Wewe ndiye huna uwezo wa kuelewa. Unayoita "Evils " ni sahihi Tu kama ni MTU anayeamini Mungu. Waamini Mungu ndiyo ambao huamini ya kwamba binadam anayothamani ambayo inatakiwa kulindwa na binadam mwenzake. Na matendo ambayo ni kinyume na mtazamo wa wenye kuamini juu ya thamani ya binadam ndiyo huitwa "Evil" na pia matendo ambayo ni kinyume na maamrisho ya "Moral God " pia huonwa kwamba ni Evils.
Sasa wewe ambaye binadam ni matokeo ya ajali za kwenye ulimwengu habari ya Good and Evils umeitoa wapi kama sio umrkaririshwa na Atheist waliokuwa wavivu wa kufikiri ?
Unasema kuna Evils ukimaanisha kuwepo kwa Moral law unayotumia kutambua hayo mema na mabaya, ukiamini kuwepo kwa hiyo Moral law una maana kuwepo kwa Moral law giver, na huyo moral law giver ndiye Mungu .
Sababu ya msingi ni kuwa katika habari za Mungu ndipo thamani ya binadam hupatikana nje ya hapo binadam ni kiumbe sawa na viumbe wengine hana thamani yoyote ya ziada katika yeye ndiyo sababu Atheist ndiyo mawakili wa ushoga na utoaji mimba kwa kuwa wao hakuna jambo ambalo ni baya kwa kila binadam isipokuwa ubaya hutegemea MTU mmoja mmoja na mtazamo wake.
Tafuta hoja nyingine kupinga uwepo wa Mungu ili ufundishwe. Futa uliyokaririshwa
Kiranga