The Tussle Between the President and the Professor: The Story of Prof. Malima

The Tussle Between the President and the Professor: The Story of Prof. Malima

Inawezekana hukuelewa nililoongea au imekuuma. Mimi nilihudhuruia professorial inaugural lecture yake tena wakati huo akiwa waziri wa fedha. Na kama hukubaliani nami basi waulize wengine waliokuwapo kama watakubali kusema ukweli ingawa wengine wanaweza kuwa neutral kumtunzia heshima ndugu aliyenagulia mbele ya haki. Baadhi ya waiokuwapo ni pamoja na Profesa Wangwe na Profesa Baregu; marehemu Profesa Haroub Othman alionyesha wazi kutoridhika na lecture ile moja kwa moja, ambapo Profesa Shivji, ambaye hakuwapo kwani wakati huo alikuwa Sabbatical leave, lakini alisoma makala yake lecture yenyewe naye aliipinga. Nimekuambia kuwa lecture ilikuwa ni pumba tupu, na kama huridhiki na maneno yangu, basi tafuta makala ya lecture ile utuletee uchambuzi wako.

We kijana mara nyingi umekuwa ukimkashifu Marehemu mzee Malima kwa kusema. Mara hakuwa na uongozi bora! Mara maongezi yake na lectures zake hazikuwa na maana!
Kumbuka yule muheshimiwa Alikabidhiwa WIZARA NYETI SAANA na NCHI!
Tena awamu zote mbili!

Sasa wewe na hao wenzako watoa kashfa! Kama nyie mna elimu saana na ni mahodari wa kuongoza
Chadema inasambaratika kwa kukosa watu wa kusimamia chama chao!

Hebu jisogeze huko ukasaidie.
Huwezi kujua. Muheshiwa Dr Slaa amesha halalisha GONGO!

Labda we ukikazana kidogo unaweza kuwa waziri wa hio wizara ya wasema ovyo!
 
Hivi we jamaa bado unaendelea na ngonjela zako za kuungaunga zinazohusu udini? Kama wewe mfia dini kwa nini basi usijiunge alshababu au uende kuwaunga mkono Mombasa republican au km vipi basi nenda hata Syria basi. Unajua uamsho wako wapi saaizi? Pia ni vizuri ukajifunza kutoka kwa wafia dini wenzio km Osama gadaffi Saddam Hussein waliojiona miungu watu zaidi ya Mungu wa kweli? Story zako ni za kufikirika na mbaya zaidi wewe ni km walewale unachochea wenzio mambo yakiiva unajificha na familia yako.
Mambo mengi waislamu wamekuwa wakidanganywa bila kuchuja. Mfano ni kila siku unasikia waislamu wanalalamika eti waislamu ndio walileta uhuru wa Tanganyika. Hiki ni kichekesho. Umewahi kusikia popote Afrika nchi gani muislamu alikuwa mstari wa mbele kupigania Uhuru pamoja na kupewa elimu ya kijasili ya kufia dini? Anzia kusini mwa Africa mpaka kaskazini mpaka mashariki mpaka magharibi hakuna. Hata Zanzibar ambako waislamu ni zaidi ya 99.9% bado mapinduzi yao yaliongozwa kwa msaada wa mkristo kitu ambacho waislamu hawataki kusikia. Maneno meeengi lkn muislamu hajajaliwa kutenda yaliyoko ya maendeleo au ya manufaa zaidi ya kuleta ugaidi na mauaji na kwa kuwa mnajitakia laana ndo maana anywhere and anyhow you are backward. Angalau mtu km wewe saidi na huyo Malima unayemsimulia kuwemo rais wako na waislamu zaidi ya 90% wamesomeshwa na kufunzwa kwenye shule za hao hao mnaowapinga ambao wamefunzwa kutokana na falsafa ya kiMungu ya upendo kwanza kwa watu wote yaani mpende adui yako km unavypjipenda mwenyewe. Kwa waislamu na ubinafsi wao isingewezekana kuwa hivyo coz allah wenu kawaamuru kuwauwa wasioendana nanyi ambao sio wa dini yenu. Waisrael wanamsemo mmoja kwamba " if you israel puts down their weapons there will be no israel but if palestine puts down their weapons there will be peace". Waislamu wanafunzwa mambo mazuri kwenye shule na vyuo vya wakristo duniani kote lkn wanakuja kuharibiwa na Quran mwisho wanamkufuru Mungu wa kweli wanajipatia laana.
Ndugu saidi tazama vizuri historia. History and experience are sometimes best teachers in the world so make use of them may be you will broaden and a bit brighten your mind.
nketi,

Keti chini ufunzwe kwanza tena kwanza ufunzwe adabu kisha ufunzwe elimu ya kweli, unaleta pumba za uzushi na uwongo hapa? At least umekiri kuwa mauwaji ya kimbari ya Zanzibar yamefanywa na wagalatia wenzio, mkristo gani wa kweli anajisifia mauwaji? Zanzibar ni mwiba waroho umewakaa baiana ya kuta za koromeo lenu kashindwa 'Baba yenu wa Taifa' mtaweza nyinyi "Yatima zake?"

