Asanteepolee, then Am sorry kwa kuumiza mbavu zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asanteepolee, then Am sorry kwa kuumiza mbavu zako
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Hebu acha uchonganishi we mtoto.
Kwani hujui we mdogo wangu?Atoto nimekuwa mtoto kwako tena[emoji15]
Upo??? aiseeeee.....123His heart has four chambers...
He has preserved one for 123...
Akikupeleka tu kijijini... Imekula kwako..
Wanaume si wa kuamini hivi hivi..
Aiseeee..........!!!!!!Atoto nimekuwa mtoto kwako tena[emoji15]
Hamna mkuu mimi nauliza tuu maana najua yule ni mtu hadimu sana hapa duniani.
huhuhuuuuu jje's anaye wake mkuu, wee nenda omba msamaha kwa 123 mambo yatakaa sawa tu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimekuponda sana kwa cut b na jje's baadae nimekusafisha kwa cut b,,, huyu jje's anajiita dadako nataka niwe shem ci wajua nimetemwa na 123?
hawezi my blood brother, kumbuka tunazo silaha kubwa sana ambazo hazitishiwi na silaha nyingine zozote.
Wew niweke kwenye mizania bhana, huyu kiumbe 123 nilimpenda na kumpa kila kitu kuanzia nyama ya ulimi hadi magari ya kifahari mwishowe kachukuliwa na mkata majani...sumbai anaelewa sana hili.huhuhuuuuu jje's anaye wake mkuu, wee nenda omba msamaha kwa 123 mambo yatakaa sawa tu.
haaa kuna mahali ulikuwa unakosea Mkuu, inawezekana ulimpa vyote ambavyo hata kwake alikuwa na uwezo wa kuvipata na akakose kile kilichomleta kwako.Wew niweke kwenye mizania bhana, huyu kiumbe 123 nilimpenda na kumpa kila kitu kuanzia nyama ya ulimi hadi magari ya kifahari mwishowe kachukuliwa na mkata majani...sumbai anaelewa sana hili.
Wew njoo kwangu bhana
Hivi unampenda kweli sister jje's ......??Wew niweke kwenye mizania bhana, huyu kiumbe 123 nilimpenda na kumpa kila kitu kuanzia nyama ya ulimi hadi magari ya kifahari mwishowe kachukuliwa na mkata majani...sumbai anaelewa sana hili.
Wew njoo kwangu bhana
Mkuu huyu 123 alipata vyote na alikiri mwenyewe...alichokifuata kwangu ni unyumba...hili huwa sina mchezo, ni fundi zaidi ya fundi, alikiri humu kila wakatihaaa kuna mahali ulikuwa unakosea Mkuu, inawezekana ulimpa vyote ambavyo hata kwake alikuwa na uwezo wa kuvipata na akakose kile kilichomleta kwako.
Pambana maana hata mimi sitaweza maana ninae wangu ambaye wakati mwingine ananipandisha angani kuhesabu nyota though siwezi kuzihesabu zote.
STUNTER kuja kipande hiki uone kuna mambo.
mhhhhh I doubt, nakwambia ungekuwa unatimiza vyema asingekukimbia mkuu. Natamani nikupeleke mahali nikufunze nahisi atarudi mwenyewe huyo 123.Mkuu huyu 123 alipata vyote na alikiri mwenyewe...alichokifuata kwangu ni unyumba...hili huwa sina mchezo, ni fundi zaidi ya fundi, alikiri humu kila wakati
Hilo ndilo la msingi
Ktk mahusiano
Nami hulitimiza
Kwa hali zote
Hahaa mkwee.Umemuita nani nyang'au??
haaaah kwani wewe iko Arusha kama mimi? sitaki kumfanya my STUNTER alie asubuh asubuh bhana.Twende mdogo mdogo tutaelewana tu,
Twaweza kuonana via via leo jion baada ya kazi eti?
Unaweza kupendekeza pia