The so called 'GOD' from religions

The so called 'GOD' from religions

Hapana.

Wapi nimesema ulimwwngu siupendi?

Mini tatizo langu si kwamba ulimwengu siupendi.

Tatizo langu mungu wenu anajichanganya.

Huku tunaambiwa ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Logically mu gu wa hivyo yuko consistent na ulimwengu ambao hauruhusu mabaya.

Sasa inekuwaje mungu huyo akaumba ulimwengu ambao unaruhusu mabaya?

Ningeambuwa myngu hatujali, ningejua lbda hakutuina muhimu akatuacha tuteseke na mabaya.

Ningeambuwa mungu hana ywezo wote, ningejua labda alitaka kuumba ulimwengu ambao hauna mabaya, lakini hakuwa na uwezo.

Lakini huyu mungu naambiwa ana uwezo wote, ujuzi wite na uoendo wote.

Kwa nini kaumba ulimwengu ambao ubaya unawezekana wakati alikuwa na kika sababu ya kuumba ulimwengu ambao ubaya hauwezekani?

Sinajibuwa swali hili.
Nakukumbusha tena, nje ya kuwepo kwa Mungu hakuna Mabaya.
Ukizungumzia mabaya una maana kuna mema pia, hivyo unauwa unazungumzia uwepo wa sheria ya kimaadili ambayo aweza kuitumia kutambua mabaya dhidi ya mema.
Ukitambua uwepo wa sheria ya kimaadili ya kuambua wema dhidi ya ubaya unatambua uwepo wa mweka sheria husika ambaye ndiye Mimi na wengine tunamwita Mungu.
Sasa wewe ambaye ni matokeo ya ajali ulimweguni apohhoji kuhusu mema na mabaya unatumia sheria gani kutambua na kutofautisha?

Lakini pia Wakristo tuna maelezo ya ziada kwa kuwa ndani ya uyaonayo mabaya limo tumaini kwa kuwa kuna ahadi katika maisha yajayo ! Sasa wewe ambaye kwa maisha ni kula them kufa na kuoza lete maswali yenye mashiko kwa imani yako.
Hili swali limekuwa gumu sana kwa miaka mingi kwa kuwa waliotakiwa kujibu walikuwa wanasahau kumtambua muuliza swali.

Swali linajibiwa kwa namna bili kutegemea namna unavyoelewa na kumwelewa muuliza swali ; swali la aina hii inatakiwa kumjibu muuliza swali na sio swali lenyewe kwa kuwa swali liko nje ya msimamo wa (world view) ya muuliza swali
 
Nakukumbusha tena, nje ya kuwepo kwa Mungu hakuna Mabaya.
Ukizungumzia mabaya una maana kuna mema pia, hivyo unauwa unazungumzia uwepo wa sheria ya kimaadili ambayo aweza kuitumia kutambua mabaya dhidi ya mema.
Ukitambua uwepo wa sheria ya kimaadili ya kuambua wema dhidi ya ubaya unatambua uwepo wa mweka sheria husika ambaye ndiye Mimi na wengine tunamwita Mungu.
Sasa wewe ambaye ni matokeo ya ajali ulimweguni apohhoji kuhusu mema na mabaya unatumia sheria gani kutambua na kutofautisha ?
Lakini pia Wakristo tuna maelezo ya ziada kwa kuwa ndani ya uyaonayo mabaya limo tumaini kwa kuwa kuna ahadi katika maisha yajayo ! Sasa wewe ambaye kwa maisha ni kula them kufa na kuoza lete maswali yenye mashiko kwa imani yako.
Hili swali limekuwa gumu sana kwa miaka mingi kwa kuwa waliotakiwa kujibu walikuwa wanasahau kumtambua muuliza swali
Swali linajibiwa kwa namna bili kutegemea namna unavyoelewa na kumwelewa muuliza swali ; swali la aina hii inatakiwa kumjibu muuliza swali na sio swali lenyewe kwa kuwa swali liko nje ya msimamo wa (world view) ya muuliza swali
Kwanza kabisa, kabla ya kusema "nje ya kuwepo kwa mungu hakuna mabaya" thibitisha kwamba mungu yupo.

Unaweza kuthibitisha mungu yupo?

Don't put the cart before the horse.
 
Tukiendelea na mfano wako.

Mungu anashindwa kumkinga mtoto na magonjwa bila sindano?

Na kama anaweza kumkinga mtoto na maginjwa bila sindano, asimkinge mtoto na magonjwa bila sindano, aruhusu sindano inuumize mtoto, myoto alie kwa maumivu ya sindano, mungu huyo ana upendo wote?

Unaweza kumchoma mtoto sindano bila kuhisi maumivu?

