The Tussle Between the President and the Professor: The Story of Prof. Malima

The Tussle Between the President and the Professor: The Story of Prof. Malima

Nketi,
Umerejea lakini naona umekuja na kejeli.

Mie kujibu kejeli kwangu ni muhali.
Ila kwa faida ya ukumbi nitakuwekea kwa muhtasari habari za Idd Faiz Mafongo.

Mafongo alikuwa mwekahazina wa Al Jamiatul Islamiyya Fi Tanganyika na wakati
huo huo alikuwa mwekahazina wa TANU.

Mafongo alihudhuria mkutano wa kwanza wa TANU Arnatougo Hall Agosti 1954.

Mafongo ndiye likabidhiwa jukumu la fedha kwa ajili ya safari ya Nyerere ya kwanza
UNO 1955.

Mafongo ndiye liyemjulisha Nyerere kwa Sheikh Mohamed Ramiya wa Bagamoyo.
Yapo mengi.

Labda Nketi nikukumbushe kitu kidogo.

Mkwawa, Kinjiketile, Selemani Mamba, Ali Songea Mbano, Abdallah Mchiama, Abushiiri bin
Salim
na mashujaa wengine walionyanyua silaha dhidi ya Wajerumani wote hao walikuwa
Waislam kama unavyoona hao hapo chini waliokuwa na Nyerere katika kupigania uhuru wa
Tanganyika.

Na huu si uzushi.


8lS-bGcfJLi-US4KM0clKL332ZwGi0MysIEH5ffaAkw=w680-h510-no


Kushoto Kwenda Kulia: Idd Faiz Mafongo, Sheikh Mohamed Ramiya, Julius Nyerere, Saadan Abdu Kandoro
na Haruna Taratibu. Picha imepigwa Dodoma Railway Station wakiwa katika harakati za kufikisha ujumbe
wa TANU kwa wananchi.
Tatizo unarukaruka sana na idd faiz wako kwa sababu ya udini. Nijibu basi na hili swali " UMEWAHI KUSIKIA KATIKA BARA LA AFRIKA MUISLAMU AKAONGOZA HARAKATI ZA UKOMBOZI KATIKA NCHI"?.........Au wewe kazi yako kuhesabu mikia na sio vichwa?Usipoweza kujibu hili rahisi basi acha na mengine
 
Kichuguu you are Genious! wewe ni hazina ya historia.Kweli utu uzima dawa maana pamoja na uzee wako unawapa elimu bure na kwa upole hawa vijana wasio na adabu hata katikati ya maandishi yao kisa kumtetea Mzee Mohamed Said.
Wapige sindano za kutosha!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom