Kwanza kabisa, andika katika lugha unayoifahamu.Due to each society getting knowledge of good and evils by accident from their conscience
that could be the very reason in Kirangaz society they eat their neighbour while in nyani ngabu society they honor their neighbour
It is said that evolution of human being started in Africa
Can one volunteer telling me where the evolution of moral laws started from ?
Kiranga
Nyani Ngabu
Hata mnaoamini mungu wenyewe hamkubaliani mungu wa kweli ni yupi.Link ISLAM: The Religion of All Prophets - GainPeace
Link2. The True Religion of God - English - Bilal Philips
Link3. Why Jews Don't Believe In Jesus
Link4. Jesus Many Faces - He Was Born, Lived And Died As A Jew | From Jesus To Christ | FRONTLINE | PBS
Link5. Jesus and Paul: Figurehead and Founder of Christianity
Mkuu haukumwelewa au ndo umeshindwa kumjibu swali lake kwa kukutafuta vijimakosa na kuhamisha mada!Kwanza kabisa, andika katika lugha unayoifahamu.
Ama sivyo utatuletea vituko hapa.
Hayo madudu gani sasa uliyoandika?
Kwani kuandika kiingereza lazima?
Kuna aina fulani ya uandishi inafanya msomaji ahoji uwezo wa muandishi.Mkuu haukumwelewa au ndo umeshindwa kumjibu swali lake kwa kukutafuta vijimakosa na kuhamisha mada!
Tena mnyukano mkali.Hapa kuna mnyukano wa hoja....ngoja niendelee kuchota knowledge.
Hakuma mnyukano kama wanaosema mungu yupo wamepewa nafasi ya kuthibitisha na hawajaweza.Tena mnyukano mkali.
Umejitahidi kuelewa meweza ukapata tundu la kutokea.Kwanza kabisa, andika katika lugha unayoifahamu.
Ama sivyo utatuletea vituko hapa.
Hayo madudu gani sasa uliyoandika?
Kwani kuandika kiingereza lazima?
Kwa nini unasema ujuzi wa mema na mabaya hauwezi kutokana na kitu chochote isipokuwa uumbaji?Umejitahidi kuelewa meweza ukapata tundu la kutokea.
Ujuzi wa mema na mabaya hautokani na hauwezi kutokana na kitu chochote isipokuwa ni sehemu ya uumbaji.
Kama huiamini uwepo wa muumba eleza namna ujuzi WA mema na mabaya binadam kaupataje ?
Kutokukubaliana kuhusu yupi Mungu wa kweli haiwezi kuwa sababu ya kutokuwepo kwake.Hata mnaoamini mungu wenyewe hamkubaliani mungu wa kweli ni yupi.
Mtatushawishi vipi sisi tusioamini mungu kwamba mungu yupo?
Uislamu, Ukristo na uyahudi haziwezi kuwa na mungu wa kweli kwa sababu idea ya huyu mungu inajipinga yenyewe.
The Abrahamic godhead is an inherrent contradiction.
Ni kama "pembetatu duara". Haipo, inasemeka tu.
Ufundishweje wewe ?Hakuma mnyukano kama wanaosema mungu yupo wamepewa nafasi ya kuthibitisha na hawajaweza.
Hakuna mnyulano kama wanaosema kina mungu hawajaweza ku reconcile the problem of evil.
Hakuna mnyukano kama wanaosema kuna mungu wenyewe hawakubaliani mungu sahihi no yupi kabla hata ya kuwajibu wanaosema mungu hayupo.
Wanaosema kuna mungu wamenyukwa tu.
For starters hawawezi kuthibitisha kwamba mungu yupo.
Kwa nini unasema ujuzi wa mema na mabaya hauwezi kutokana na kitu chochote isipokuwa uumbaji?
Mema ni yapi na mabaya ni yapi?
Kwa nani?
Na kwa nini uumbaji utoke kwa mungu tu na si kitu kingine chochote?
We binti,jifunze adabu kwanza,sio unatukana watu usio wajuaH1N1 said:Wewe jamaa ni kama mbwa MZEE hufundishiki. Huwezi kukiri udhaifu wa mawazo ukionyeshwa kwa picha kubwaaa
Mkuu,tangu uanze kuomba uthibitisho bado tu hawajakupa?Kiranga said:Hakuna mnyukano kama wanaosema mungu yupo wamepewa nafasi ya kuthibitisha na hawajaweza.
Na hili ndiyo swali la msingi,wanalotakiwa kulijibuHakuna mnyukano kama wanaosema kuna mungu hawajaweza ku reconcile the problem of evil.
Maajabu sasa,kila dini inadai Mungu wao ni mwenye nguvu zoteHakuna mnyukano kama wanaosema kuna mungu wenyewe hawakubaliani mungu sahihi ni yupi kabla hata ya kuwajibu wanaosema mungu hayupo
Tuwaiteje sasa?misukule?Wanaosema kuna mungu wamenyukwa tu.
For starters hawawezi kuthibitisha kwamba mungu yupo.
Katika uislamu ni tofauti unavyofikiria,uislamu unasema na kufundisha Mungu mmoja tu,kwa viumbe wote,kwa mwenye dini na asiye na dini,Mungu ni mmoja.Mkuu,tangu uanze kuomba uthibitisho bado tu hawajakupa?
Hawa watu ni timamu kweli?
Na hili ndiyo swali la msingi,wanalotakiwa kulijibu
Cha kushangaza wanalikwepa,hata yule dada kashindwa[Mish]?
Maajabu sasa,kila dini inadai Mungu wao ni mwenye nguvu zote
Hii kitu kimantiki ipo sahihi kweli?
Tunaweza kuwa na computers mbili,zinazoweza kushinda kila mchezo wa drafti[chess] bila kutoa sale?
Na tukizipambanisha,ipi itashinda kama kila computer ina uwezo wa kushinda bila kutoa sale hata mechi moja?
Tuwaiteje sasa?misukule?
Unaposema hayupo Mungu,ndio umethibitisha kuwepo,ni sawa kusema fulani hana akili,ni kuwa iko akili lakini kwa fulani ndio haziko hizo akili.
Kwa hiyo wewe unayesema Mungu hayuko,hayuko kwako,lakini yupo,hayupo kwako kwa sababu hutaki kukubali yupo,wakati Mungu yupo.
Kukataa kutukuwepo Mungu,wakati MATOKEO ya kuwepo kwake,yanaonekana.
Moja ya mfumo aliouweka Mungu kwa binadamu ni kwenda choo,kama ungeweza kujizuia kwenda choo,usiende maiha yako yote,hapo ungeweza kusema,hayupo unakuendesha maisha yako.
Ukisema hakuna Mungu,huo ndio uthibitisho wa kuwepo Mungu.