Una quote wayahudi, hali wayahudi hao unaowasifu wanawabagua kule kwao wanasema Isarel sio pahala pa waafrika wewe bado unajibandika Uyahudi mweusi.
Wakati wa apartheid kule SA wao ndio walikuwa wakiwapa silaha na kuwafundisha makaburu namna ya kuwauwa waafrika na wakifanya hivyo hali ya kuwa UN imewawekea vikwazo Makaburu. Hao Wapalastini ndio waliokuwa bega kwa bega na ndugu zao wapigania uhuru kule Libya na kwengineko duniani.
Sasa wewe unatukana wasomi na waislamu kama sheikh Mohammed Said hali ukijisifia kuwa katika ile picha wale wazee walikuwa mbumbumbu kuliko wakristo watatu hayo ni matusi maana mwalimu JK alikubali kuwafuata mapaka akafanyiwa maduwa mazito na pia kufunga kwa ajili ya maelekezo yao aliyaona yanafaa. Hata hiyi speech ya UN mwaka 1952 hakuiandika mwenyewe muulize Maalim Mohammed Said atakujuvya.

Hutaki kujifunza basi katafute Mbwa muoane naona ndio wagalatia mumepata njia mpya ya uongofu.

Pole sana
 
Last edited by a moderator:
nketi,

Keti chini ufunzwe kwanza tena kwanza ufunzwe adabu kisha ufunzwe elimu ya kweli, unaleta pumba za uzushi na uwongo hapa? At least umekiri kuwa mauwaji ya kimbari ya Zanzibar yamefanywa na wagalatia wenzio, mkristo gani wa kweli anajisifia mauwaji? Zanzibar ni mwiba waroho umewakaa baiana ya kuta za koromeo lenu kashindwa 'Baba yenu wa Taifa' mtaweza nyinyi "Yatima zake?"

Una quote wayahudi, hali wayahudi hao unaowasifu wanawabagua kule kwao wanasema Isarel sio pahala pa waafrika wewe bado unajibandika Uyahudi mweusi.
Wakati wa apartheid kule SA wao ndio walikuwa wakiwapa silaha na kuwafundisha makaburu namna ya kuwauwa waafrika na wakifanya hivyo hali ya kuwa UN imewawekea vikwazo Makaburu. Hao Wapalastini ndio waliokuwa bega kwa bega na ndugu zao wapigania uhuru kule Libya na kwengineko duniani.
Sasa wewe unatukana wasomi na waislamu kama sheikh Mohammed Said hali ukijisifia kuwa katika ile picha wale wazee walikuwa mbumbumbu kuliko wakristo watatu hayo ni matusi maana mwalimu JK alikubali kuwafuata mapaka akafanyiwa maduwa mazito na pia kufunga kwa ajili ya maelekezo yao aliyaona yanafaa. Hata hiyi speech ya UN mwaka 1952 hakuiandika mwenyewe muulize Maalim Mohammed Said atakujuvya.

Hutaki kujifunza basi katafute Mbwa muoane naona ndio wagalatia mumepata njia mpya ya uongofu.

Pole sana

Teh teh teh!
Mkuu maneno yako kama msumari wa moto kwenye kidonda!

Duhh!
 
Last edited by a moderator:
We kijana mara nyingi umekuwa ukimkashifu Marehemu mzee Malima kwa kusema. Mara hakuwa na uongozi bora! Mara maongezi yake na lectures zake hazikuwa na maana!
Kumbuka yule muheshimiwa Alikabidhiwa WIZARA NYETI SAANA na NCHI!
Tena awamu zote mbili!

Sasa wewe na hao wenzako watoa kashfa! Kama nyie mna elimu saana na ni mahodari wa kuongoza
Chadema inasambaratika kwa kukosa watu wa kusimamia chama chao!

Hebu jisogeze huko ukasaidie.
Huwezi kujua. Muheshiwa Dr Slaa amesha halalisha GONGO!

Labda we ukikazana kidogo unaweza kuwa waziri wa hio wizara ya wasema ovyo!

Nitakuja kukujibu jioni baada ya kazi; kuna matatizo makubwa sana na baadhi ya wasomi, jambo ambalo itabiidi niliongelee kwani ukiangalia siasa za Profesa Malima wakati huo, hazina tofauti kabisa na siasa za Profesa Lipumba ambaye alikiri hadharani kuwa ingawa uchaguzi wa 2010 ulikuwa siyo huru, yeye alikubali matokeo kwa vile aliyeshinda alikuwa ni "mwezao" huko msikitini; yaani tatizo kubwa linakuwa ni Slaa na CHADEMA badala ya matatizo halisi ya nchi. Wasomi hao ufanya mambo hayo kwa kujua kuwa audience yao ni watu wa aina gani, ikiwa ni pamoja na wewe.
 
