milioni milioni
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 1,845
- 1,063
myself l believe da presence of God. But your brain must think who create godYou are the one who should tell us the creator of your created god
Non of God believers claimed that God was created !
Why do you think God was created ?myself l believe da presence of God. But your brain must think who create god
A created god is not Godmyself l believe da presence of God. But your brain must think who create god
Kama radi kupiga ni matokeo ya mchakato usio na mpango hata wakimbizi kufa ni matokeo yaaiyopamgwa sasa wewe ubaya wa vifo vya radi unahusikaje na Mungu.?We binti,jifunze adabu kwanza,sio unatukana watu usio wajua
Swali la msingi alilouliza Kiranga hamjalijibu mpaka sasa,
Mdahalo utaendeleaje kama hamtaki kujibu maswali ya msingi?
Msingi wa swali la Kiranga ni huu;
Suppose,kuna radi imepiga katika msitu
Ikasababisha moto mkubwa[Forest fire]
Moto huo ukasambaa kwa kasi na kwenda kuteketeza kambi ya wakimbizi
Idadi kubwa ya watu waliokufa ikawa ya kina mama wenye mimba na watoto wachanga
Kama Mungu mwenye ujuzi wote yupo,basi aliliona hili tukio mapema kabla halijatokea na akajua jinsi ya kulizuia.
Mungu mwenye upendo kwa viumbe wake,asingependa hili tukio liwapate watu wake,haswa wale watoto wachanga.
Na Mungu mwenye nguvu zote,asingeshindwa kulizuia hili tukio baya
Lakini tukio limetokea,kwanini?
Mungu alitaka kulizuia lakini akashindwa?
Au alikuwa na uwezo wa kulizuia lakini hakutaka?
Au vyote kwa pamoja?
Hapana chief,tupe mchango wako tafadhalimi napita tu,tatizo lugha.
Uwezo wako mdogo wa kutafakari ndiyo unaona kujipinga kwa Mungu. Ni tatizo lako binafsi sio la MiunguDuara yenye pembe tatu ipo?
Bachelor aliyeoa yupo?
Bikra aliyezaa yupo?
Mtoto mchanga mwenye wajukuu yupo?
Pembe tatu yenye nyuzi zaidi ya 180 ipo katika Euclidean geometry?
Hivyo vitu vyote kimantiki haviwezekani,kwa hiyo Kiranga akisema hivyo havipo ina maana havipo kwake tu?
Mungu Hayupo si kwasababu umeshindwa kutoa uthibitisho
Hayupo kwasababu anajipinga yeye mwenyewe ni sawa na Pembe tatu duara.
Ukisema Duara yenye pembe tatu IPO?Ndio pembe tatu ipo na duara IPO,mpaka ukauliza duara na ukauliza pembe tatu,ni vitu viwili tofauti,ambavyo vipo.Duara yenye pembe tatu ipo?
Bachelor aliyeoa yupo?
Bikra aliyezaa yupo?
Mtoto mchanga mwenye wajukuu yupo?
Pembe tatu yenye nyuzi zaidi ya 180 ipo katika Euclidean geometry?
Hivyo vitu vyote kimantiki haviwezekani,kwa hiyo Kiranga akisema hivyo havipo ina maana havipo kwake tu?
Mungu Hayupo si kwasababu umeshindwa kutoa uthibitisho
Hayupo kwasababu anajipinga yeye mwenyewe ni sawa na Pembe tatu duara.
We ukapimwe akili!H1N1 said:Kama radi kupiga ni matokeo ya mchakato usio na mpango hata wakimbizi kufa ni matokeo yaaiyopamgwa sasa wewe ubaya wa vifo vya radi unahusikaje na Mungu.?
Hata ya ham ya kukujibu sinaUliza kuhusu Mungu kwa yanayomhusu kadri ya world view yake. Lakini kutumia world view yako kuuliza maswali kuhusu world view nyingine usiyoikubali ni ujuha.
Pasipo Mungu hakuna Jema wala baya kuna kutii muziki na mihemko ya DNA
Hujathibitisha kwamba mungu yupo.Kutokukubaliana kuhusu yupi Mungu wa kweli haiwezi kuwa sababu ya kutokuwepo kwake.
"Mr pembe Tatu duara"
"Inherent contradiction " inatokana kukariri kwako sifa za Mungu pasipo fikra.
Umekumbushwa ulimwengu ambaobumetokea kwa ajali hauna maovu kwa kuwa kipimo cha utambuzi wa maovu kinakuwa hakuna kwa kuwa ili uitwe uovu lazima utendwe na binadam dhidi ya binadam jappo kuna kuhangsika kwingi kutafita maana mbdala.
Kama uovu ukitendwa dhidi ya binadam na ukajua ni uovu ina maanisha umeweka thamani kwa binadmu husika na hiyo inakinzana na marlezo yenu kuhusu chanzo cha binadam.kuwa ni matokeo yasiyopangiliwa
Tatizo lako ni kukariri ndiyo sababu huwezi kuelewa mambo madogo kama ya mema na msbaya kutohusika na ninyi kwa kuwa binadam asiyeumbwa anaendeshwa na matamanio ya mwili wake na kutii matamanio ndiko humfanya atende chochote sasa ninyi msiomjua Mungu mmepata wapi ujuzi wa mema na mabaya
Zindukana wewe
Define evil.Ufundishweje wewe ?
Evil is a problem to believers
Unajuaje kuwa ni hili ni evil na jingine ni good ,wakati mnakuwa mnatii kiu ya miili yenu ?
