The so called 'GOD' from religions

The so called 'GOD' from religions

Lakini kaka,

Mbona hata sisi,tunapinga uwepo wa miungu mingine

Mfano kama wewe ni mkristo au muislam utapinga uwepo wa zeus au mars[Miungu ya kigiriki na kiroma]

Ukiulizwa,kwanini unapinga uwepo wao,utajibuje?

Mimi nafikiri,cha msingi ni kupambana nao kwa hoja na mantiki kaka yangu!
Kwa mfano wake huo, akikataa kwamba Zeus si mungu pekee, amekubali kwamba Zeus ni mungu pekee.

Akikataa kwamba Jupiter si mungu pekee, amekubali kwamba Jupiter ni mungu pekee.

Si tu atakuwa amekubali kwamba Zeus na Jupiter ni mungu, Bali pia atakuwa na miungu pekee zaidi ya mmoja.

How absurd!
 
We binti,jifunze adabu kwanza,sio unatukana watu usio wajua

Swali la msingi alilouliza Kiranga hamjalijibu mpaka sasa,

Mdahalo utaendeleaje kama hamtaki kujibu maswali ya msingi?

Msingi wa swali la Kiranga ni huu;

Suppose,kuna radi imepiga katika msitu

Ikasababisha moto mkubwa[Forest fire]

Moto huo ukasambaa kwa kasi na kwenda kuteketeza kambi ya wakimbizi

Idadi kubwa ya watu waliokufa ikawa ya kina mama wenye mimba na watoto wachanga

Kama Mungu mwenye ujuzi wote yupo,basi aliliona hili tukio mapema kabla halijatokea na akajua jinsi ya kulizuia.

Mungu mwenye upendo kwa viumbe wake,asingependa hili tukio liwapate watu wake,haswa wale watoto wachanga.

Na Mungu mwenye nguvu zote,asingeshindwa kulizuia hili tukio baya

Lakini tukio limetokea,kwanini?

Mungu alitaka kulizuia lakini akashindwa?

Au alikuwa na uwezo wa kulizuia lakini hakutaka?

Au vyote kwa pamoja?
Kiranga amekariri maswali bahat mbaya hakukaririshwa majibu hivyo hata umjibu huwa haelewi.
Wewe Kiranga ndiye" Mentor ' wako ?
Tumia kichwa chako vema umeweka majina ya wenye akili kwenye ID lakini huna kitu mukichwa
 
We ukapimwe akili!

Matetemeko ya Ardhi yanayoua watu kila mwaka,Njaa,Tsunami na magonjwa bado Mungu hausiki

Kwahiyo yeye anafurahia kuona watu wakifa kama hivyo?

Hata ya ham ya kukujibu sina

Maana kichwani mwako hakuna kitu.

Talk to the hand!
Wewe ni zero kabisa.
Unafikiri kifo ni kibaya hata kwa Mungu ?
Wewe utakuwa msukule. Mungu ametuumba na kutupa ujuzi wa mema na mabaya , kushindwa kutumia ujuzi husika kuzuia au kuondoa madhara ya tetemeko. Maradhi au kingine chochote ni tatizo la mwanadam sio la Mungu. Mimi masema mwanadam kwa kuwa naamini katika kuumbwa sijui msukule wewe unaitwaje maana wewe hukuumbwa bali in advanced sokwe
 
Kiranga amekariri maswali bahat mbaya hakukaririshwa majibu hivyo hata umjibu huwa haelewi.
Wewe Kiranga ndiye" Mentor ' wako ?
Tumia kichwa chako vema umeweka majina ya wenye akili kwenye ID lakini huna kitu mukichwa
Kama maswali nimekariri au sijakariri si muhimu.

Umeyajibu na kuyatatua? Hilo ndilo muhimu.

Kama hujajayajibu na kuyatatua, kusema nimekariri maswali mimi naona ni kukwepa maswali ambayo huwezi kuyatatua.
 
Hujajibu swali langu.

Unaleta circular argument.

Swali langu ni kwa nini mungu kaumba ulimwengu ambao ubaya unawezekana. Wewe hujibu swali nililokuuliza, inaniambia bila mungu hakuna evil.

That is a total evasion of the question.