Na hata mtoto akisikia maumivu,huwezi kuhitimisha kwa kusema Mzazi hana upendo

Maumivu hayo madogo anayoyapata
[Ya sindano]

Huwezi kulinganisha na faida atakayoipata
[Kukingwa na Magonjwa]

Hapo bado utasema mzazi hana upendo kwasababu ameruhusu mwanae achomwe sindano ili kumkinga na magonjwa?

Ukisema,"kwani hakuna njia nyingine tofauti na sindano?".Hapa nitakushangaa

Ni sawa na kuuliza,kwanini dunia ipo katika solar system badala ya kuwa katika Alpha century system kwa mfano?

Swali limekosa mantiki

Hata dunia ingekuwa katika Alpha century system bado ungehoji tu,kwanini ipo pale na siyo hapa?
 
Teh jamani,hilo swali jepesi?

Swali ni gumu,na ni gumu zaidi pindi unapomuuliza average theist!
Swali lake sio gumu hata kidogo japo ni swali lililowasumbua Theist kwa muda mrefu. Halimhusu hivyo unatakiwa kumrejesha kwenye mstari ili atambue kuwa swali lake limejengwa kwenye nadharia isiyohusiana na msimamo wake.

Nakumbuka kuhusu Evils ukaleta definition Fulani
Lakini ukweli ni kuwa kwenye materialistic world Evils hakuna ! Sasa MTU kutoka dunia inayoamini kutokuwepo kwa kitu kiitwacho Evils anapouliza kuhusu evils kulinda msimamo wake inabidi ajibiwe yeye na sio swali lake. Nimeuliza kuwa inasemekana binadam wameanzia evolution Africa je ? Morals zenyewe evolution yake ilianzia wapi ?
 
Kwanza kabisa, kabla ya kusema "nje ya kuwepo kwa mungu hakuna mabaya" thibitisha kwamba mungu yupo.

Unaweza kuthibitisha mungu yupo?

Don't put the cart before the horse.

And how can you validate existence of God,if God essentially undetectable?

And what kind of evidence do you need?
 
Unaweza kumchoma mtoto sindano bila kuhisi maumivu?

Na hata mtoto akisikia maumivu,huwezi kuhitimisha kwa kusema Mzazi hana upendo

Maumivu hayo madogo anayoyapata
[Ya sindano]

Huwezi kulinganisha na faida atakayoipata
[Kukingwa na Magonjwa]

Hapo bado utasema mzazi hana upendo kwasababu ameruhusu mwanae achomwe sindano ili kumkinga na magonjwa?

Ukisema,"kwani hakuna njia nyingine tofauti na sindano?".Hapa nitakushangaa

Ni sawa na kuuliza,kwanini dunia ipo katika solar system badala ya kuwa katika Alpha century system kwa mfano?

Swali limekosa mantiki

Hata dunia ingekuwa katika Alpha century system bado ungehoji tu,kwanini ipo pale na siyo hapa?
Kwa hiyo mungu wenu uwezo wake upo limited kama wa mzazi wa kibinadamu?
 
Nimekuuliza, mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao watu watautawala bila ya ulimwengu huo kuwa na mabaya?

Hujajibu.

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kwa nini atake kutukuzwa na binadamu?
Majibu unayotoa ni kidude cha auto kinayatoa ?
Maana yanajikanganya sana
Unapoandika "Mungu alishindwa ..." Kushindwa kunaendana na uwezo hivyo kusema alishindwa Mimi nakukatalia.

Kwa waamini Mungu maisha yanaendelea hata baada ya kifo hivyo maswali yako yanaonesha kana kwamba ukomo WA maisha ni kifo.
Hapo unashindwa kujitambua wewe mwenyewe na msimamo wako kuhusu asili ya vyote na kututaka sisi wenye mtazamo tofauti tukusadie kukuondolea mawenge yatokanayo na uvivu wako wa kufikiri.

Huwzi kumea hapo ...
Utakuja na kwanini aliumba wanyama ambao wanahitaji kula ili waishi.
Kwanini aliumba usiku au mchana
Kwanini kwako haziwezi kukoma kwa kuwa huna mpangilio wa tafakari.
 
