The top five best couple in JF(MMU)

The top five best couple in JF(MMU)

umeonaeee, bora umemtaja wewe maana sikutaka kuleta ugomvi na ndugu wa honey pie
Hawachelewi kukutoa kwenye list..siunajua gubu ya mawifii [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawachelewi kukutoa kwenye list..siunajua gubu ya mawifii [emoji23][emoji23][emoji23]
yaani hapo wamegonga mwamba kbsa hawatuwezi.

tulikaa tukajifunza ile fomula ya kuwa pamoja.

acha nifunguke hapa.

unajua kabla ya kuwa na mpenzi/mume/mke; Mungu ni wa kwanza, wazazi wa pili, ndugu, jamaa na rafiki wa tatu.

ila ukishakuwa na mpenzi/mume/mke; Mungu ni wa kwanza, mpenzi/mume/mke wa pili, watoto wa tatu, na nne ni ndugu, jamaa na marafiki.

so sisi tumekubaliana hilo. uko hapo mkuu.

LadyAj atajisumbua tu nimeshamwambia atuache.
 
yaani hapo wamegonga mwamba kbsa hawatuwezi.

tulikaa tukajifunza ile fomula ya kuwa pamoja.

acha nifunguke hapa.

unajua kabla ya kuwa na mpenzi/mume/mke; Mungu ni wa kwanza, wazazi wa pili, ndugu, jamaa na rafiki wa tatu.

ila ukishakuwa na mpenzi/mume/mke; Mungu ni wa kwanza, mpenzi/mume/mke wa pili, watoto wa tatu, na nne ni ndugu, jamaa na marafiki.

so sisi tumekubaliana hilo. uko hapo mkuu.

LadyAj atajisumbua tu nimeshamwambia atuache.
LadyAJ et. al[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Idea nime create mwenyewe inanitokea puani sasa dah [emoji15] watu wanatajwa kuwa best kapo mimi siipo watu wanawataja wapenzi wao mimi sipo bhaasi hata wa kunyapianyapia pia sipo nitakuwepo waapi sasa mimi [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Idea nime create mwenyewe inanitokea puani sasa dah [emoji15] watu wanatajwa kuwa best kapo mimi siipo watu wanawataja wapenzi wao mimi sipo bhaasi hata wa kunyapianyapia pia sipo nitakuwepo waapi sasa mimi [emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wako namjua unampaishaga clouds fm..
 
[quote uid=244382 name="jje's" post=17490913]malovee hayajifichi ujue, na ndo vizuri ili kama una mwingine nijijue tuko wangapi
<br />Hahaha baby.... Jiamini, moyoni mwangu upo pekeako... Upendo unaonipa unanitosha, sihitaji mwingine ever....

huyo hapo [emoji23][emoji23][emoji23][/QUOTE]
Daah, Shkamoo Daby
 
Back
Top Bottom