The UEFA Champions League 2020/21 Special Thread

Updates:
Group F
Zenit St. Petersbug Vs Club Brugge (0-0HT)
Group G
Dynamo kyiv Vs Juventus (0-0HT)
 
Kwa hatua yoyote katika haya mashindano kama Liverpool & madrid atakuwepo yatakuwa magumu iwapo hizo timu zikiondolewa basi ugumu na hamsha hamsha ya mashindano yataendelea kuwa tyt!.
 
Kama kawa ,Kama dawa

FC BAYERN MUNICH ( THE BAVARIA,Mia san Mia)[emoji629][emoji629][emoji629][emoji629][emoji629][emoji629][emoji629][emoji629][emoji629][emoji629][emoji629][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
 
Ngumu kutabiri ...ila kama PSG wanaweza kubeba hii kitu

Japo ningelitaman chelsea ifikie hatua nzuri
PSG ni timu ambayo haitakaa ichukue uefa kwa siku za hapa machoni labda wape miaka 6+ Shauku ya mtu huponza kukosa kitu wana timu ya kusumbua kina Caen..Nantes sio ya kutwaa UEFA..Hata Waingie na Monchegladbach hawawezi kutwaa Ndoo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…