Swali lake sio gumu hata kidogo japo ni swali lililowasumbua Theist kwa muda mrefu. Halimhusu hivyo unatakiwa kumrejesha kwenye mstari ili atambue kuwa swali lake limejengwa kwenye nadharia isiyohusiana na msimamo wake
Nakumbuka kuhusu Evils ukaleta definition Fulani
Lakini ukweli ni kuwa kwenye materialistic world Evils hakuna ! Sasa MTU kutoka dunia inayoamini kutokuwepo kwa kitu kiitwacho Evils anapouliza kuhusu evils kulinda msimamo wake inabidi ajibiwe yeye na sio swali lake
Nimeuliza kuwa inasemekana binadam wameanzia evolution Africa je ? Morals zenyewe evolution yake ilianzia wapi ?
Hujajibu swali.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
 
Majibu unayotoa ni kidude cha auto kinayatoa ?
Maana yanajikanganya sana
Unapoandika "Mungu alishindwa ..." Kushindwa kunaendana na uwezo hivyo kusema alishindwa Mimi nakukatalia
Kwa waamini Mungu maisha yanaendelea hata baada ya kifo hivyo maswali yako yanaonesha kana kwamba ukomo WA maisha ni kifo.
Hapo unashindwa kujitambua wewe mwenyewe na msimamo wako kuhusu asili ya vyote na kututaka sisi wenye mtazamo tofauti tukusadie kukuondolea mawenge yatokanayo na uvivu wako wa kufikiri.
Huwzi kumea hapo ...
Utakuja na kwanini aliumba wanyama ambao wanahitaji kula ili waishi.
Kwanini aliumba usiku au mchana
Kwanini kwako haziwezi kukoma kwa kuwa huna mpangilio wa tafakari.
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu swali hili.
 
Kwanza kabisa, kabla ya kusema "nje ya kuwepo kwa mungu hakuna mabaya" thibitisha kwamba mungu yupo.

Unaweza kuthibitisha mungu yupo?

Don't put the cart before the horse.
Sasa ukitaka kuthibitishiwa uwepo wa Mungu tafuta namna bora zaidi ya kuuliza maswali. Ukiuliza kuhusu uovu unakuwa tayari unatambua uwepo wa Mungu kwa kuwa katika ulimwengu wenu usioumbwa hakuna kitu kiitwacho chema wala kiovu.

Wewe ndiye waweka mkokoteni Mbele ya punda kwa hoja yako kuhusu Mema na Moavu.
Hivyo basi kama kwa imani yako Mungu hayupo ndivyo kwa imani yako pia maovu hayapo
Umeelewa ? Ili tusiwe tunapoteza muda kuzunguka mulemule tu

Kama materialistic world yako ina mema na maovu weka wazi.
 
Sasa ukitaka kuthibitishiwa uwepo wa Mungu tafuta namna bora zaidi ya kuuliza maswali. Ukiuliza kuhusu uovu unakuwa tayari unatambua uwepo wa Mungu kwa kuwa katika ulimwengu wenu usioumbwa hakuna kitu kiitwacho chema wala kiovu !
Wewe ndiye waweka mkokoteni Mbele ya punda kwa hoja yako kuhusu Mema na Moavu.
Hivyo basi kama kwa imani yako Mungu hayupo ndivyo kwa imani yako pia maovu hayapo
Umeelewa ?
Ili tusiwe tunapoteza muda kuzunguka mulemule tu

Kama materialistic world yako ina mema na maovu weka wazi.
Obviously hujawahi kusikia immanent critique maishani mwako.

And therein lies a problem.
 
Obviously hujawahi kusikia immanent critique maishani mwako.

And therein lies a problem.
Umerejea Mara nyingi sana kuhusu hiyo immanent critique kana kwamba ilikupatia noble prize huku ukishindwa kuielewa na kyitumia ipasavyo.

Kama una maana kwa mfano ukikubali kuwa mungu yupo na sofa zake hizo....
Sasa kwenye immanent critique yako hutaki majibu ya world view yangu bali wataka majibu yako wewe...
Nimekwambia kwa msingi huo huo kama unatumia immanent critique basi jiweke kwenye nafasi ambayo kifo sio ukomo na kumtumaini Bwana Yesu haijalishi umeteseka vipi dunia hii kuna maisha ya ulimwengu huo ambao wewe ungependa uwe umeuumbiwa.

Huwezi kuuliza kwa matzamo WA hakuna maisha baada ya kifo huku ukitaka nami nikujibu kwa mtazamo huo
.uliza maswali kwa kuanzia na kujiformat usiwe materialistic ili upate Elimu kama itakuwa haina mashiko ndipo urejee. Lakini kujipa ujuzi wa usivyovijua kwa kujifcha kwenye neno "immanent critique " haitakusaidia wewe wala mwingine toyote.
 
Umenipa mfano wa mzazi wa kibinadamu na habari ya chanjo, kwamba anampa mwanawe sindano ya chanjo hata kama itamuuma, ili imsaidie kwa kumkinga na magonjwa.

Mzazi wa kibinadamu anafanya hivyo kwa sababu hana jinsi. Hana uwezo wote kama mungu.

Mungu wenu mnasema anaa uwezo wote.