Kichuguu,

Ama wewe kichuguu kweli, yaanu hao uliowataja wote walompinga Prof Malima ni watu walio pro-nyerere policies. Ni watu waliouza profession zao kwa thamani ndogo nayo ni blind allegiance to the Supreme Leader (pure communism)
Na hadi hii leo nduo hao waliomo katika hicho kiitwacho «Kigoda cha Mwalimu»

Hizi zako ndio pumba tena zile pumba kumvi hazifai hata kuliwa na mnyama!
Ritz kahtaan

Sasa kwa nini alikwenda kutoa hiyo the so called Professorial Inaugural Lecture kwao kama alikuwa anajua ni pro-Nyerere, na yeye alikuwa ni against Nyerere. Lecture hiyo aliitoa wakati Nyerere alishatoka kabisa kwenye siasa na keshaachia hata uenyekiti wa CCM. Kwanza yeye malima mwenyewe alipoteuliwa kuwa waziri wa uchumi mwaka 1982 ndiye aliyekuja na ile SAP ya mwaka huo ambayo ilikuwa ni pro-Nyerere zaidi na ilipingana kabisa na mawazo ya Edwin Mtei.
 
Nitakuja kukujibu jioni baada ya kazi; kuna matatizo makubwa sana na baadhi ya wasomi, jambo ambalo itabiidi niliongelee kwani ukiangalia siasa za Profesa Malima wakati huo, hazina tofauti kabisa na siasa za Profesa Lipumba ambaye alikiri hadharani kuwa ingawa uchaguzi wa 2010 ulikuwa siyo huru, yeye alikubali matokeo kwa vile aliyeshinda alikuwa ni "mwezao" huko msikitini; yaani tatizo kubwa linakuwa ni Slaa na CHADEMA badala ya matatizo halisi ya nchi. Wasomi hao ufanya mambo hayo kwa kujua kuwa audience yao ni watu wa aina gani, ikiwa ni pamoja na wewe.

Na wewe roho inakuuma saana ukiona kiongozi MUISLAMU anapewa SUPPORT NA WAISLAMU SIO??

Hizi chuki zenu huwa zinawasababishia magonjwa ya moyo na mnakufa vifo vibaya!

Kwanza ulileta hoja ya kuwa MALIMA HAKUWA KIONGOZI MZURI!
Nimekuonyesha kuwa Marais wako wawili walimkubali kuwa ANAFAA KUONGOZA WIZARA NYETI kama hizo!

Na wewe intelligence yako compare to the PRESIDENT ni kama umlinganishe tembo na uchafu tu!

Yaani there is no Comparison!

Sasa unaleta UDINI wa kuwa Audience wao WALIKUWA WAISLAMU!

Sasa we ulitaka wawe nani!?
Makafiri??

Mbona nyerere alipokuwa akipewa support na KANISA KATOLIKI na yeye kulineemesha hukusema kitu!

Au.ndio nyie mnao neemeka na jasho la wananchi na kukuza matumbo huku mkiangalia waislamu vipi wanaendeleza mambo yao.!! Na kufanya hila ili wasifanikiwe sio??

Mnfnssssssss!
 
Na wewe roho inakuuma saana ukiona kiongozi MUISLAMU anapewa SUPPORT NA WAISLAMU SIO??

Hizi chuki zenu huwa zinawasababishia magonjwa ya moyo na mnakufa vifo vibaya!

Kwanza ulileta hoja ya kuwa MALIMA HAKUWA KIONGOZI MZURI!
Nimekuonyesha kuwa Marais wako wawili walimkubali kuwa ANAFAA KUONGOZA WIZARA NYETI kama hizo!

Na wewe intelligence yako compare to the PRESIDENT ni kama umlinganishe tembo na uchafu tu!

Yaani there is no Comparison!

Sasa unaleta UDINI wa kuwa Audience wao WALIKUWA WAISLAMU!

Sasa we ulitaka wawe nani!?
Makafiri??

Mbona nyerere alipokuwa akipewa support na KANISA KATOLIKI na yeye kulineemesha hukusema kitu!

Au.ndio nyie mnao neemeka na jasho la wananchi na kukuza matumbo huku mkiangalia waislamu vipi wanaendeleza mambo yao.!! Na kufanya hila ili wasifanikiwe sio??

Mnfnssssssss!

Mheshimiwa Bwana Mkubwa,

Angalia maneno yako hayo niliyowekea bold. Iwapo ni kweli marais wawili walimpa wizara kuongoza na mmoja wao katika maneno yako akiwa ni "Kafiri" huoni contradictions na uwongo hapo. Kama Makafiri walikuwa wanawabana waislamu, basi Malima asingepewa Wizara kuongoza. Kushindwa kuona alikotoka ni weakness kubwa sana kwa uongozi na ndipo Malima alipoishia. Malima alibebwa sana na Nyerere hata baada ya Muislamu Mwenzie Abdulrahman Babu kumkataa bado Nyerere alimbeba lakini leo anasema Nyerere Kafiri alikuwa anawaonea Waislamu. Kama Nyerere alimzima kabisa Oscar Kambona alyekuwa mtoto wa mchungaji wa kilutheri, unadhani kweli alikuwa anashindwa kumzima Malima asionekane tena? Hizo ni sehemu ya pumba za Malima, ni mtu aliyekuwa hana busara.

