The Truth Has Been Revealed (KQ wana ndege 3 tu)

Ninataka kufika Mumbai na ATCL lakini naona haiwezekani eti ndege hazina kibali...nyani haoni kundule ila nikitaka kufika NYC naweza nikatumia KQ 😀😀
 
Ninataka kufika Mumbai na ATCL lakini naona haiwezekani eti ndege hazina kibali...nyani haoni kundule ila nikitaka kufika NYC naweza nikatumia KQ 😀😀
Nakumbuka NYC safari ilisitishwa.
Ama?

God save us
 
Fursakibao ukitaka kufika NYC lazima upitie NAIROBI upende usipende.
Tetesi: ACACIA yaikana BARICK GOLD mchana kuepe kwa press release na kusema haitambui makubalino kati ya barick na TANZAGIZA....Yani bado mnaliwa na beberu?
 
Aliekuambia KQ wanapata faida ni nani.
FYI mwaka jana walipata hasara ya 4b za KE na mwakajuzi walipa zaidi ya 5b hasara

God save us
Lakini Kwa Uchumi wa nchi KQ unachangia $3.2B (ksh 320 billion !!!!) .....
Tena isitoshe KQ INA operate ndege 40, huyo mbunge anaulizia umiliki wa ndege 28
 

Mzee sio kila kitu lazima uchangie, vingine kaa pembeni, Kumbe hata hujui chochote..
 
You are obviously ignorant of the most basic aspects of business and financial management. That's why you think I didn't understand what you posted and rubbish what I posted (well; you wrote "rubish" which means you don't understand English either).
Yes i wrote rubish instead of rubbish; we call that a miss out; hukujua hilo. An that proves that you are a coconut head.



God save us
 
Fursakibao ukitaka kufika NYC lazima upitie NAIROBI upende usipende.
Tetesi: ACACIA yaikana BARICK GOLD mchana kuepe kwa press release na kusema haitambui makubalino kati ya barick na TANZAGIZA....Yani bado mnaliwa na beberu?
Soon hatutapita hapo baada ya ujenzi wa radar zetu kukamilika maana sasa tutakuwa tuna control anga letu wenyewe na ndege zitakuwa zinatua direct hapa.

Kama ACACIA wameikana BARICK GOLD then BARICK wamekubali kukipa

TZ, Barrick agree on plan to settle Acacia dispute

God save us
 
Aliekuambia KQ wanapata faida ni nani.
FYI mwaka jana walipata hasara ya 4b za KE na mwakajuzi walipa zaidi ya 5b hasara

God save us
Hiyo ni kawaida na hiyo inatokana miaka hii ya karibuni Biashara ya sector ya ndege imeshuka sana. Embu tupe faida na hasara inayopata hii air Tanzania yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wezi tu.

Tusichekelee sana, sisi tuna ndege jee uwezo wa kuliendesha shirika la ndege likaleta faida tunao? Maana tukumbuke Air Tanzania ilishakufa kabisa na jitihada za Magufuli tu ndiyo zinalifufua shirika hilo. Litadumu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…