The so called 'GOD' from religions

The so called 'GOD' from religions

Siwezi kuacha kuuliza swali ambalo hujalitatua.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujalitatua hili swali, na siachi kukuuliza mpaka ulitatue au kukubali kwamba hujui utatuzi wake.
Unarejea kuuliza kwa kuwa umekarii jibu la "sijui" lakini Mimi nafahamu kuwa uwezo wote na ujuzi wote unahusisha kuumba ulimwengu wa aina yoyote. Kama uwezo wote kwako ni kuumba ulimwengu wa aina Fulani.

Huo ni uwezo wote kwa "time and space " na sio kwa Moral God.
Waona aibu kwa kuwa udhaifu wa swali lako umewekwa peupe wenye fikra wote wanauona hivyo ili kulinda udhaifu wako umekomaa ati huoni majibu kwenye majibu unayopewa.
Ulidhani kuamini Mungu hayupo ni kwa wenye akili kumbe ni kwa wenye uwezo mkubwa wa kukariri huku hekima ikitumika kiduchu.
 
Unarejea kuuliza kwa kuwa umekarii jibu la "sijui" lakini Mimi nafahamu kuwa uwezo wote na ujuzi wote unahusisha kuumba ulimwengu wa aina yoyote. Kama uwezo wote kwako ni kuumba ulimwengu wa aina Fulani
Huo ni uwezo wote kwa "time and space " na sio kwa Moral God.
Waona aibu kwa kuwa udhaifu wa swali lako umewekwa peupe wenye fikra wote wanauona hivyo ili kulinda udhaifu wako umekomaa ati huoni majibu kwenye majibu unayopewa.
Ulidhani kuamini Mungu hayupo ni kwa wenye akili kumbe ni kwa wenye uwezo mkubwa wa kukariri huku hekima ikitumika kiduchu.
Sijakataa kwamba uwezo wote unajumuisha kuumba ulimwengu wowote.

Swali langu halihoji uwezo wa mungu wako.

Ukiongelea uwezo, unaniambia kwamba uwezo wako wa kuelewa ni mdogo sana, ndiyo maana huwezi kunijibu.

Swali langu linasema, huyo mungu wako mwenye uwezo wote, alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Hakuumba ulimwengu huo.

Kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana.

Swali langu ni, kwa nini kaumba ulimwengu huu ambao mabaya yanawezekana na hajaumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Ukinijibu kwamba mungu ana uwezo wote kwa hiyo hilo linajumuisha hata ulimwengu ambao mabaya yanawezekana, unaonekana hujaelewa swali langu.

Swali langu haliulizi uwezo wa mungu huyo.

Linauliza sababu zake za kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana.

Unazijua? Unaweza kuzitaja?
 
Sijauliza mipaka ya uwezo wake ni ipi.

Nimeuliza kwa nini kaamua kuumba ulimwengu aliouumba.

Hujajibu swali ambalo umeulizwa.

Swali ambalo umelijibu hujaulizwa.
Swali lako la kwanini kaumba ulimwengu wa aina hii linatokana na wewe kuhoji juu ya uwezo wake, kwa akili yako pungufu unafikiri uwezo wote ungeonekana angeumba ulimwengu unaoupenda wewe. Mimi sina tatizo na ulimwengu huh ambao wewe unakutatiza kwa kuwa hutaki kutumia hekima aliyokupa.

MTU mwenye tafakari ya kweli hawezi kuuliza swali la kwanini kaumba ulimwengu aina hii huku akikataa majibu ya wanaofahamu kuhusu uumbaji na sababu zake na anaendelea bila aibu kukomaa na swali ambalo amepewa majibu japo hayapendi kwa kuwa yanamwonyesha alivyo mtupu kichwani.

Kwanini kaamua kuumba ukimwengu wa aina hii.
Jibu: Kwa sababu iko ndani ya uwezo wake kuumba ulimwengu wa aina hii na kuwapa binadam hekima ya kuutumia kwa manufaa yao.
 
Swali lako la kwanini kaumba ulimwengu wa aina hii linatokana na wewe kuhoji juu ya uwezo wake, kwa akili yako pungufu unafikiri uwezo wote ungeonekana angeumba ulimwengu unaoupenda wewe. Mimi sina tatizo na ulimwengu huh ambao wewe unakutatiza kwa kuwa hutaki kutumia hekima aliyokupa.
MTU mwenye tafakari ya kweli hawezi kuuliza swali la kwanini kaumba ulimwengu aina hii huku akikataa majibu ya wanaofahamu kuhusu uumbaji na sababu zake na anaendelea bila aibu kukomaa na swali ambalo amepewa majibu japo hayapendi kwa kuwa yanamwonyesha alivyo mtupu kichwani.
Kwanini kaamua kuumba ukimwengu wa aina hii.
Jibu: Kwa sababu iko ndani ya uwezo wake kuumba ulimwengu wa aina hii na kuwapa binadam hekima ya kuutumia kwa manufaa yao.
Kwa nini unaongelea uwezo wakati mimi swali langu si la uwezo, ni la sababu?

Unaelewa tofauti?

Mtu akiwa milionea, ana uwezo wa kununua nyumba yoyote, lakini akanunua nyumba Coco beach, mimi nikaja kuuliza, huyu mtu ana uwezo wa kununua nyumba yoyote, kwa nini akanunua nyumba Coco beach? Hapo nitakuwa nimehoji uwezo wake wa kununua nyumba au sababu zilizomfanya anunue nyumba Coco beach?
 
Kwa nini unaongelea uwezo wakati mimi swali language si la uwezo, ni la sababu?

Unaelewa tofauti?

Mtu akiwa milionea, Ana uwezo wa kuumba nyumba yoyote, lakini akanunua nyumba Coco beach, mimi nikaja kuuliza, high mtu Ana uwezo wa kununua nyumba yoyote, kwa nini akanunua nyumba Coco beach? Hapo nitakuwa nimehoji uwezo wake wa kununua nyumba au sababu zilizomfanya anunue nyumba Coco beach?
Wewe ndiwe huelewi, kwa mfano wako huo wa tajiri ni sawa na kuhoji kwamba tajiri kwa nini kanunua nyumba iliyojengwa kwa miti badala ya kununua nyumba ya matofali ya saruji ?
Sasa kwa akili yako pungufu unasema nisizungumzie uwezo wake wa kununua nyumba yoyote atakayo popote bali nizungumzie sababu za uamuzi wake !
Nawe wajiona mzima kichwani kwa viroja hivyo ?
 
Kwa akili yako pungufu uamuzi wa kufanya au kutofanya jambo hauwezi sababishwa na uwezo ?
 
Wewe ndiwe huelewi, kwa mfano wako huo wa tajiri ni sawa na kuhoji kwamba tajiri kwa nini kanunua nyumba iliyojengwa kwa miti badala ya kununua nyumba ya matofali ya saruji ?
Sasa kwa akili yako pungufu unasema nisizungumzie uwezo wake wa kununua nyumba yoyote atakayo popote bali nizungumzie sababu za uamuzi wake !
Nawe wajiona mzima kichwani kwa viroja hivyo ?
Nikianza kwa kusema kuna tajiri ana uwezo wa kununua nyumba yoyote, siwezi kukuuliza swali la uwezo wa Huyo tajiri kununua nyumba, kwa sababu hilo nimeanza kwa kulikubali as a setup to my question.

Sasa unaposema nauliza kuhusu uwezo, wakati nimeanza kwa kukubali uwezo, unaonekana una uelewa finyu.

Nikikuuliza kwa nini tajiri akanunua nyumba iliyojengwa kwa miti na si ya saruji, nimeuliza uwezo au sababu zilizomfanya anunue nyumba ya miti na si saruji?
 
Sijakataa kwamba uwezo wote unajumuisha kuumba ulimwengu wowote.

Swali langu halihoji uwezo wa mungu wako.

Ukiongelea uwezo, unaniambia kwamba uwezo wako wa kuelewa ni mdogo sana, ndiyo maana huwezi kunijibu.

Swali langu linasema, huyo mungu wako mwenye uwezo wote, alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Hakuumba ulimwengu huo.

Kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana.

Swali langu ni, kwa nini kaumba ulimwengu huu ambao mabaya yanawezekana na hajaumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Ukinijibu kwamba mungu ana uwezo wote kwa hiyo hilo linajumuisha hata ulimwengu ambao mabaya yanawezekana, unaonekana hujaelewa swali langu.

Swali langu haliulizi uwezo wa mungu huyo.

Linauliza sababu zake za kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana.

Unazijua? Unaweza kuzitaja?
Sababu umewekewa isipokuwa uwezo wa kuelewa huna
Narejea. Aliumba ulimwengu wa a in a hii ili binadam autawale hivyo aliumba wa aina hii kwa ajili ya wanadam wapate nafasi ya kutumia hekima aliyotupa juu ya namna ya kuutumia ulimwengu na vitu vyote vilivyomo...
 
Kwa akili yako pungufu uamuzi wa kufanya au kutofanya jambo hauwezi sababishwa na uwezo ?
Swali nililouliza mimi si la uwezo, ni la sababu.

Jibu lake hujanipa.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu swali hili.
 
Sababu umewekewa isipokuwa uwezo wa kuelewa huna
Narejea. Aliumba ulimwengu wa a in a hii ili binadam autawale hivyo aliumba wa aina hii kwa ajili ya wanadam wapate nafasi ya kutumia hekima aliyotupa juu ya namna ya kuutumia ulimwengu na vitu vyote vilivyomo...
Kwa hiyo alishindwa kuumba ulimwengu ambao binadamu atautawala bila ya ulimwengu huo kuruhusu mabaya?
 
Swali nililouliza mimi si la uwezo, ni la sababu.

Jibu lake hujanipa.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu swali hili.

Sababu umewekewa isipokuwa uwezo wa kuelewa huna
Narejea. Aliumba ulimwengu wa aina hii ili kwakuwa pamoja na kuumba ulimwengu alimuumba binadam ambaye alimpa ujuzi au hekima ya namna ya kuutawala na kuutumia ulimwengu huu kwa faida yake.
Hivyo aina hii ya ulimwengu ndiyo inatimiza kusudi la Mungu kumuumba mwanadamu ili kupitia fahari za ulimwengu na hekima aliyompa apate utukufu.

Utarudi kwenye default position yako kutaka sababu za kuumba ulimwengu wa aina hii ?
 
Even thethe big scientists confirmed existence of one supernatural power....that we religious call GOD. Do not be deceived, GOD is real. If you mock HIM, that is your grave.
 
Kiranga kwa nini unakomaa na kutaka upewe sababu kadri ya matakwa yako ?
Sababu nizitoazo ndizo sababu za kuumbwa kwa ulimwengu huh kwa world view yangu.
Jifunze kutafakari kidogo badala ya kukariri Tu.
Kwanini unataka MTU asitumie uwezo wake hadi akupe sababu za kwa nini katumia uwezo wake namna ile
 
Sababu umewekewa isipokuwa uwezo wa kuelewa huna
Narejea. Aliumba ulimwengu wa aina hii ili kwakuwa pamoja na kuumba ulimwengu alimuumba binadam ambaye alimpa ujuzi au hekima ya namna ya kuutawala na kuutumia ulimwengu huu kwa faida yake.
Hivyo aina hii ya ulimwengu ndiyo inatimiza kusudi la Mungu kumuumba mwanadamu ili kupitia fahari za ulimwengu na hekima aliyompa apate utukufu.

Utarudi kwenye default position yako kutaka sababu za kuumba ulimwengu wa aina hii ?
Nimekuuliza, mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao watu watautawala bila ya ulimwengu huo kuwa na mabaya?

Hujajibu.

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kwa nini atake kutukuzwa na binadamu?
 
Wakuu H1N1 na Kiranga hamchoki tuu kubishana?

Basi kubalianeni kutokukubaliana!
Anataka apewe sababu ya kwa nini Mungu alitumia uwezo wake kuumba ulimwengu ambao yeye haupendi. Haoni tatizo kwenye hoja yake
Kakomaa anataka sababu...
 
Anataka apewe sababu ya kwa nini Mungu alitumia uwezo wake kuumba ulimwengu ambao yeye haupendi. Haoni tatizo kwenye hoja yake
Kakomaa anataka sababu...
Hapana.

Wapi nimesema ulimwwngu siupendi?

Mini tatizo langu si kwamba ulimwengu siupendi.

Tatizo langu mungu wenu anajichanganya.

Huku tunaambiwa ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Logically mu gu wa hivyo yuko consistent na ulimwengu ambao hauruhusu mabaya.

Sasa inekuwaje mungu huyo akaumba ulimwengu ambao unaruhusu mabaya?

Ningeambiwa myngu hatujali, ningejua lbda hakutuina muhimu akatuacha tuteseke na mabaya.

Ningeambiwa mungu hana uwezo wote, ningejua labda alitaka kuumba ulimwengu ambao hauna mabaya, lakini hakuwa na uwezo.

Lakini huyu mungu naambiwa ana uwezo wote, ujuzi wite na uoendo wote.

Kwa nini kaumba ulimwengu ambao ubaya unawezekana wakati alikuwa na kika sababu ya kuumba ulimwengu ambao ubaya hauwezekani?

Sijajibiwa swali hili.
 
"Kukubaliana kutokukubaliana" is an oxymoron and a waste of space.

Huyu anazunguka, swali jepesi tu linamshinda kujibu.
Teh jamani,hilo swali jepesi?

Swali ni gumu,na ni gumu zaidi pindi unapomuuliza average theist!
 
Teh jamani,hilo swali jepesi?

Swali ni gumu,na ni gumu zaidi pindi unapomuuliza average theist!
Jepesi as in straightforward in its logic. Not in being easily soluble.

Huyu jamaa hata hajaweza kulielewa swali.

Namuuliza swali la sababu, yeye anafikiri namuuliza uwezo.

Kulielewa swali tu kazi, kupata jibu honest ni ndoto.

Mungu wenu hayupo.

Kwa sababu idea yake tu inajipinga yenyewe.

As self contradictory as a round triangle.
 
Back
Top Bottom