Pili ewe Bwana Mkubwa wa wote jitahidi uelewa kuwa kuwa Waziri siyo kipimo cha uwezo, hata Mulugo naye aliwahi kuwa waziri lakini anajua kuwa Tanzania ni Muungano wa Tangayika na Zimbabwe. Iwapo Malima alikuwa na uwezo mkubwa kiasi hicho asingefukuzwa Ukatibu Mkuu na Babu (siyo Mgalatia wala Kafiri), na vile vile asingehamahamishwa wizara harakaharaka kwa kipindi kifupi; alihamishwa wakati wa utawala wa Mwinyi (siyo Mgalatia wala Kafiri), kwani alimtumikia Nyerere kwa miaka mitatu tu kabla Nyerere hajastaafu. Mawaziri wenye Uwezo katika Uchumi na mipango kama akina Cleopa Msuya na Amil Jamal walidumu sana katika Wizara hiyo ya fedha, ambapo Malima alirushwa rushwa na kuishia kutupwa nje tena kabla hajaanza kutuonyesha sisi watu wa nje mapungufu wake. Tuliokuwa wasomi wakati huo tulifurahia sana kupata waziri wa uchumi ambaye pia ni msomi na profesa wa uchumi lakini akaishia kuwa kama tunavyomjua leo. Elimu siyo busara, ni afadhali ukose elimu lakini uwe na busara kuliko kukosa busara ukawa na elimu kwani pumba zako zinakuwa zinaonekana sana unapokuwa na elimu kama aliyokuwa nayo Malima.

Kwa ufupi, ukosefu wa busara ndio uliomfanya Malima ashindwe kuongoza. Mara zote failures hupenda sana kutafuta scapegoats, na ndipo failure Malima akaja na kisingizio cha dini, ambayo alijua itamsadia atapata wafuasi wa aina yako wengi.
 
Mheshimiwa Bwana Mkubwa,

Angalia manenoi yako hayo niliyowekea bold. Iwapo ni kweli marais wawili walimpa wizara kuongoza na mmoja wao katika maneno yako akiwa ni "Kafiri" huoni contradiction na uowongo hapo. Kama Makafiri walikuwa wanabana waislamu, basi Malima asingepewa Wizara kuongoza. Kushindwa kuona alikotoka ni weakenss kubwa sana kwa uongozi na ndipo Malima alipoishia. Malima alibebwa sana na Nyerere hata baada ya Muislamu Mwenzia Abdulrahman Babu kumkataa bado Nyerere alimbeba lakini leo anasema Nyerere Kafiri alikuwa anawaonea Waislamu. Kama Nyerere alimzima kabisa Oscar Kambona alyekuwa mtoto wa mchungaji wa kilutheri, unadhani kweli alikuwa anashindwa kumzima Malima asionekane tena? Hizo ni sehemu ya pumba za Malima, ni mtu aliyekuwa hana busara.

Pili ewe Bwana Mkubwa wa wote jitahidi uelewa kuwa kuwa Waziri siyo kipimo cha uwezo, hata Mulugo naye aliwahi kuwa waziri lakini anajua kuwa Tanzania ni Muungano wa Tangayika na Zimbabwe. Iwapo Malima alikuwa na uwezo mkubwa kiasi hicho asingefukuzwa Ukatibu Mkuu na Babu (siyo Mgalatia wala Kafiri), na vile vile asingehamahamishwa wizara harakaharaka kwa kipindi kifupi; alihamishwa wakati wa utawala wa Mwinyi (siyo Mgalatia wala Kafiri), kwani alimtumikia Nyerere kwa miaka mitatu tu kabla Nyerere hajastaafu. Mawaziri wenye Uwezo katika Uchumi na mipango kama akina Cleopa Msuya na Amil Jamal walidumu sana katika Wizara hiyo ya fedha, ambapo Malima alirushwa rushwa na kuishia kutupwa nje tena kabla hajaaza kutuonyesha sisi watu wa nje mapungufu wake. Tuliokuwa wasomi wakati huo tulifurahia sana kupata waziri wa uchumi ambaye ni pia msomi na profesa wa uchumi lakini akaishia kuwa kama tunavyomjua leo. Elimu siyo busara, ni afadhali ukose elimu lakini uwe na busara kuliko kukosa busara ukawa na elimu kwani pumba zako zinakuwa zinaonekana sana unapokuwa na elimu kama aliyokuwa nayo Malima.

Kwa ufupi, ukosefu wa busara ndio uliomfanya Malima ashindwe kuongoza. Mara zote failures hupenda sana kutafuta scapegoats, na ndipo failure Malima akaja na kisingizio cha dini, ambayo alijua itamsadia atapata wafuasi wa aina yako wengi.

We.mkuu maneno yako meeeeengi unarudia tu!
Labda nikuulize swali kidogo hapa.

