Kuumba mabaya ushakiri hujui sababu, maana yake humuelewi mungu unayemkubali. Mimi nimekuambia humuelewi kwa sababu hayupo.Kuumba mabaya sio kwamba atakua kajipinga ilo swali nishakujibu nyuma
kwaio kumbe kuna vitabu vya Mungu vilivyo vitakatifu na visivyo vitakatifu???
Mimi nimekujibu sielewi kwakua kaweka siri na maandiko matakatifu yananiambia njia zake Mungu hazichunguzikiKuumba mabaya ushakiri hujui sababu, maana yake humuelewi mungu unayemkubali. Mimi nimekuambia humuelewi kwa sababu hayupo.
Na kama hayupo, hawezi kuwa na kitabu. Vitabu vimetungwa na binadamu tu.
Ndiyo maana vina makosa ya kibinadamu.
Kama huelewi unachokubali, utajuaje kipo na si hadithi tu?Mimi nimekujibu sielewi kwakua kaweka siri na maandiko matakatifu yananiambia njia zake Mungu hazichunguziki
Mungu yupo na vitabu ndo vinaelezea hizo sifa zake kuu ambazo wewe unatumia kujengea hoja ili kujibu hoja nyingine
Nimekwambia binadamu wa kwanza katika uumbaji ni adamu na vitabu vya Mungu vimeelezea uzao wake na vizazi vyake katika mtiririko sahihi nikakwambia unitajie binadamu wa kwanza kwa nyie msioamini Mungu ni yupi hadi sasa sijapata jibuKuumba mabaya ushakiri hujui sababu, maana yake humuelewi mungu unayemkubali. Mimi nimekuambia humuelewi kwa sababu hayupo.
Na kama hayupo, hawezi kuwa na kitabu. Vitabu vimetungwa na binadamu tu.
Ndiyo maana vina makosa ya kibinadamu.
Mimi nisiyeamini mungu nikiwa sijui jibu, anaweza kutuambia ni kwa sababu mimi ni binadamu.Nimekwambia binadamu wa kwanza katika uumbaji ni adamu na vitabu vya Mungu vimeelezea uzao wake na vizazi vyake katika mtiririko sahihi nikakwambia unitajie binadamu wa kwanza kwa nyie msioamini Mungu ni yupi hadi sasa sijapata jibu
sijashindwa kujibu swali lolote ulilouliza kuhusu uwepo wa Mungu!Mimi nisiyeamini mungu nikiwa sijui jibu, anaweza kutuambia ni kwa sababu mimi ni binadamu.
Wewe unayesema mungu yupo na vitabu vyake unavyo, ukishindwa kujibu maswali kuhusu Huyo mungu, utajuaje kwamba yupo?
Vitabu gani hivyo vya mungu unasoma ambavyo vimeshindwa kukupa uelewa wa Huyo mungu?
Nikakuuliza sababu za mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana, umesema hujui.sijashindwa kujibu swali lolote ulilouliza kuhusu uwepo wa Mungu!
Sema wewe ndo umeshindwa kuthibitisha kutokuwepo kwa MunguMimi nisiyeamini mungu nikiwa sijui jibu, anaweza kutuambia ni kwa sababu mimi ni binadamu.
Wewe unayesema mungu yupo na vitabu vyake unavyo, ukishindwa kujibu maswali kuhusu Huyo mungu, utajuaje kwamba yupo?
Vitabu gani hivyo vya mungu unasoma ambavyo vimeshindwa kukupa uelewa wa Huyo mungu?
Wewe hata hivyo vitabu vitakatifu umeshindwa kuvitaja.Sema wewe ndo umeshindwa kuthibitisha kutokuwepo kwa Mungu
Wewe ni dini gani tuanze kuichambua?Sema wewe ndo umeshindwa kuthibitisha kutokuwepo kwa Mungu
What do you know about civilization?Is it really logically speaking?
And which kind of beliefs are you talking about?theological beliefs
Anyroad,your assertion that beliefs divide men is non sequitur
It does not show,how exactly beliefs divide people,
[Its conclusion does not follow from its premise]
The fact that,people hold the different theological beliefs does not mean beliefs have divided them
Once again,you made,out of blue,another claim that God is just political tool
This is more hilarious than the former
If God is merely a political tool,can you tell me which came first between political systems and religions?
And before rise of political systems and civilization,what was a purpose of God?
kitabu changu cha dini hakina nadharia zilizopitwa na wakati wala contradiction labda weww ndo huelewWewe ni dini gani tuanze kuichambua?
Bila shaka utakuwa unaamini kwenye Biblia au Quran
Vitabu vyote hivyo vimejaa contradiction na nadharia zilizopitwa na wakati
Contradiction ambazo zisingekuwepo kama Mungu mwenye ujuzi wote ndiye mwandishi wa hivyo vitabu
Na vitabu vyenu vya dini havijaelezea chanzo cha uhai,usidanganye waugwana hapa.
Kisa kipi kinaelezea chanzo cha uhai katika kitabu chako cha dini?
Hicho cha kuumba mwanadamu kwa udongo na malaika kwa moto?
Biblia inaanza na maji kama kitu cha kwanza,unajua kwanini?
Unajua kuna mahusiano gani kati ya udongo,moto,maji na nadharia ya Aristotle?
A List Of Biblical Contradictionskitabu changu cha dini hakina nadharia zilizopitwa na wakati wala contradiction labda weww ndo huelew
Chanzo cha uhai katika biblia kimeelezwa wazi kabisa baada ya adamu kuumbwa kwa udongo alipuliziwa pumzi na Mungu hapo ndo uhai ulipoingia
Nadharia ya aristotle na uumbaji wa binadamu wa kwanza kipi kilitangulia?
