alikuwa anajua anasafisha rungu tu kwa muda uliopo then party ikiisha poa.
,
 
hahahhaaa... jamaa kanusurika kifo zaidi ya mara 10.. hahaa roho ya paka.
 
hahahhaaa... jamaa kanusurika kifo zaidi ya mara 10.. hahaa roho ya paka.
Hivi mbona Episode ya 9 haijatoka wiki ya pili sasa hii inakata? Nini kinaendelea nijuze tafadhali kama unafahamu
 
Binti akipigwa chini na mwanaume aliyempenda sana, hugeuka mwehu...

Most of the time mahusiano yake ya kwanza yanayofuata baada ya kutoswa huwa ni ya show off...
 
Mwandishi na mtengenezaji ni Kourtney A Kemp ni mwanamke na ndiye anaamua nani aendelee na nani abaki. Wenye rights za Power ni Starz network. Excutive producer wako kama 6 lakini wote wako chini ya huyu mwanamama
50 cent ni Executive producer wapo 3 kwenye Power.
 
That is not true Kemp ndiye anaamua nani abaki na nani atole. Wamiliki ni starz na ina maproducer kama saba lakini wote wako chini ya Kemp.
Haya mengine ni mahaba ya fans juu ya 50cent tu
 
Kemp ni Creator na Showrunner. Anaweza kuwa ndio CEO lakini MD akawa 50.

Kimsingi, hakuna Power bila 50 Cent. Sio mahaba, yeye ndio Executive Director & Master Marketer.

Hii ni akaunti yao rasmi ya Twitter. Wenyewe wameandika original series from Curtis Jackson (50cent) & Courtney Kemp.

Sasa wewe ndugu yangu elmagnifico upo Tabata Matumbi hapo unapingana na wenye chao?
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wabongo utatuweza
 
Yaani Vee kanifurahisha sana kwa hilo. Jux atakuwa kazima data kwa muda
Na wanaija wanavyojua kudekeza na kudanganya... Kwa Vee ni raha tupu
Nope! Jux ndo kacheza heko, kwa sababu kama wasingepigana chini kitambo, haya yangekuwa ni maumivu kwa Jux kwa sababu sioni ni namna gani Vanessa angemchomolea Rotimi kwa sababu ya Jux!!!
 
Aliachana na Jux tu akapta madongo kwenye mtandao mpaka akaugua, sasa akiachanana huyu atahimili vishindo vya mitandao kweli? Kila la heri kwake.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Unless wawe wamebadilisha hivi sasa lakini miaka ya mwanzoni ya show, 50 alikuwa Executive Producer! In Hollywood, kuna sababu mbalimbali zinazoweza kumfanya mtu awe na EP Credit... wakati mwingine, jina tu linaweza kutumika as EP!

Na wakati mwingine, EP anaweza kuwa na stake kwenye show husika au ndo akawa bridge kati ya Producer na Financier, and other industrial insiders!

Lakini pamoja na kuwa Executive Producer, vile vile amekuwa akifanya kazi kama producer na director.

But all in all, kuna kila dalili kwamba atakuwa na share kwenye Power, na kama hana, basi atakuwa anavuta pesa ndefu sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…