Unaweza kuwa kipofu, ukamshika tembo mkia, ukaambiwa huyo ni tembo, ukapewa kamba, ukaishila ukaona ni kama mkia wa tembo, ukasema kamba na tembo vina umbo sawa.Aliyezaliwa kipofu wa macho,hajawahi kuona jua,atasema hakuna jua,kusema kwake hakuna jua,ni baada ya kusikia kuna jua,lakini halioni,kwa kutoliona kipofu jua na kusema hakuna jua,sio sababu ya wanaliona jua kwao pia iwe hakuna jua.
Na ni vilevile,kwa mwenye upofu wa moyo,asiyemuona Mungu kwa moyo,iwe sawa kwa wanaomuona Mungu kwa moyo,ikiwa wewe humuoni Mungu kwa moyo,sio sababu yakufanya wanamuona kwa moyo,nao iwe kwao kama wewe usimuona kwa moyo,Mungu,wakati wao wanamuona kwa Moyo.
Ni baada ya wewe kusikia wanaomuona kwa Moyo kama Mungu yupo,ndio wewe,kwa vile humuoni kwa moyo,ndio ukasema hayupo.
Kwa hiyo kusema Mungu hayupo,ndio kuthibitisha kuwa yupo.
Huko kusema Mingu hayupo,ndio uthibitisho wa kuwa Mungu yupo.Hujathibitisha kwamba mungu yupo.
Unaleta hadithi ndefu zinazojikanganya.
Thibitisha kwamba mungu yupo kwanza.
Sitaki kukupa sababu nje ya vitabu vyenu.Kiranga ,Jimena na wapinga Mungu wengine ni vyema basi mkatupa sababu zenu za kutokuwepo Mungu nje ya hv vitabu vya quran na biblia kwa kuwa hamviamini.hizi kauli za upendo,uwezo na ujuaji alionao Mungu ni maneno mlosikia sisi waabudu Mungu tukisema au nyie wenyewe mumesoma kwenye vitabu vya iman ambavyo tayari hamviamini.sasa kwa kutusaidia mungetoa sababu zingine nje ya vitabu.sijui nimeeleweka??
Onvioisly either the concept of consecutive application escaoes you or you are jusf being funnily evasive.Ukisema Duara yenye pembe tatu IPO?Ndio pembe tatu ipo na duara IPO,mpaka ukauliza duara na ukauliza pembe tatu,ni vitu viwili tofauti,ambavyo vipo.
Ukiuliza bachelor aliyeoa,ndio ubachelor upo na kuoa kupo,alianza kuwa bachelor ndio akaoa.Bikra aliyezaa,pia yupo,alianza ubikra ndio akazaa.Kwa hiyo ubikra upo na uzazi upo.Vyote ulivyovitaja vipo.
Kumbuka huwezi kusema hakuna bila kuwapo,kama hakukuwapo basi huwezi sema hakukuwapo,ila kukikuwapo ndio utasema hakukukuwapo.
Unaposema Mungu hayupo,ndio kuthibitisha kuwa yupo.Kama angekuwa hayupo,usingesema hayupo,ni baada ya kujuwa yupo,ndio ukasema hayupo kwako,lakini kwa wengine yupo.
Kama kusema mungu hayupo kunathibitisha kwamba mungu yupo, basi kusema mungu yupo kunathibitisha kwamba mungu hayupoHuko kusema Mingu hayupo,ndio uthibitisho wa kuwa Mungu yupo.
Huwanza kuwapo,ndio ikaja kutokuwapo.
Na unaposikia hakipo,ni kuwa kipo,lakini hakipo machoni mwako au moyoni mwako,lakini kwa wengine kipo.
Na hata ukisikia fulani ampenda Fulani,sio lazima wewe umpende huyo fulani,ndio ujuwe kama Fulani ampenda Fulani.Anayejuwa Fulani ampenda Fulani,ni yule anayeziona hizo athari za huyo anayempenda na anaypendwa.
Na hivyo hivyo,kutokuona kwako athari za Mungu,sio sababu kwa wanaona nao wao kama wewe usiyeona hizo athari za kuwepo Mungu.
Kwa kusema Mungu hayupo,ndio uthibitisho tosha wa kuwa Mungu yupo.
Hoja kama hizi ndiyo tunazoziita non sequiturKikwajuni said:Ukisema Duara yenye pembe tatu IPO?Ndio pembe tatu ipo na duara IPO,mpaka ukauliza duara na ukauliza pembe tatu,ni vitu viwili tofauti,ambavyo vipo.
Ukiuliza bachelor aliyeoa,ndio ubachelor upo na kuoa kupo,alianza kuwa bachelor ndio akaoa.Bikra aliyezaa,pia yupo,alianza ubikra ndio akazaa.Kwa hiyo ubikra upo na uzazi upo.Vyote ulivyovitaja vipo.
Kumbuka huwezi kusema hakuna bila kuwapo,kama hakukuwapo basi huwezi sema hakukuwapo,ila kukikuwapo ndio utasema hakukukuwapo.
Unaposema Mungu hayupo,ndio kuthibitisha kuwa yupo.Kama angekuwa hayupo,usingesema hayupo,ni baada ya kujuwa yupo,ndio ukasema hayupo kwako,lakini kwa wengine yupo.
Huyo jamaa kashindwa kujibu hoja kajitia uchizi tu.Hoja kama hizi ndiyo tunazoziita non sequitur
Duara lipo,pembetatu ipo,Lakini pembetatu duara haipo
Bachelor yupo na kuoa kupo,lakini bachelor aliyeoa hayupo
Bikra yupo,kuzaa kupo
Lakini bikra aliyezaa hayupo
Ukishaa zaa,sio bikra tena
Kwani nikisema 'mzee Panknqzk' hayupo?hapo nitakuwa nimethibitisha yupo
Unajua 'mzee Panknqzk' ni nani?