The top five best couple in JF(MMU)

The top five best couple in JF(MMU)

Hello, MMU. Nadhani mpo Ok, zaidi poleni na shughuli za j3.
JF bhna[emoji23][emoji23], toka juzi watu wanashindana kutajana kwenye ziileee nyuzi. Ambao hawakutajwa walilalamika na kugomba vya kutosha. Ila Usife moyo watoto wazuri na wanaume bado wanazaliwa ipo siku (tutatajwa[emoji38][emoji38].)

(Kwa leo), wote tunajua kila sehemu ina best kapo. siyo shuleni..chuoni..kazini au hata mitaani..utaskia tu watu wanaiponti couple fulani na kuimiminia sifa. Hii ni kutokana na upendo,ukaribu na urafiki wenza waliojijengea. JF kuna couple nyingi saana mpaka zingine hazielewiki kama ni za kweli au mwisho wake humu tu. Hayo sisi hayatuhusu maana tunaishi maisha ya tunachokiona bhana.

Kwangu hizi ni top 5 best couple za hapa JF. Je za kwako ni zipi zitaje na taja sababu za kuwa best than others.
1. mshanajr na angel Nylon( jamaa sijui analoga)
2. Nyani Ngabu na Kasinde
3. sumbai na cute b(ilipotea kwa muda)
4. Kaboom na atoto(Rogie anaiwangia)
5. STUNTER na jje's(hii bado changa ila ipo hot)

NB: hii ni chitchat
Mie ningempata Evelyn Salt roho yangu ingefurahi
 
Kila akinyongonyea ubongo na uko chini ajue kuna nyong'onyea mtafutie wa kumnusuru huyu kijana
dah we LadyAJ unashida na mimi yan kunambia nanyota ya kupendwa na wachawi haikutosha mpaka unambie na maneno hayo? njo unisitiri wewe nimeona hujatajwa popote
 
Vigoda vichache ukiinuka acha na sie tukalie gogo tamu, au hukusoma ile hadith ya sungura na fisi
haaa bibie sio hapa nakwambia umegonga mwamba mgumu @ Stunter njoo wathibitishie
 
Binamu hujamtaja hapo [emoji23] [emoji23] weka binamu wa ngapi hapo maana michezo yoote umemkuta anajua mie ndo nimemfunza, chezea kazi ya binamu wewe
huna lolote wangu nilimkuta "..."kabisa. Hayo yote maneno ya mkosaji
 
The ear to listen when you talk
The arm to keep you warm
The heart that won't stop thinking about you
And more of these, I promise my love.
I love you jje's
tell them all bby but spear that thing we spoke secretly, cause I doubt of your cousin here.

she might come up with nonsense slogans. LadyAJ
 
Back
Top Bottom