Ukitumia mfano huo wa mzazi wa mtoto kumpa mtoto chanjo inayouma kama justification ya mungu kuruhusu evil unamfanya mungu kama naye ana limitation kama za mzazi wa mtoto.

Ndiyo maana nikakuuliza, Huyo mungu wenu ana limitation?

Mzazi akiwa na option ya kumpa mtoto dawa ya kidonge isiyouma, na kama mzazi anampenda mtoto wake na ana akili timamu, atachagua dawa isiyouma.

Issue huyu mungu ana options site achague kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana?

Ukisema "lesser evil for greater good" kama mfano wa chanjo, nitakuuliza inamaana Huyo mungu kashindwa kuumba ulimwengu ambao hiyo evil si necessary?
 
Umerejea Mara nyingi sana kuhusu hiyo immanent critique kana kwamba ilikupatia noble prize huku ukishindwa kuielewa na kyitumia ipasavyo.

Kama una maana kwa mfano ukikubali kuwa mungu yupo na sofa zake hizo....
Sasa kwenye immanent critique yako hutaki majibu ya world view yangu bali wataka majibu yako wewe...
Nimekwambia kwa msingi huo huo kama unatumia immanent critique basi jiweke kwenye nafasi ambayo kifo sio ukomo na kumtumaini Bwana Yesu haijalishi umeteseka vipi dunia hii kuna maisha ya ulimwengu huo ambao wewe ungependa uwe umeuumbiwa.

Huwezi kuuliza kwa matzamo WA hakuna maisha baada ya kifo huku ukitaka nami nikujibu kwa mtazamo huo
.uliza maswali kwa kuanzia na kujiformat usiwe materialistic ili upate Elimu kama itakuwa haina mashiko ndipo urejee. Lakini kujipa ujuzi wa usivyovijua kwa kujifcha kwenye neno "immanent critique " haitakusaidia wewe wala mwingine toyote.
Hujathibitisha mungu yupo.

Hujatuambia kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana.

Hujawahi kuelewa mathematical solution inayoanza ku solve equation kwa let x = y.
 
Hujathibitisha mungu yupo.

Hujatuambia kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana.

Hujawahi kuelewa mathematical solution inayoanza ku solve equation kwa let x = y.
Let x=y maana yake kila penye x unaweka y na sio kwamba sehemu nyingine unaogopa kuweka y kwa sababu unatafuta jibu Fulani
Fuata ukweli unako kupekeleka
Umepewa majibu yote juu ya sababu za Mungu wangu kuumba ulimwemgu huu na kuniumba Mimi ili niutawale
Hiyo habari ya kurejea swali ni kwa kuwa ulitegemea jibu kadri ya ulivyokariri
 
Let x=y maana yake kila penye x unaweka y na sio kwamba sehemu nyingine unaogopa kuweka y kwa sababu unatafuta jibu Fulani
Fuata ukweli unako kupekeleka
Umepewa majibu yote juu ya sababu za Mungu wangu kuumba ulimwemgu huu na kuniumba Mimi ili niutawale
Hiyo habari ya kurejea swali ni kwa kuwa ulitegemea jibu kadri ya ulivyokariri
Hata hujaelewa reference na context. I doubt unaweza kuelewa.

Hujathibitisha mungu yupo.

Hujajibu contradiction of evil.
 
Hata hujaelewa reference na context. I doubt unaweza kuelewa.

Hujathibitisha mungu yupo.

Hujajibu contradiction of evil.

Context unayo wewe kichwani mwako hivyo unauhuru WA kukataa nyingine yoyote

Siwezi kuthibitisha uwepo wa Mungu
Nimekujibu kuhusu hicho ukiitacho contradiction of evils
 
Context unayo wewe kichwani mwako hivyo unauhuru WA kukataa nyingine yoyote

Siwezi kuthibitisha uwepo wa Mungu
Nimekujibu kuhusu hicho ukiitacho contradiction of evils
Huwezi kuthibitisha kuwepo kwa mungu kwa sababu hayupo.

Contradiction of evil hujajibu.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu swali.
 
Huwezi kuthibitisha kuwepo kwa mungu kwa sababu hayupo.

Contradiction of evil hujajibu.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu swali.
Kichothibbitishwa hakipo, kwa kuwa siwezi kuthiitisha akili zako ni kwa kuwa huna. Good.
Nimekwambia kama unataka kujua sababu za kuumba ulimwengu wa aina hii ni kutokana kumuumba binadam kwa mfano wake akijua Jema na baya ili atumie hekima aliyopewa kuishi katika dunia ya ainaa hii kwa kuzingatia viigezo na masharti.
Kama hutaki ni tatizo lako wewe
 
Back
Top Bottom