The Undisputed Messi

The Undisputed Messi

Sijaona takwimu nimeona maneno

2015655_FB_IMG_1552664570174.jpeg
 
Me nilichoona hapo nimeona messi ana wastani mkubwa wa kufunga kuliko ronaldo sbb cr7 ana tofauti kubwa ya mechi alizocheza dhidi ya messi pia ana utofauti mdogo wa mabao dhidi ya hasimu wake ukilinganisha mechi alizocheza

Kwa maana nyingine messi ni GOAL MACHINE
Hapo mkuu tupo pamoja
 
Kama unatumia free kicks kama kigezo sio mbaya uka include his statics
-penalty
-magoli ya vichwa
-magoli nje ya 18.

Kama una include magoli ya fainali pia sio mbaya uka include hizi stats
-fainali ngumu kama uefa na world cup
-knockout stage kama za uefa, Michuano ya mabara na world cup

Pia usisahau kuweka na makombe na mafanikio ya timu ya taifa.
Mafanikio na makombe timu ya taifa angalia komment ya juu kutoka hii


Asante
 
Mafanikio na makombe timu ya taifa angalia komment ya juu kutoka hii


Asante
mkuu Messi ndio kabeba kombe lake la kwanza la timu ya Taifa, hayo mengine hayatambuliki kama Major Tournament. na nimeona hio picha ya juu hizo ni stats ambazo ni cherry picked. Ronaldo angekuwepo copa America angeyabeba ya kutosha tu, No way Ronaldo acheze fainali 5 dakika 540 akukose.

kombe walilocheza Pamoja champions league kwa muda mrefu Ronaldo amemkimbiza Messi kwa Assist na Magoli.
 
mkuu Messi ndio kabeba kombe lake la kwanza la timu ya Taifa, hayo mengine hayatambuliki kama Major Tournament. na nimeona hio picha ya juu hizo ni stats ambazo ni cherry picked. Ronaldo angekuwepo copa America angeyabeba ya kutosha tu, No way Ronaldo acheze fainali 5 dakika 540 akukose.

kombe walilocheza Pamoja champions league kwa muda mrefu Ronaldo amemkimbiza Messi kwa Assist na Magoli.
Ameshindwa kuwapeleka final iweje sasa aweze kumpiga mtu final!!!
Usisahau kuwa mchango wa ile Europe aliyochukua mchango wakr ulikua wa kawaida sana
Ata final match alitoka mapema sana,

Final zote walizoingia Argentina, messi alivuja jasho na damu

By the way tukutane mwakani FIFA world cup
 
mkuu Messi ndio kabeba kombe lake la kwanza la timu ya Taifa, hayo mengine hayatambuliki kama Major Tournament. na nimeona hio picha ya juu hizo ni stats ambazo ni cherry picked. Ronaldo angekuwepo copa America angeyabeba ya kutosha tu, No way Ronaldo acheze fainali 5 dakika 540 akukose.

kombe walilocheza Pamoja champions league kwa muda mrefu Ronaldo amemkimbiza Messi kwa Assist na Magoli.
Mkuu R7 ana goli 5 za Euro tatu ni penalt 🙂 🙂 🙂 🙂 🙂 🙂 Ronaldo MAPENALT
 
Kama unatumia free kicks kama kigezo sio mbaya uka include his statics
-penalty
-magoli ya vichwa
-magoli nje ya 18.

Kama una include magoli ya fainali pia sio mbaya uka include hizi stats
-fainali ngumu kama uefa na world cup
-knockout stage kama za uefa, Michuano ya mabara na world cup

Pia usisahau kuweka na makombe na mafanikio ya timu ya taifa.
Vitu pekee Ronaldo anamzidi Messi Ni penalty,magoli ya vichwa Na magoli kwasababu ya mechi nyingi.
Na Katika hizo anayoweza kutamba nayo Ni magoli ya vichwa Tu basi zingine hazina maana.

Kwengine kote kaburuzwa.
 
Lakini hapo Ronaldo Ni attacking forward while Messi Ni attacking midfielder
Wote wameanza career zao kama mawinga, mpaka Spain Ronaldo winga striker wake ni higuain na Benzema, uzeeni kwenye 30s ndio kaanza kucheza kama striker.

Messi nae kipindi cha pep Alikuwa ni false 9.
 
Vitu pekee Ronaldo anamzidi Messi Ni penalty,magoli ya vichwa Na magoli kwasababu ya mechi nyingi.
Na Katika hizo anayoweza kutamba nayo Ni magoli ya vichwa Tu basi zingine hazina maana.

Kwengine kote kaburuzwa.
Ukichukua michuano waliocheza pamoja Ronaldo amemzidi messi magoli, ila Messi Kacheza sana la Liga ligi yenye magoli mengi ndio maana unaona Kam karibia Ronaldo, fanya hivi.

1. Hesabu magoli ya LA liga toka Ronaldo afike la liga mpaka aondoke, at same time hesabu ya messi muda huo huo
2.angalia Champions league.

Then utaelewa point yangu
 
Leta ushahidi
Ushahidi ni website ya Uefa.

Assist
Ronaldo 42
Messi 36


Magoli
Ronaldo 134
Messi 120


Na ukiangalia magoli yao sasa ndio unaona utofauti mkubwa.

Magoli mengi ya Messi ni makundi na 16 bora ila ikifika Robo, nusu na Fainali si sana.

Ronaldo yeye ni tofauti kuanzia Robo, Nusu na Fainali yeye ndo anazipenda.

Mfano nusu Ronaldo Ana Goli 13 na messi ana 6 tu, Even Lewandowski amempita Messi kwenye Nusu

 
Ushahidi ni website ya Uefa.

Assist
Ronaldo 42
Messi 36


Magoli
Ronaldo 134
Messi 120


Na ukiangalia magoli yao sasa ndio unaona utofauti mkubwa.

Magoli mengi ya Messi ni makundi na 16 bora ila ikifika Robo, nusu na Fainali si sana.

Ronaldo yeye ni tofauti kuanzia Robo, Nusu na Fainali yeye ndo anazipenda.

Mfano nusu Ronaldo Ana Goli 13 na messi ana 6 tu, Even Lewandowski amempita Messi kwenye Nusu

UCScreenshot20210714173921.png
 
Back
Top Bottom