Mungu wako mnasema anajua yote, anaweza yote na ana upendo wote.

For the sake of argument, let's take that as a given. In order to examine matters further.

Kwa nini huyu mungu kaumba ulimwengu ambao ubaya unawezekana wakati alikuwa na uwezo, upendo, ujuzi na sababu zote za kuumba ilimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu hili swali.
Evil and Good hakuna katika ulimwengu wa sokwe incarnate hivyo kukujibu itakuwa napoteza muda kwa kuwa sokwe incarnate hawezi kuelewa kuwa katika ulimwengu wa binadam kina maisha baada ya kifo na kifo Mbele za Mungu sio kitu kibaya.

Akili ya kukaririshwa imeshimdwa kuelewa kuwa Binadam kapewa Ujuzi WA mema na mabaya hivyo kuruhusu kufikiwa na athari za nabaya ni ukiranga wake Tu sio kosa la aliyemuumba
Tatizo lako kubwa kuelewa ni janga
 
Evil and Good hakuna katika ulimwengu wa sokwe incarnate hivyo kukujibu itakuwa napoteza muda kwa kuwa sokwe incarnate hawezi kuelewa kuwa katika ulimwengu wa binadam kina maisha baada ya kifo na kifo Mbele za Mungu sio kitu kibaya.
Akili ya kukaririshwa imeshimdwa kuelewa kuwa Binadam kapewa Ujuzi WA mema na mabaya hivyo kuruhusu kufikiwa na athari za nabaya ni ukiranga wake Tu sio kosa la aliyemuumba
Tatizo lako kubwa kuelewa ni janga
Unamuongelea binadamu wakati binadamu hayupo katika swali.

Swali linauliza Huyo mungu wako alivyokuwa anaumba ulimwengu, kabla binadamu hajakuwapo.

Au unataka kutuambia mungu wako kaumbwa na binadamu?
 
Unamuongelea binadamu wakati binadamu hayupo katika swali.

Swali linauliza Huyo mungu wako alivyokuwa anaumba ulimwengu, kabla binadamu hajakuwapo.

Au unataka kutuambia mungu wako kaumbwa na binadamu?

Kwenye Grand plan binadam alikuwa sehemu kuu.
Baada ya kuumba alimkabidhi binadam na kumpa ujuzi juu ya Mema na Mabaya
Hivyo habari ya mabaya kuwapata binadam ni kutokana na ukiranga wao.

Nakupa msaada kidogo. Binadam maana yake ni uzao wa Adam.hivyo kama unamaanisha kabla ya uzao basi tumia Adam
Kwa kuwa ni kutokana na kuumbwa kwa Adam ndipo wanadam wakapatikana. Utaelewa Tu
Binadam hayupo kwenye swali lakini ukweli unasimama kuwa ili jambo liwe ovu ni budi litendwe dhidi ya binadam na binadam mwingine
Nimekupata maana Evil kama ulivyoomba jifunze kupitia maana ile

Hufundishiki ? Maovu ni dhidi ya binadam au na binadam
Binadam ni kutoka kwa Adam aliyeumbwa na sio sokwe incarnate kama Kiranga et al
Binadam kapewa uwezo dhidi ya maovu kwa kuwa na ujuzi WA mema na mabaya
Kwa Mungu na viumbe wake vigezo na masharti huzingatiwa
Chips incarnate wanahoji kwa nini Mungu atende alivyotenda pasipo kuonyesha uzuri wa ulimwengu uliopatikana kwa ajali ambao binadam ni kama robot na hauna Jema na baya
Sijui kama ulimwengu wa viranga ungekuwepo na JF ingekuwepo pia
 
Kwenye Grand plan binadam alikuwa sehemu kuu.
Baada ya kuumba alimkabidhi binadam na kumpa ujuzi juu ya Mema na Mabaya
Hivyo habari ya mabaya kuwapata binadam ni kutokana na ukiranga wao.