Profesa Kighoma Malima ALIKABIDHIWA WIZARA ZOTE HIZO MBILI kwa ELIMU YAKE? au.kwa nasaba yake. Au kwa sababu gani hasa!
Manake kwa maelezo yako unaonekana UNAFAHAMU KULIKO YULE ALIYEMPA KAZI.

Ule ugalatia na uislamu weka pembeni.
Haya hebu leta ufafanuzi hapo.
 
We.mkuu maneno yako meeeeengi unarudia tu!
Labda nikuulize swali kidogo hapa.

Profesa Kighoma Malima ALIKABIDHIWA WIZARA ZOTE HIZO MBILI kwa ELIMU YAKE? au.kwa nasaba yake. Au kwa sababu gani hasa!
Manake kwa maelezo yako unaonekana UNAFAHAMU KULIKO YULE ALIYEMPA KAZI.

Ule ugalatia na uislamu weka pembeni.
Haya hebu leta ufafanuzi hapo.

Muda mzuri sana huu kabla sijaenda kulala.

(1) Ugalatia na Ukafiri ni ajenda zako ambazo nilitaka kukuoneysha jinsi gani zina walakini. Unaowaita wewe pamoja wafuasi wa mMalima kuwa ni Wagalatia na Makafiri waliompiga vita ndio siyo tu waliomsomesha (yaani Nyerere) bali pia ndio waliomfanya wewe umjue (Nyerere huyo huyo), lakini unaowajua wasafi (waislamu) Abdulrahman Babu na Ali Hassan Mwinyi) ndio walimonwa kiutendaji hafai; Inakurudia wewe. Unakuwa na nguvu katika hoja unapokuwa unajua unaloongea siyo maongezi ya kubabaishababaisha kama haya unayoweka hapa. Mimi ninamjua Malima vizuri sana tena kwa undani kuliko wewe unavyoweza kuwa unamjua kwani nilikuwa kati ya wasomi wachache wa wakati huo tuliokuwa wafuasi wake tukifurahia mwenzetu (ingawa nilikuwa sijafikia levo yake wakati huo) kuwa mmoja wa waendesha nchi.


(2) Nimekukumbusha kuwa Malima hakuwa unique katika positions alizopitia; kuna wengi sana waliozipitia na kati yao kuna wajinga na wenye akili waliwahi kuzishika; sitaki kusema Malima alikuwa kundi gani kati ya hao bali rekodi inajisemea yenyewe. Kuwako kwake kwenye position hizo hakumfanyi yeye kuwa mtu wa ajabu katika jamii. Aliingia mahali asipoweza ndiyo maana akaamua kujaribu sehemu anazoweza zinazohusu ubaguzi wa dini, ambako alifanikiwa kuacha wafuasi wa aina yako lakini siyo jina la kihistoria katika nchi kama wenzake akina Nyerere, Karume, Kawawa, Sokoine, Jamal na wengineo wanavyokumbukwa.


(3) Nilitaka kuandika hapa mafundisho fulani kutoka kwenye saikolojia kuhusu walalamikaji ila nimejizuia kwa sababu ya upana wa tafsiri zake yasije yakachukuliwa out of context; ni mafundisho yanayokuhusu wewe kwa karibu sana na watu wa aina yako.
 
Muda mzuri sana huu kabla sijaenda kulala.

(1) Ugalatia na Ukafiri ni ajenda zako ambazo nilitaka kukuoneysha jinsi gani zina walakini. Unaowaita wewe pamoja wafuasi wa mMalima kuwa ni Wagalatia na Makafiri waliompiga vita ndio siyo tu waliomsomesha (yaani Nyerere) bali pia ndio waliomfanya wewe umjue (Nyerere huyo huyo), lakini unaowajua wasafi (waislamu) Abdulrahman Babu na Ali Hassan Mwinyi) ndio walimonwa kiutendaji hafai; Inakurudia wewe. Unakuwa na nguvu katika hoja unapokuwa unajua unaloongea siyo maongezi ya kubabaishababaisha kama haya unayoweka hapa. Mimi ninamjua Malima vizuri sana tena kwa undani kuliko wewe unavyoweza kuwa unamjua kwani nilikuwa kati ya wasomi wachache wa wakati huo tuliokuwa wafuasi wake tukifurahia mwenzetu (ingawa nilikuwa sijafikia levo yake wakati huo) kuwa mmoja wa waendesha nchi.


(2) Nimekukumbusha kuwa Malima hakuwa unique katika positions alizopitia; kuna wengi sana waliozipitia na kati yao kuna wajinga na wenye akili waliwahi kuzishika; sitaki kusema Malima alikuwa kundi gani kati ya hao bali rekodi inajisemea yenyewe. Kuwako kwake kwenye position hizo hakumfanyi yeye kuwa mtu wa ajabu katika jamii. Aliingia mahali asipoweza ndiyo maana akaamua kujaribu sehemu anazoweza zinazohusu ubaguzi wa dini, ambako alifanikiwa kuacha wafuasi wa aina yako lakini siyo jina la kihistoria katika nchi kama wenzake akina Nyerere, Karume, Kawawa, Sokoine, Jamal na wengineo wanavyokumbukwa.


(3) Nilitaka hapa mafundisho fulani kutoka kwenye saikolojia kuhusu walalamikaji ila nimejizuia kwa sababu ya upana wa tafsiri zake yasije yakachukuliwa out of context; ni mafundisho yanayokuhusu wewe kwa karibu sana na watu wa aina yako.

Narudia tena!
Maneno yako meeeengi lkn haya lolote la maana!
Hii ni thread ya nne unajiita WEWE NI MSOMI!
Zaidi ya hii jf sidhani kama wewe umo.ktk wale wenye kufahamika!
Nimekuuliza swali fupi , badala ya kutoa jibu. Unaruka ruka!

We huwezi kuja hapa kufundisha watu Historia za redio kifua!
Wewe wala mimi SIO waliomuweka malima ktk Nafasi alizokuwa nazo enzi zake!
Aliwekwa hapo KWA SABABU MAALUM! Na sio bahati mbaya!

Sasa wewe MSOMI inakuwaje ushindwe kututajia hizo sababu au hizo SIFA alizokuwa nazo ambazo ZILISABABISHA YEYE KUKABIDHIWA HIZO NAFASI?

Hapa sio nani kampa uongozi au nani kamnyang'anya!

Wacha kuzunguka zunguka halafu unaita wengine wababaishaji!

Toka mwanzo statement imetolewa kuwa ALIYE BADILI system ya mitihani ni Malima!
We unatuonyesha VYETI!

Sasa ina maana we mtu mzima hujui tofauti kati ya VYETI na MTIHANI??

Haya anza tena upya.
And this time be straight.

Bla bla inapoteza wakati.
 
Makala yangu kuhusu Prof. Malima niliyobandika juma lililopita iliondolewa
kwa haraka.

Sijui sababu.

Lakini makala ile ile katika website yangu Mohamed Said imejaa
wasomaji.

Ikiwa na hii haitaweza kustahamiliwa nawakaribisha kwangu In Sha Allah.

Tuko Part Five.
Karibu usome kuanzia Part One ufaidi ukweli kisha utaamua mwenyewe.

Tatizo Lako Mohamed ni Kila issue you it a religious one. every time ni waislam wameonewa... Waislam hivi.... Waislam vile...., it time to move on.
 
Ni wajib wangu kuieleza dhulma. How can we move.on while all opportunities are blocked?
 
Narudia tena!
Maneno yako meeeengi lkn haya lolote la maana!
Hii ni thread ya nne unajiita WEWE NI MSOMI!
Zaidi ya hii jf sidhani kama wewe umo.ktk wale wenye kufahamika!
Nimekuuliza swali fupi , badala ya kutoa jibu. Unaruka ruka!

We huwezi kuja hapa kufundisha watu Historia za redio kifua!
Wewe wala mimi SIO waliomuweka malima ktk Nafasi alizokuwa nazo enzi zake!
Aliwekwa hapo KWA SABABU MAALUM! Na sio bahati mbaya!

Sasa wewe MSOMI inakuwaje ushindwe kututajia hizo sababu au hizo SIFA alizokuwa nazo ambazo ZILISABABISHA YEYE KUKABIDHIWA HIZO NAFASI?

Hapa sio nani kampa uongozi au nani kamnyang'anya!

Wacha kuzunguka zunguka halafu unaita wengine wababaishaji!

Toka mwanzo statement imetolewa kuwa ALIYE BADILI system ya mitihani ni Malima!
We unatuonyesha VYETI!

Sasa ina maana we mtu mzima hujui tofauti kati ya VYETI na MTIHANI??

Haya anza tena upya.
And this time be straight.

Bla bla inapoteza wakati.

Ninajua kuwa kuna tofauti sana baina ya uwezo wa watu kujua mambo. Kuna wanaotaka kutafuniwa kila kitu ili wameze na kuna wanataka kupewa nyama na kuitafuna wenyewe. Maswali yako ni yale ya mtu anayetaka kutafuniwa na hiyo ni wazi kabisa kwa nini unamtetea Malima. Unatumia vigezo vya kiwango cha chini sana katika madaia yako.

(1) Kumtetea uwezo wa kuongoza kwa kutumia kigezo cha SIFA na kusema alipewa madaraka na watu wa juu kuliko mimi kwa sababu ya SIFA zake na hivyo alikuwa kiongozi mzuri ni upungufu mkubwa sana katika uwezo wako wa kufikiri. Unashindwa kujua kuwa kupewa madaraka kwa sababu ya watu kudhani una uwezo ni kitu kimoja, halafu kunyang'anywa madaraka hayo kwa sababu wamegundua kuwa huna uwezo huo ni kitu kingine. Sifa pekee ianyobaki kwenye rekodi ya Malima ni ile ya kunyang'anywa madaraka siyo ile ya kupewa. Kupewa madaraka ilikuwa ni matokeo hypothesis kuwa anaweza kuongoza, na kunyang'anywa madaraka ndiyo proof ya hypothesis yenyewe kuwa hawezi kuongoza. Sasa wewe nao unalilia hypothesis wakati proof ipo kuwa Malima alishindwa. Jifunze kuwa unakubali ukweli, kuwa msomi wako ashindwa madaraka; ni jambo la kawaida kabisa kwa wasomi wengi kushindwa madaraka kwa vile wanakuwa more technocrats, na wala isikuhuzunishe au kujiaminisha kuwa ni kwa sababu ya Wagalatia au Makafiri. Ni bahati nzuri kuwa alikuwa ananyang'nanywa madaraka hayo na waislamu wenzake, including Kikwete. Sijui ungetuambia nini leo iwapo yeye ndiye angekuwa katika position ya Kambona kihistoria!

