Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nitaacha, nataka kujua ukweli leoAkija uniite ku proove
Hivi kuna nin mbona unataka kufaham mambo ya sumbai lkn!nitaacha, nataka kujua ukweli leo
Dubai iliishia leba mamangu!! Yaani acha tu[emoji134] [emoji134]Ni Kweli? Hebu jibu kwanza. Alikupeleka dubai?
Umemuita nani nyang'au??Nilikua sijui aisee
Inabidi umshike vizuri cute b
Manyangau kina Rogie ni wengi humu
Hivi bado upo na shemdarlingu wangu??
Aiseeeee[emoji16] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
Okky mkuu!!! Hivi Kaboom yupo wapi??? Akirudi niona vita kuu ya ulimwengu
Aseeh huo ugomvi hauamliki. Sjui Rogie kampa nini atoto maana hasikiii
Mambo ya miamala....lazima umnase dada shemeji.
Kaboom yupo bize na biashara
vifuniko vya asali vinalipa
sana msimu huu
Yaani nyie watoto jamani!!Sijui ni @atotoa au nan vile alisema ameacha sikuhizi ana toga vipini vile vya kwenye vitovu...
Anyway i miss him....
Mtoto mgomvi wewe!!
Sumbai anaish pale darajan pembeni, tamka in English...lkn ni dar, na kwa wazazi wake napafahm...wewe waishi arusha, wap na wapi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]haaaa nini huamini lakini? yule ni blood brother kabisa. sumbai njooo bhana umalize huu utata
hahahahaha weweeee sisi ni watafutaji jamani, ngoja nimpandie hewani akupigie loooh ulivyoniandama na vile sumbai naye kanyamaza ndo tabu tupu.Sumbai anaish pale darajan pembeni, tamka in English...lkn ni dar, na kwa wazazi wake napafahm...wewe waishi arusha, wap na wapi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ngoja nikwambie jirani, nami huku natafta tu, mwachie dadako cut b awe na sumbai na wewe uwe wangu jamn[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahahahaha weweeee sisi ni watafutaji jamani, ngoja nimpandie hewani akupigie loooh ulivyoniandama na vile sumbai naye kanyamaza ndo tabu tupu.
sumbai uko wapi vile? mbona umenyamaza sana lakini?
haaaa mie sumbai na cute b sina tabu kabisa, she will be my wifi anyway.Ngoja nikwambie jirani, nami huku natafta tu, mwachie dadako cut b awe na sumbai na wewe uwe wangu jamn[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yalopita sio ndwele, sumbai kaokoka.haaaa mie sumbai na cute b sina tabu kabisa, she will be my wifi anyway.
So mie nilitaka kujua tu ukweli wa baadhi ya maneno umeongea loooh. usinitafutie shida na my wifi khaaa.
kweli wamjua sumbai, ni kweli kaokoka hapo naanza kukuamini unamfahamu.Yalopita sio ndwele, sumbai kaokoka.
Hebu tuongee mambo yetu mrembo.
Vipi kabarua changu si ukajibu nifurahi?
sumbai uje useme je umeokoka? Lini?Yalopita sio ndwele, sumbai kaokoka.
Hebu tuongee mambo yetu mrembo.
Vipi kabarua changu si ukajibu nifurahi?
kweli wamjua sumbai, ni kweli kaokoka hapo naanza kukuamini unamfahamu.
ila mengine sitaki bhana utaniharibia mwenzio.
haaaa mie sumbai na cute b sina tabu kabisa, she will be my wifi anyway.
So mie nilitaka kujua tu ukweli wa baadhi ya maneno umeongea loooh. usinitafutie shida na my wifi khaaa.
Ngoja nikwambie jirani, nami huku natafta tu, mwachie dadako cut b awe na sumbai na wewe uwe wangu jamn[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hahahahaha weweeee sisi ni watafutaji jamani, ngoja nimpandie hewani akupigie loooh ulivyoniandama na vile sumbai naye kanyamaza ndo tabu tupu.
sumbai uko wapi vile? mbona umenyamaza sana lakini?
Sumbai anaish pale darajan pembeni, tamka in English...lkn ni dar, na kwa wazazi wake napafahm...wewe waishi arusha, wap na wapi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
haaaa nini huamini lakini? yule ni blood brother kabisa. sumbai njooo bhana umalize huu utata
Hivi kuna nin mbona unataka kufaham mambo ya sumbai lkn!
Kama ni kwel ni blood bro...niambie ni wa wapi tumalize utata
noooo don't tell me that, sumbai kuja ujibu makombora huku.
Anakamua nje ya cut b mbaya kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji100] [emoji100]
Teh Teh. Wew QUIGLEY humjui sumbai mimi ndio namjua. Usimdanganye jje's.Sumbai ni wako usiku, mchana wenyewe wapo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Teh Teh.. polee sanaDubai iliishia leba mamangu!! Yaani acha tu[emoji134] [emoji134]
ML yuko wap?[emoji15] [emoji15]Teh Teh.. polee sana