The Shade Room: Mwanamuziki Vanessa Mdee adaiwa kuwa kwenye uhusiano na muigizaji wa Series ya Power

The Shade Room: Mwanamuziki Vanessa Mdee adaiwa kuwa kwenye uhusiano na muigizaji wa Series ya Power

Sijui kwanini watu uwa mnadhani ile series ni ya 50cent wakati siyo kweli 50cent alikuwa actor na director msaidizi kwasababu kapitia maisha ya kitaa lakini series siyo ya kwake
50 cent ni Executive producer wapo 3 kwenye Power.
 
Nadhani ni kwa sababu yeye ndio ameibeba kuanzia kwenye production mpaka marketing.

Kemp amecreate tu idea na anashiriki kwenye kuirun lakini aliyeibeba na kuifikisha ilipo sasa ni Curtis mzee.

Sijajua shares zimekaaje lakini 50 ana SAY kubwa sana pale na hata washiriki wengi wanamrefer kama Boss.

Watch interviews!
Uko sahii kabisa
 
Huyu demu angepata watoto wa2 sasa,atakuja kustuka umri kwa kheri,watoto watamwita bibi
[emoji23][emoji23] ataitega kwa huyo Rotimi akitoka hapo na mimba juu maana yy anaweza ona bongo hakuna mwanaume wakuzaa naye.
 
Anasambaza miwaya tuu! Dogo kaisha nasa! Zamani tulikuwa tunaondoka na kilo, Sasa hivi tunaondoka wazima! Huyo v mapesa ni live wire!
 
Rotimi aka Dre. Jamaa ni Mnigeria na amecheza kama snitch kwenye hiyo series ya Power.

Ni mshikaji sana na 50 Cent in real life ndio maana fans wameanza kulalamika kwamba jamaa anapendelewa kwenye hiyo series kuliko hata main characters.

Kama sikosei ni mwanamuziki pia!
Ni mmarekani aliyezaliwa na wazazi wanigeria, kazaliwa na kukulia marekani sema jamaa anaupenda uafrica and that's why now days anasafiri mara kwa mara Naija, safari yake kubwa ilikuwa mwanzoni mwa mwaka jana.
 
Back
Top Bottom