(2) Malima alikuwa Waziri wa Elimu mwaka 1987 na tayari tulikuwa tunatumia namba za mitihani; nimekuonyesha vyeti vya mwaka 1980 na 1982 vikionyesha namba hizo, na hiyo ni kudhihirisha Malima aliwaambieni uwongo kuhusu namba za mitihani na nyinyi wameza pumba mkazimeza kavukavu bila hata kuzichambua na mpaka hapo hujaamini kuwa Mwaka 1980 watu tayari walikuwa wanatumia namba za mitihani kutokana na kulewa pumba za Malima.

Halafu Waziri wa Elimu siyo mtendaji wa baraza la mitihani, hawezi kusimamia utungwaji na usahihishaji wa mitihani; mitihani imekuwa inatungwa na Baraza la mitihani ambalo halikuwa na uhusiano wowote na Wizara ya Elimu. Mwenyeketi wa Baraza la mitihani alikuwa ni Vice Chancellor wa Chuo kikuuu cha Dar es Salaam, na kuna wakati alikuwa ni Ibrahim Kaduma (huyo hakuwa Galatia wala Kafiri kama unavyowaita watanzania wengine wasiokuwa dini yako)

(3) Ninaweza kuwa siyo msomi wa kiwango chako au kiwango cha Malima lakini nina uwezo wa kuchambua uwongo na ukweli. Umekuwa unaandika uwongo mwingi sana kuhusu Malima kama vile wote tunaosoma hapa JF ni mbumbumbu kama. ... sijui nani.
 
kama ungekua na uwezo wa kufiri,ungefikiri juu ya kiongozi anayetaka kwenda magogoni kwa kuruhusu Gongo.kumbe mwenywe ndo wakumeza tu.

Na hypothesis uliyoweka hapo iko biased.hypothesis hiyo hiyo ya bias ndo mnayomezeshwa kuwa kikwete hawezi kuongoza.Wakatu viongozi wenu kila siku wanakili jamaa ni jembe.

unataka tukubali ukweli na ukweli ni kuwa kiongozi yeyote muislam hawezi kupendwa na wahafidhina and all alike.


Na wewe unafikiri kwa mapovu: hapa tunamuongelea Malima halafu wewe unakuja na mambo ya Kikwete na kiongozi anayetaka kwenda Magogoni, sijui unamuongelea Lowasa, Januari au Zitto kwani hao ndio tunaojua kuwa wamekwisha tangaza nia zao kutaka kwenda Magogoni. Kwa vyovyote uwezo wako wa kuona mambo na kuyajengea hoja ni duni sana, labda kwa sababu unayona kwa kutumia mwanga wa dini tu.
 
nketi,

Keti chini ufunzwe kwanza tena kwanza ufunzwe adabu kisha ufunzwe elimu ya kweli, unaleta pumba za uzushi na uwongo hapa? At least umekiri kuwa mauwaji ya kimbari ya Zanzibar yamefanywa na wagalatia wenzio, mkristo gani wa kweli anajisifia mauwaji? Zanzibar ni mwiba waroho umewakaa baiana ya kuta za koromeo lenu kashindwa 'Baba yenu wa Taifa' mtaweza nyinyi "Yatima zake?"

Una quote wayahudi, hali wayahudi hao unaowasifu wanawabagua kule kwao wanasema Isarel sio pahala pa waafrika wewe bado unajibandika Uyahudi mweusi.
Wakati wa apartheid kule SA wao ndio walikuwa wakiwapa silaha na kuwafundisha makaburu namna ya kuwauwa waafrika na wakifanya hivyo hali ya kuwa UN imewawekea vikwazo Makaburu. Hao Wapalastini ndio waliokuwa bega kwa bega na ndugu zao wapigania uhuru kule Libya na kwengineko duniani.
Sasa wewe unatukana wasomi na waislamu kama sheikh Mohammed Said hali ukijisifia kuwa katika ile picha wale wazee walikuwa mbumbumbu kuliko wakristo watatu hayo ni matusi maana mwalimu JK alikubali kuwafuata mapaka akafanyiwa maduwa mazito na pia kufunga kwa ajili ya maelekezo yao aliyaona yanafaa. Hata hiyi speech ya UN mwaka 1952 hakuiandika mwenyewe muulize Maalim Mohammed Said atakujuvya.

Hutaki kujifunza basi katafute Mbwa muoane naona ndio wagalatia mumepata njia mpya ya uongofu.

