The Tussle Between the President and the Professor: The Story of Prof. Malima

The Tussle Between the President and the Professor: The Story of Prof. Malima

Hivi pamoja na matatizo yote yanayotukabili kama taifa Mohamed Said anataka tujadili habari za Kighoma Malima hapa kwenye Jukwaa la siasa; kwa nini hii isipelekwe jukwaa la historia? Sasa hivi tunahangaika na namna ya kukinusuru chama tawala, chama chetu pendwa ambacho hivi sasa kinapanga kusherehekea miaka 37 ya uhai huku kukiwa na hofu ya kulazwa ICU kikichungulia kaburi. Tafadhali Ritz mfikishie mwalimu wako, Mohamed Said, hili ombi kutoka kwangu...atuache tupumue!

Mkuu hii kwa wewe unaweza kuiita HISTORIA lkn kwa vijana kama sisi wapenda haki NI FIKRA ZILIZO HAI MPAKA KESHO!

Na kama tutapata changa moto za namna hii basi yale Aliokuwa akiyapanga na kuyatamani yafanyike mzee wetu Kighoma Malima basi Kwa uwezo wake Mola SISI VIJANA TUTAYATEKELEZA!
Na kama sisi hatutofika huko kwa asili 100% basi watoto wetu watakamilisha!

Sasa kama wewe unaona Umebanwa na pumzi kwa haya maneno ya haki basi unaruhusiwa kutokuchangia chochote humu.

Na rather nenda ka support hizo kampeni zenu za mifumo ya kumaliza wengi kwa kuneemesha wachache.
 
Hivi pamoja na matatizo yote yanayotukabili kama taifa Mohamed Said anataka tujadili habari za Kighoma Malima hapa kwenye Jukwaa la siasa; kwa nini hii isipelekwe jukwaa la historia? Sasa hivi tunahangaika na namna ya kukinusuru chama tawala, chama chetu pendwa ambacho hivi sasa kinapanga kusherehekea miaka 37 ya uhai huku kukiwa na hofu ya kulazwa ICU kikichungulia kaburi. Tafadhali Ritz mfikishie mwalimu wako, Mohamed Said, hili ombi kutoka kwangu...atuache tupumue!

Mag3

Kuna thread nyingi za Chopa, Lema na maandamo Rose Kamili kugombea urais Chadema, unaweza kwenda kuchangia, huu uzi kuna watu wanafyonza Ilm.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nisichoelewa kwanini kambarage nyerere aliwaweka kizuizini viongozi wa kiislamu kufuatia maasi ya wanajeshi 1964.
 
Mag3, Kuna thread nyingi za Chopa, Lema na maandamo Rose Kamili kugombea urais Chadema, unaweza kwenda kuchangia, huu uzi kuna watu wanafyonza Ilm.
Kama hii ni ilm, nawaonea huruma wanaoifyonza...ha ha haa! eti Mohamed Said anatoa ilm na wako wanaoifyonza, poleni na endeleeni kufyonza. Mimi nakitoa ila nikitaka porojo na umbea nitaingia humu mara moja moja, wikiendi njema.
 
Last edited by a moderator:
Kama hii ni ilm, nawaonea huruma wanaoifyonza...ha ha haa! eti Mohamed Said anatoa ilm na wako wanaoifyonza, poleni na endeleeni kufyonza. Mimi nakitoa ila nikitaka porojo na umbea nitaingia humu mara moja moja, wikiendi njema.

Bora utoke!

Manake watu kama nyie mkishaingia kwenye nyuzi nadhifu namna hii basi kinacho fuata ni nuksi na majungu tu!

Kwa heri
 
Last edited by a moderator:
Kama hii ni ilm, nawaonea huruma wanaoifyonza...ha ha haa! eti Mohamed Said anatoa ilm na wako wanaoifyonza, poleni na endeleeni kufyonza. Mimi nakitoa ila nikitaka porojo na umbea nitaingia humu mara moja moja, wikiendi njema.
Ngiri mwenye mapengo kaangukiwa na komba mlevi ngiri kafa, komba kateguka kiuno.

Wasalimie.
 
Last edited by a moderator:
Mada za mzee MS kwa kweli ni nzuri na navutiwa nazo sana kuzisoma.tatizo lipo kwa baadhi ya nyie wafuasi wake.hampo radhi kuona mzee wenu anakosolewa au anasahihishwa.mnapenda kuona anasifiwa tu mda wote.matusi na kejeli toka kwenu yamepelekea baadhi ya members hapa jf wanaosababisha mada zake ziwe na mvuto, kususia kuchangia.mada za MS bila watu hawa kuchangia post mbili/tatu hukosa msisimko.kwa uchache ni Mzee Mwanakijiji Nguruvi3
Jasusi Yericko Nyerere JokaKuu Son of Alaska Mag3 Gwalihenzi Pasco et al.badilikeni wakuu ili watu wengine wawe huru kufunguka nasi "maamuma" tufyonze ilm kote kote na sio upande mmoja tu wa MS and Co.
 
Last edited by a moderator:
u-profesa wa mashaka ndiyo huwaje huo? nimewahi kusikia juu ya "pii echi di" za hovyo hovyo, kumbe hata u-profesa pia?
 
Kichuguu,
Jitahidi kidogo angalu tia minofu katika maelezo yako.

Huu ni ukumbi wa watu wenye akili pevu.

Msikilize mwandishi wa maisha ya Malima alivyoandika baada ya utafiti:

''Very early in life teachers who came into contact with Malima realised that he was a boy of exceptional intelligence...''
Hajagusa rekodi yake ya Princeton.

Ivy League...

Twende tartiiiibu In Sha Allah.

Whom are quoting na ni rekodi gani hiyo Malima aliyoacha Princeton? Wewe Mzee tatizo lako una tabia ya ku-perpetuate myths, misrepresentations and straight out lies. Credibility yako katika uandishi is next to zero.
 
Mada za mzee MS kwa kweli ni nzuri na navutiwa nazo sana kuzisoma.tatizo lipo kwa baadhi ya nyie wafuasi wake.hampo radhi kuona mzee wenu anakosolewa au anasahihishwa.mnapenda kuona anasifiwa tu mda wote.matusi na kejeli toka kwenu yamepelekea baadhi ya members hapa jf wanaosababisha mada zake ziwe na mvuto, kususia kuchangia.mada za MS bila watu hawa kuchangia post mbili/tatu hukosa msisimko.kwa uchache ni Mzee Mwanakijiji Nguruvi3
Jasusi Yericko Nyerere JokaKuu Son of Alaska Mag3 Gwalihenzi Pasco et al.badilikeni wakuu ili watu wengine wawe huru kufunguka nasi "maamuma" tufyonze ilm kote kote na sio upande mmoja tu wa MS and Co.
Kukosa msisimko vipi nadhani hauna rekodi nzuri na mada za Mohamed Said hao wote uliowataja hakuna hata mmoja kachangia kama unavyosema wamechangia kwingi tu, kwa kukufahamisha tu Mohamed Said nyuzi zake ndizo zinaongoza kwa kuchangiwa na kusomwa na watu wengi.
 
Last edited by a moderator:
Hivi pamoja na matatizo yote yanayotukabili kama taifa Mohamed Said anataka tujadili habari za Kighoma Malima hapa kwenye Jukwaa la siasa; kwa nini hii isipelekwe jukwaa la historia? Sasa hivi tunahangaika na namna ya kukinusuru chama tawala, chama chetu pendwa ambacho hivi sasa kinapanga kusherehekea miaka 37 ya uhai huku kukiwa na hofu ya kulazwa ICU kikichungulia kaburi. Tafadhali Ritz mfikishie mwalimu wako, Mohamed Said, hili ombi kutoka kwangu...atuache tupumue!
Mag3,

Ivi ndio Chadema mnataraji kutawala nchi kwa attitude hii? Yaani as far as it touches or criticize issues of your interest basi mnakuwa sensitive na mnajaribu kila njia kuzuia dissemination of the story. Ivi mnaonekana wazi kuwa muko na agenda fulani. Hili la Prof. Malima when it happened hamkuwa nyinyi katika serikali sasa mnaruka nini?

Are you guilty of acomplicity in this affair?
Kila mkiwa nyinyi ndio wa mwanzo kuruka kupinga ukweli huu ndio mnajizonga na kuonekana kama mnahusika au mmejihusisha kwa kiasi gani, na pengine matukio mengi ya aina hio yametokea ni wakati kiongozi (rais) muislam yuko madarakani it is de javu. False flags operation?

Hatukusikia issue hizi wakati Mkapa yuko madarakani wala hatukusikia incident against prominent figures mfuasi wa dini ya ukristo wakati huo. So nyinyi mkijitokeza mkawa wa kwanza kuja juu it is obvous that the fingers will be pointed to your institution.

Na hii tabia mliyojijengea hasa wewe Mag3, ya kuwa mnaelekeza mashambulizi dhidi ya Prof. Mohd Said ni ushahidi rasmi kuwa he is your next target.

Tunawaonya kuwa hili this time hatutowaachia tutawaandama na nyinyi vile vile. Mnataka kupinga jambo leteni maandiko ya utafiti au marejeo ya kuaminika sio gossips.

Asanta
 
Last edited by a moderator:
Kukosa msisimko vipi nadhani hauna rekodi nzuri na mada za Mohamed Said hao wote uliowataja hakuna hata mmoja kachangia kama unavyosema wamechangia kwingi tu, kwa kukufahamisha tu Mohamed Said nyuzi zake ndizo zinaongoza kwa kuchangiwa na kusomwa na watu wengi.

mimi ni msomaji mzuri sana wa mada zake japo sichangii mara kwa mara.trend ya mada zake hivi karibuni haipo kama zamani.i tell you this bila hao niliowataja kuchangia hapa,this topic wont even make to 20 pages.hao ndio wanaojua kum-challenge MS,nyie akina ritz huishia kumsifia tu.hamumuulizi hata maswali.kuna mada moja aliyoianzisha yeye mwenyewe, nilimchapa swali la kiuchokozi mpaka leo hajanijibu.mbaya zaidi baadhi yenu mkanikebehi kwa swali lile.
 
Last edited by a moderator:
Nani anakumbuka wimbo wa chuki uliovuma sana miaka ya 80 kama sikosei walioimba ni Mlimani Park au labda Somebody Marijani?

Atakuwa ni Kighoma Malima, maana nasikia he was a man of many talents. Nasikia the man even used to walk on water na alikuwa na uwezo wa kugeuza maji kuwa mvinyo. So sad that his kibaka ass is long dead and rotten as hell.
 
Daaaah!! Hapa ni mambo ya 'tunaonewa' 'tunanyanyaswa' 'tuamke sasa'!!
 
Atakuwa ni Kighoma Malima, maana nasikia he was a man of many talents. Nasikia the man even used to walk on water na alikuwa na uwezo wa kugeuza maji kuwa mvinyo. So sad that his kibaka ass is long dead and rotten as hell.

Umemsahau Yule Nabii hewa wa Loliondo alieoteshwa usiku mwaka 1992 kuwa akigawa kikombe mgonjwa hata mwenye ukimwi atapona? hivi alisomea madrasa gani vile?
 
Back
Top Bottom