mimi ni msomaji mzuri sana wa mada zake japo sichangii mara kwa mara.trend ya mada zake hivi karibuni haipo kama zamani.i tell you this bila hao niliowataja kuchangia hapa,this topic wont even make to 20 pages.hao ndio wanaojua kum-challenge MS,nyie akina ritz huishia kumsifia tu.hamumuulizi hata maswali.kuna mada moja aliyoianzisha yeye mwenyewe, nilimchapa swali la kiuchokozi mpaka leo hajanijibu.mbaya zaidi baadhi yenu mkanikebehi kwa swali lile.
Sasa hebu jisome mwenyewe halafu ndio ufahamu kuwa watu kama wewe na hao uliowataja kuja kujadili na mtu kama Mzee Mohamed Said ni tatizo kubwa.
Hapa lengo sio kurasa ngapi zimejazwa!
As matter fact sidhani kama Msomi yyt lengo lake ni kujaza kurasa humu jf.
Bali hatta kama
Hayo ni mambo ya wale wenye kupenda maneno ya mipasho na longalonga zisizo na tija!
We mtu mzima unakuja jitangaza kwenye jukwaa la wenye kufikiri kuwa unauliza MASWALI YA KICHOKOZI?
Halafu unashangaa kwanini Mzee Mohamed Said Hajakujibu!? Na unasema bahati mbaya wengine walikukebehi!?
We ulikuwa unategemea nini!? Watu na hekima zao wakujibu hayo maswali ya UCHOKOZI sio??
Ni watu kama nyie ndio mnaofanya jukwaa kama hili kuonekana kama migahawa ya mitaani!
Mbona yapo majukwaa ya kuchokozana!? Na kuleta hayo maneno yenu ya mipasho??
Nenda chit chat uone kama kuna mtu atakufuata! Halafu KaChokozale utakavyo!
Hapa kama huna hoja za mishiko wala Usithubutu kuchangia!
Manake saana unajivunjia heshima na pili unataka wakuu kama kina
Ritz wabara Ngongoseke na wengineo wakupige ile mikwaju ya kuchapia nguchiro!
Halafu we kwa namna unavyo jadili na mtu, akili zako baado za kitoto mno.
Ni bora kusoma na kujifunza mawili au matatu kuliko kuandika vitu vya ajabu humu!
Huo ni ushauri tu! Lkn ni juu yako nini utaamua.