Pole sana
Du kweli ww hamnazo.......naona namna gani unaokota okota....Hebu niambie nchi gani afrika ambayo muislamu aliongoza kutafuta uhuru.
 
Nketi,
Umekasirika.

Hebu kwa jitulize na ujitahidi kujibu maswali yangu.
Bado sijakukatia tamaa.

Unajua safari ya Nyerere kwenda UNO ukusannyaji wa fedha ulikuwa chini ya
Idd Faiz Mafongo?
Je unamfahamu?

Au umepata popote kusikia anatajwa?

Lugha za ''makapi'' si za kiungwana.

Ungelijua Jumbe Tambaza au Dossa Aziz walifanya nini katika ukombozi
usingetumia lugha hiyo.

Na hawa wamo katika picha hiyo.

Naishia hapa na nakusibiri urudi kwa upole na kwa ustaarabu.
Hizo tungo zako za uongo sijui zinakusaidia nini. Sehemu zote ukombozi haupiganiwi na mtu mmoja lakini kunakuwa na mtu mmoja mwenye akili kubwa ya kuongoza akili zingine na nyerere alikuwa kiongozi. Unashangaa kwamba inawezekana sijawahi kusikia mtu anaitwa faiza mafongo! Yaani nisikie MKWAWA, KINJEKITILE NGWALE (Hawo ndo watu wa maana) halafu nisikie na hao waliokuwa wananyatia kwa nyuma na pengine walikuwa maarufu tu kwa kupiga soga vijiweni. Tunawasikia mashujaa
HEBU JIPANGE VIZURI
 
Na wewe unafikiri kwa mapovu: hapa tunamuongelea Malima halafu wewe unakuja na mambo ya Kikwete na kiongozi anayetaka kwenda Magogoni, sijui unamuongelea Lowasa, Januari au Zitto kwani hao ndio tunaojua kuwa wamekwisha tangaza nia zao kutaka kwenda Magogoni. Kwa vyovyote uwezo wako wa kuona mambo na kuyajengea hoja ni duni sana, labda kwa sababu unayona kwa kutumia mwanga wa dini tu.

Duh! Leo imekuwa humjui hata kiongozi anaetaka kuhalalisha gongo? Amma kweli, wajinga ndio waliwao.
 
Hizo tungo zako za uongo sijui zinakusaidia nini. Sehemu zote ukombozi haupiganiwi na mtu mmoja lakini kunakuwa na mtu mmoja mwenye akili kubwa ya kuongoza akili zingine na nyerere alikuwa kiongozi. Unashangaa kwamba inawezekana sijawahi kusikia mtu anaitwa faiza mafongo! Yaani nisikie MKWAWA, KINJEKITILE NGWALE (Hawo ndo watu wa maana) halafu nisikie na hao waliokuwa wananyatia kwa nyuma na pengine walikuwa maarufu tu kwa kupiga soga vijiweni. Tunawasikia mashujaa
HEBU JIPANGE VIZURI

Nketi,
Umerejea lakini naona umekuja na kejeli.

Mie kujibu kejeli kwangu ni muhali.
Ila kwa faida ya ukumbi nitakuwekea kwa muhtasari habari za Idd Faiz Mafongo.

Mafongo alikuwa mwekahazina wa Al Jamiatul Islamiyya Fi Tanganyika na wakati
huo huo alikuwa mwekahazina wa TANU.

Mafongo alihudhuria mkutano wa kwanza wa TANU Arnatougo Hall Agosti 1954.

Mafongo ndiye likabidhiwa jukumu la fedha kwa ajili ya safari ya Nyerere ya kwanza
UNO 1955.

Mafongo ndiye liyemjulisha Nyerere kwa Sheikh Mohamed Ramiya wa Bagamoyo.
Yapo mengi.

Labda Nketi nikukumbushe kitu kidogo.

Mkwawa, Kinjiketile, Selemani Mamba, Ali Songea Mbano, Abdallah Mchiama, Abushiiri bin
Salim
na mashujaa wengine walionyanyua silaha dhidi ya Wajerumani wote hao walikuwa
Waislam kama unavyoona hao hapo chini waliokuwa na Nyerere katika kupigania uhuru wa
Tanganyika.

Na huu si uzushi.


8lS-bGcfJLi-US4KM0clKL332ZwGi0MysIEH5ffaAkw=w680-h510-no


Kushoto Kwenda Kulia: Idd Faiz Mafongo, Sheikh Mohamed Ramiya, Julius Nyerere, Saadan Abdu Kandoro
na Haruna Taratibu. Picha imepigwa Dodoma Railway Station wakiwa katika harakati za kufikisha ujumbe
wa TANU kwa wananchi.
 
Ni wajib wangu kuieleza dhulma. How can we move.on while all opportunities are blocked?

usichoke ndugu huo ndo wako wajiiib
tuko pamoja nawe kila utakapo kwenda wameifungia TV Iman kisa waeleza ukweli
 
Asante sana mkuu Kichuguu sisi tunafyonza elimu unayotoa..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom