The top five best couple in JF(MMU)

The top five best couple in JF(MMU)

Sio mshana tuu hadi kiwatengu katilia baraka zake. Nakwambia nitaenda kukupa libwata yn ukiandika huku jf signature yako iwe "mke wangu ni cute b"
Ndio mshana keshafanya yake au???? Mbona hapa kwangu naona signature mpya
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimekuponda sana kwa cut b na jje's baadae nimekusafisha kwa cut b,,, huyu jje's anajiita dadako nataka niwe shem ci wajua nimetemwa na 123?
huhuhuuuuu jje's anaye wake mkuu, wee nenda omba msamaha kwa 123 mambo yatakaa sawa tu.
 
Mkuu yaani unataka umgeuze mzee wangu ???? Duh....


Dada jje's mungu anakuona ujue
hawezi my blood brother, kumbuka tunazo silaha kubwa sana ambazo hazitishiwi na silaha nyingine zozote.

kuwa na aman kuu.
 
huhuhuuuuu jje's anaye wake mkuu, wee nenda omba msamaha kwa 123 mambo yatakaa sawa tu.
Wew niweke kwenye mizania bhana, huyu kiumbe 123 nilimpenda na kumpa kila kitu kuanzia nyama ya ulimi hadi magari ya kifahari mwishowe kachukuliwa na mkata majani...sumbai anaelewa sana hili.
Wew njoo kwangu bhana
 
Wew niweke kwenye mizania bhana, huyu kiumbe 123 nilimpenda na kumpa kila kitu kuanzia nyama ya ulimi hadi magari ya kifahari mwishowe kachukuliwa na mkata majani...sumbai anaelewa sana hili.
Wew njoo kwangu bhana
haaa kuna mahali ulikuwa unakosea Mkuu, inawezekana ulimpa vyote ambavyo hata kwake alikuwa na uwezo wa kuvipata na akakose kile kilichomleta kwako.

Pambana maana hata mimi sitaweza maana ninae wangu ambaye wakati mwingine ananipandisha angani kuhesabu nyota though siwezi kuzihesabu zote.

STUNTER kuja kipande hiki uone kuna mambo.
 
Wew niweke kwenye mizania bhana, huyu kiumbe 123 nilimpenda na kumpa kila kitu kuanzia nyama ya ulimi hadi magari ya kifahari mwishowe kachukuliwa na mkata majani...sumbai anaelewa sana hili.
Wew njoo kwangu bhana
Hivi unampenda kweli sister jje's ......??
 
haaa kuna mahali ulikuwa unakosea Mkuu, inawezekana ulimpa vyote ambavyo hata kwake alikuwa na uwezo wa kuvipata na akakose kile kilichomleta kwako.

Pambana maana hata mimi sitaweza maana ninae wangu ambaye wakati mwingine ananipandisha angani kuhesabu nyota though siwezi kuzihesabu zote.

STUNTER kuja kipande hiki uone kuna mambo.
Mkuu huyu 123 alipata vyote na alikiri mwenyewe...alichokifuata kwangu ni unyumba...hili huwa sina mchezo, ni fundi zaidi ya fundi, alikiri humu kila wakati
Hilo ndilo la msingi
Ktk mahusiano
Nami hulitimiza
Kwa hali zote
 
Mkuu huyu 123 alipata vyote na alikiri mwenyewe...alichokifuata kwangu ni unyumba...hili huwa sina mchezo, ni fundi zaidi ya fundi, alikiri humu kila wakati
Hilo ndilo la msingi
Ktk mahusiano
Nami hulitimiza
Kwa hali zote
mhhhhh I doubt, nakwambia ungekuwa unatimiza vyema asingekukimbia mkuu. Natamani nikupeleke mahali nikufunze nahisi atarudi mwenyewe huyo 123.

Ningekuwa na uwezo ningekufundisha mambo ambayo ulikuwa unakosea bila kujua ila STUNTER ana mawivu sana atahisi nitamsaliti.

mie ningekufundisha tu theoretically and not practically.
 
sasa hapo usitake kuumia mwenyewe, huwezi penda vilivyokwisha pendwa mkuu, anza vyako na uviweke sawa mkuu.

sumbai unasemaje hapo.
Twende mdogo mdogo tutaelewana tu,
Twaweza kuonana via via leo jion baada ya kazi eti?
Unaweza kupendekeza pia
 
Twende mdogo mdogo tutaelewana tu,
Twaweza kuonana via via leo jion baada ya kazi eti?
Unaweza kupendekeza pia
haaaah kwani wewe iko Arusha kama mimi? sitaki kumfanya my STUNTER alie asubuh asubuh bhana.

na hivyo kesho anasafiri nje ya nchi atahis nachukua advantage.

Akhu mie sitaki kabisa
 
Back
Top Bottom