NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
Wezi tu.
Tusichekelee sana, sisi tuna ndege jee uwezo wa kuliendesha shirika la ndege likaleta faida tunao? Maana tukumbuke Air Tanzania ilishakufa kabisa na jitihada za Magufuli tu ndiyo zinalifufua shirika hilo. Litadumu?
Usijali sweetheart, nyie muna excuse. Tuliwaibia ndege zenu mwaka wa 1977. Kama sivyo mngekua mwaogelea kwa faida.