Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
comment yako wewe haijajaa unazi? tatizo lenu nyie mnatumia emotion kujadili badala ya facts, ningekuwa mimi ni fan wa Messi yapo mambo mengi ambayo mengi anafanya vizuri, mfano anajua kudrible kuliko ronaldo, ila ukitumia data za Magoli haswa muhimu kuna Gape kubwa sana baina ya Ronaldo na messi mkuu.Mimi nimezungumzia magoal kua m1 hapo anamagoal yote ayo na hajacheza England point ni iyo tu rahis mbn
Nyie washabik wa Cr7 najua mtabishana mnavoweza lkn kuna baadhi yenu ambao wanaujua mpr na wanaweka unazi pemben wanajua deep down nan anajua mpr kuliko mwenzake na Ni #Messi angalia tu discussions zote kubwa na watu wanaojua mpr dunian wakiulizwa nan bora kat ya hao wanamtaja nan..na by the way achana na hao watu angalia numbers tu kati yao wawili.
Basi achana na namba angalia tuzo binafs kati yao wawili utapata majibu...yoyote dunian mwenye idea ya mpr anajua kbs Messi ni bora kuliko cr7 pa1 wote ni wachezaj wazr lkn haiondoi kua m1 ni bora kuliko mwngne...huyo mnaemuita goal machine ratio zinamkataa against Messi ndo mnatafuta kichaka ooh ligi nyepes mara team 1 mara nn.wewe ulitaka acheze team ngp sasa..wengne ni loyal kwnye team iliyomkuza na anafanya kila ki2 kufany team imekua kubwa kuliko..mwngne anahama kwenda ligi tofaut anaenda kwa mtu ambae amekua akishinda ubingwa wa ligi miaka yote hlf anasema anafata challenge mpy tena anafika anawapa na mkosi ndo wanakosa ligi yeye akiwepo.
Na ndo maana nasema tena sbrn December mchezaj wenu yab cr7 ndo atakua anabeba idadi ya tuzo za #Messi mgongon kwake.
muda si mrefu nilikuwa reddit watu wanadiscuss hichi hichi tunachodiscuss humu, uzi ulikuwa na timeframe ya peak ronaldo toka 2011 mpaka 2018, wakatoa na mfano huo wa magoli ya Robo hadi fainali baina ya huo muda
-Cristiano Ronaldo - 30
-Robert Lewandowski - 10
-Karim Benzema - 8
-Thomas Muller - 8
-Neymar - 7
-Sergio Ramos - 5
-Lionel Messi - 5
-Luis Suarez - 5
Messi ana goli 100 mkuu Hatua za mwanzo makundi na 16 ila miaka 7 hio inapita ana goli 5 tu kwenye Hatua muhimu amefungana na Ramos, at same time Ronaldo ana goli 30.
unaweza soma zaidi hapa