Nakupa msaada kidogo. Binadam maana yake ni uzao wa Adam.hivyo kama unamaanisha kabla ya uzao basi tumia Adam
Kwa kuwa ni kutokana na kuumbwa kwa Adam ndipo wanadam wakapatikana. Utaelewa Tu
Binadam hayupo kwenye swali lakini ukweli unasimama kuwa ili jambo liwe ovu ni budi litendwe dhidi ya binadam na binadam mwingine
Nimekupata maana Evil kama ulivyoomba jifunze kupitia maana ile

Hufundishiki ? Maovu ni dhidi ya binadam au na binadam
Binadam ni kutoka kwa Adam aliyeumbwa na sio sokwe incarnate kama Kiranga et al
Binadam kapewa uwezo dhidi ya maovu kwa kuwa na ujuzi WA mema na mabaya
Kwa Mungu na viumbe wake vigezo na masharti huzingatiwa
Chips incarnate wanahoji kwa nini Mungu atende alivyotenda pasipo kuonyesha uzuri wa ulimwengu uliopatikana kwa ajali ambao binadam ni kama robot na hauna Jema na baya
Sijui kama ulimwengu wa viranga ungekuwepo na JF ingekuwepo pia
Hujajibu swali rahisi tu, licha ya bla bla nyingi.

Imekuwaje mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wrote akaruhusu ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kutoruhusu mabaya?

Akaruhusu mabaya yawezekane kwa sababu gani?

Ukisema habari ya ujuzi wa mema na mabaya tuliopewa, back hujajibu kwa nini mungu akaruhusu mabaya yawepo.

Huwezi kunipa maziwa na sumu, ukaniambia hata maziwa na hii sumu, nakupa ujuzi na uwezo wa kachagua, bila sababu.

Kama wewe una upendo, utanipa maziwa. Kwa nini unipe sumu?

Kwa nini mungu wako ameumba ulimwengu unaoruhusu mabaya wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
 
Hujajibu swali rahisi tu, licha ya bla bla nyingi.

Imekuwaje mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wrote akaruhusu ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kutoruhusu mabaya?

Akaruhusu mabaya yawezekane kwa sababu gani?

Ukisema habari ya ujuzi wa mema na mabaya tuliopewa, back hujajibu kwa nini mungu akaruhusu mabaya yawepo.

Huwezi kunipa maziwa na sumu, ukaniambia hata maziwa na hii sumu, nakupa ujuzi na uwezo wa kachagua, bila sababu.

Kama wewe una upendo, utanipa maziwa. Kwa nini unipe sumu?

Kwa nini mungu wako ameumba ulimwengu unaoruhusu mabaya wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
Tatizo ninajadilia na chips incarnate hivyo napoteza Muda kumwelewesha.
1: mema na maaya huwezi kuyapata kwa chips incarnate isipokuwa kwa wanadam Tu wanadam wameumbwa kwa mfano wa Mungu na kuwapa uwezo na ujuzi wa kimungu

2: unayoyaita mabaya wewe Chips incarnate ni tofauti kimantiki na namna ninavyoelewa Mimi binadam hivyo maswali yako yanakosa mantiki kwa kuwa.huna ujuzi wa mema na mabaya

3: sababu ya kuumbwa kwa ullimwengu huu ambao chips incarnate wanaona una mapungufu ni kwa kuwa alimweka binadam autawale kwa kumpa siri zake ili aishi kwa utukufu wake.

4: Upendo, Ujuzi, uwezo wote na namna unavyieleweka kwa binaadam ni mbali na mtaxamo wa chips incarnate
Chips incarnate hana dhana ya Upendo, wala uwezo na hata ujuzi kwa kuwa kwa Chips incarnate kila kitu kimetokea kwa ajali kati "space and time " hivyo mateendo yoote hutokana na mihemko ya DNA

5: rudi kwa aliyekukaririsha akupe singo nyingine hii singo haikuhusu kwa world view yako inabidi uwe kwenye world view ya Muumba ili unapofundishwa uwe na uwezo wa kutafakari na kujifunza

NB: Mabaya yote hutendwa na binadam au dhidi ya binadam
Hakuna mabaya kwa Chips incarnate wewe hiyo dhana ya mabaya au ubaya.
Wema na Upendo umevitoa wapi ?
Kataa uwepo wa Mungu kwa dhana za world view yako ili tupime world view yako dhidi ya ile ya kuwepo Mungu hapo tutajua nani zuzu kwa kuangalia mashiko kwenye world views zetu
 
Hujajibu swali rahisi tu, licha ya bla bla nyingi.