Nadharia za kale za kigiriki na sumerians zilikuwepo hata kabla ya bibliamagagafu said:kitabu changu cha dini hakina nadharia zilizopitwa na wakati wala contradiction labda weww ndo huelew
Nadharia ya aristotle na uumbaji wa binadamu wa kwanza kipi
Sio kweli kwamba musa aliandika vile vitabu kutokana na hizo nadharia....bali aliandika kutokana na masimulizi yaliyokua katika jamii yake ambayo ni jamii iliyokua imechaguliwa na Mungu kipindi icho kama jamii itakayotumika kuonyesha nguvu na uwezo wa Mungu wa kweli.....ndomana hadi leo vitabu alivyoandika musa vina nguvu kuliko hizo nadharia zilizojaribu ku copy uumbaji wa MunguNadharia za kale za kigiriki na sumerians zilikuwepo hata kabla ya biblia
Wayahudi walipata influence kubwa sana kwa wagiriki,kumbuka wayahudi hawakuwa wadadisi sana kama walivyokuwa wagiriki wa kale
Kwahiyo fikra nyingi wali copy kutoka kwa wagiriki.
Wagiriki walikuwa wanaamini,msingi mkuu wa maada[matter] ni vitu vinne
Maji,upepo,moto na udongo
Aristotle akaja kuongeza element ya tano ambayo ether
Kwahiyo nadharia nzima ya uumbaji katika biblia ime base katika hiyo nadharia
[The five elements theory]
Kumbuka hiyo nadharia ilikuwepo kabla ya biblia
Na ndiyo nadharia iliyotukuzwa sana na wasomi na wanafalsafa wa wakati huo
Musa[mwandishi wa biblia] angegeuka kichekesho kama angepingana na nadharia hiyo
Ndo maana,unaona mwanadamu ameumbwa kwa udongo
Pia biblia inatetea Geocentric theory
Kitu cha kutunga na cha ukweli ni tofauti,kutunga ni uongo.Na njia ya muongo ni fupi.Ndo maana Kiranga kakwambia,"You have crazy way of thinking"
Mimi naweza kutunga jina hapa hapa,
Tuseme,Mzee pxkqz
Halafu nikaja kukwambia wewe,huyu mzee pxkqz ndiye aliyekuwa mwalimu wa Alexander mkuu
Na huyu Mzee pxkqz,alikuwa anaishi Afrika
Lakini ukweli ni kuwa,hili jina nimelitunga hapa hapa
Mtu mwenye akili timamu,atahoji
Alexander mkuu,hakuishi Afrika,iweje awe na mwalimu kutoka Afrika?
Baada ya kufikiria kwa kina,akahitimisha kwa kusema mzee pxkqz hayupo
Ina maana baada ya yeye kusema hivyo,atakuwa amethibitisha uwepo wa Mzee pxqz?
Na Mungu yupo hivyo hivyo,ni jina tu lililopewa sifa zinazojipinga.
So evil na good vinaweza kuwepo mpka kwa mtu anaeamini mungu wa wayahundi. Hahaha nacheka,unajua watu mmelewa na dini za kuletewa ndio maana wafrika kidunia mnazaulika kwa kuacha african traditional society mkaenda kuchukua vitu ambavyo vya watu wengine na tena vitu venyewe wa africa mmevipokea kwa kuuunyonywa kwa waarabu walitumia dini kwa kuuwachukua watu watu kwa utumwa watuwalikuwa wanachapwa mabakora.Evil and Good hakuna katika ulimwengu wa sokwe incarnate hivyo kukujibu itakuwa napoteza muda kwa kuwa sokwe incarnate hawezi kuelewa kuwa katika ulimwengu wa binadam kina maisha baada ya kifo na kifo Mbele za Mungu sio kitu kibaya.
Akili ya kukaririshwa imeshimdwa kuelewa kuwa Binadam kapewa Ujuzi WA mema na mabaya hivyo kuruhusu kufikiwa na athari za nabaya ni ukiranga wake Tu sio kosa la aliyemuumba
Tatizo lako kubwa kuelewa ni janga
Naona uko kwenye auto pilot au ? Good and evil ni inherent kwa human kind sijui habari ya wayahudi na nini vile umeitoa wapi ?So evil na good vinaweza kuwepo mpka kwa mtu anaeamini mungu wa wayahundi. Hahaha nacheka,unajua watu mmelewa na dini za kuletewa ndio maana wafrika kidunia mnazaulika kwa kuacha african traditional society mkaenda kuchukua vitu ambavyo vya watu wengine na tena vitu venyewe wa africa mmevipokea kwa kuuunyonywa kwa waarabu walitumia dini kwa kuuwachukua watu watu kwa utumwa watuwalikuwa wanachapwa mabakora.
So turudi kwenye point ya msingi, so society ambazo hamna watu wanao amini mungu wa wayahudi hamna kutenganisha good na evil. Hivi wewe unafikiria kweli kwani huko china ambapo percent kwa wa watu ni wa non theist na hamna hizi dini zenu za wayahudi. Hamna good wala evil au kipindi cha african tradition society kulikuwa hamna good na evil kama umesoma history vizuri lakini.
Ni vitabu vya Mungu kwakua Mungu mwenyewe amejieleza ukuu wake katika hivyo vitabu pia vimeonyesha chanzo chetu ulimwenguni kwamba tumetokana na uumbaji wake
Kuwapo kwa ulimwengu wenye uhai,kuwepo kwa ulimwengu wenye vipimo sawa ambao haujatokea kwa bahati mbaya,Utashi aliopewa binadamu kuwa tofauti na viumbe vyengine vyote ni uthibitisho wa.uwepo wa Mungu
vitabu vya Mungu haviwezi kuwa na makosa