Imekuwaje mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wrote akaruhusu ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kutoruhusu mabaya?

Akaruhusu mabaya yawezekane kwa sababu gani?

Ukisema habari ya ujuzi wa mema na mabaya tuliopewa, back hujajibu kwa nini mungu akaruhusu mabaya yawepo.

Huwezi kunipa maziwa na sumu, ukaniambia hata maziwa na hii sumu, nakupa ujuzi na uwezo wa kachagua, bila sababu.

Kama wewe una upendo, utanipa maziwa. Kwa nini unipe sumu?

Kwa nini mungu wako ameumba ulimwengu unaoruhusu mabaya wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
Ongeza tafakuri. Mungu hajatoa maziwa na sumu Bali katoa uwezo kwa mwanadam kupata maziwa au kupata sumu kadri ya uhitaji au utumiaji wa hekima aliyopewa na Mungu.
Kariri na kuhariri Kiranga
 
Tatizo ninajadilia na chips incarnate hivyo napoteza Muda kumwelewesha.
1: mema na maaya huwezi kuyapata kwa chips incarnate isipokuwa kwa wanadam Tu wanadam wameumbwa kwa mfano wa Mungu na kuwapa uwezo na ujuzi wa kimungu
2: unayoyaita mabaya wewe Chips incarnate ni tofauti kimantiki na namna ninavyoelewa Mimi binadam hivyo maswali yako yanakosa mantiki kwa kuwa.huna ujuzi wa mema na mabaya
3: sababu ya kuumbwa kwa ullimwengu huu ambao chips incarnate wanaona una mapungufu ni kwa kuwa alimweka binadam autawale kwa kumpa siri zake ili aishi kwa utukufu wake.
4: Upendo, Ujuzi, uwezo wote na namna unavyieleweka kwa binaadam ni mbali na mtaxamo wa chips incarnate
Chips incarnate hana dhana ya Upendo, wala uwezo na hata ujuzi kwa kuwa kwa Chips incarnate kila kitu kimetokea kwa ajali kati "space and time " hivyo mateendo yoote hutokana na mihemko ya DNA
5: rudi kwa aliyekukaririsha akupe singo nyingine hii singo haikuhusu kwa world view yako inabidi uwe kwenye world view ya Muumba ili unapofundishwa uwe na uwezo wa kutafakari na kujifunza

NB: Mabaya yote hutendwa na binadam au dhidi ya binadam
Hakuna mabaya kwa Chips incarnate wewe hiyo dhana ya mabaya au ubaya.
Wema na Upendo umevitoa wapi ?
Kataa uwepo wa Mungu kwa dhana za world view yako ili tupime world view yako dhidi ya ile ya kuwepo Mungu hapo tutajua nani zuzu kwa kuangalia mashiko kwenye world views zetu
Hujajibu swali bado.

Kwa nini mungu wako kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati mnadai alikuwa na ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu hilo swali.

Umetapika incoherent mumbo jumbo tu.
 
Ongeza tafakuri. Mungu hajatoa maziwa na sumu Bali katoa uwezo kwa mwanadam kupata maziwa au kupata sumu kadri ya uhitaji au utumiaji wa hekima aliyopewa na Mungu.
Kariri na kuhariri Kiranga
Kwa nini sumu inayoweza kumuumiza kiumbe chake huyo mungu iwepo in the first place?

Alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauna sumu?
 
Kiranga mi nasubiria zile sababu zako za kutokuwepo Mungu ambazo ulisema ukizitoa hatutaamini...mana vitabu vyetu vinakuchanganya au vinajichanganya vyenyewe kama we unavodai.sasa naomba hizo sababu zako nje ya stori za vitabu vyetu.
 
Ongeza tafakuri. Mungu hajatoa maziwa na sumu Bali katoa uwezo kwa mwanadam kupata maziwa au kupata sumu kadri ya uhitaji au utumiaji wa hekima aliyopewa na Mungu.
Kariri na kuhariri Kiranga
Hujaeleza kwa nini mungu kaumba ulimwengu ambao sumu ya kumuumiza mtu inaweza kuwepo wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao sumu haiwezi kuwepo.

Sent from my SM-N910P using JamiiForums mobile app
 
Kwa nini sumu inayoweza kumuumiza kiumbe chake huyo mungu iwepo in the first place?

Alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauna sumu?
Nimekuandikia aliweka aklii kwa imnadam kuweza kutengeneza Sumu au maziwa hivyo habari ya kwanini aliamua kuweka vyoye viwepo ni kwa sababu alitaka binadam avitumie kwa akili aliyowaa tayari.

Maana sasa naoana utahoji kwanini alituumba tuwe tunajisikia njaa na kiu
Huezi maliza kuhoji kwa kuwa ndivyo ulivyo kariri
Sina muda wa kuedelea kujibu hoja ambaxo hazina hekima ya kibinadam ndani yake.
Ungekuwa binadamu nawe ungewajibika kutafuta majibu ya maswali uliyoarishwa labda ingekusaidia kuelewa
 
Hujajibu swali bado.

Kwa nini mungu wako kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati mnadai alikuwa na ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu hilo swali.

Umetapika incoherent mumbo jumbo tu.
Lazima uone ni incoherent mambo jumbo kwa kuwa hoja zinakuonyesha ulivyo mtupu kwenye kutafakari
Umebaki na swali ulilokariri "kwa nini " hata ukiwekewa sababu bado default position yako ni "kwanini "
Wewe endelea kukariri paspo kuhariri lakini incoherence na non correspondence ya hoja zako umeonyeshwa lakini kwa kuwa chips incarnate huwezi comprehend umebakia kulalamika kwa nini aliumba ulimwengu ambao Kiranga anashindwa kuulewa !
 
Nimekuandikia aliweka aklii kwa imnadam kuweza kutengeneza Sumu au maziwa hivyo habari ya kwanini aliamua kuweka vyoye viwepo ni kwa sababu alitaka binadam avitumie kwa akili aliyowaa tayari
Maana sasa naoana utahoji kwanini alituumba tuwe tunajisikia njaa na kiu
Huezi maliza kuhoji kwa kuwa ndivyo ulivyo kariri
Sina muda wa kuedelea kujibu hoja ambaxo hazina hekima ya kibinadam ndani yake.
Ungekuwa binadamu nawe ungewajibika kutafuta majibu ya maswali uliyoarishwa labda ingekusaidia kuelewa
Hujajibu swali kwa nini mungu akaruhusu ulimwengu ambao yanawezekana kuwa na mabaya.

Kutumia akili si lazima uwe na mabaya, anaweza kutumia akili hata kwenye mazuri tu.

Jibu lako limepwaya.Hujatatua swali.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
 
Lazima uone ni incoherent mambo jumbo kwa kuwa hoja zinakuonyesha ulivyo mtupu kwenye kutafakari
Umebaki na swali ulilokariri "kwa nini " hata ukiwekewa sababu bado default position yako ni "kwanini "
Wewe endelea kukariri paspo kuhariri lakini incoherence na non correspondence ya hoja zako umeonyeshwa lakini kwa kuwa chips incarnate huwezi comprehend umebakia kulalamika kwa nini aliumba ulimwengu ambao Kiranga anashindwa kuulewa !
Siwezi kuacha kuuliza swali ambalo hujalitatua.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujalitatua hili swali, na siachi kukuuliza mpaka ulitatue au kukubali kwamba hujui utatuzi wake.
 
Maana ya uwezo wote inahusiana na kuweza kuumba ulimwengu wa aina yoyote na sio ambao utawaurahisha chips incarnates
Hivyo matumizi ya maneno hayo kuhoji juu ya ulimwengu ulivyoumbwa ni matatizo yako tena ya kunitakia Kiranga
 
Maana ya uwezo wote inahusiana na kuweza kuumba ulimwengu wa aina yoyote na sio ambao utawaurahisha chips incarnates
Hivyo matumizi ya maneno hayo kuhoji juu ya ulimwengu ulivyoumbwa ni matatizo yako tena ya kunitakia Kiranga
Sijauliza mipaka ya uwezo wake ni ipi.

Nimeuliza kwa nini kaamua kuumba ulimwengu aliouumba.

Hujajibu swali ambalo umeulizwa.

Swali ambalo umelijibu hujaulizwa.
 
Back
Top Bottom