The Voices From Within: "Mahakamani Watashindwa Tena!" Sababu ni Mawakili! Jee Tanzania Tuna Mawakili wa Calibre ya Murtaza Lakha?Jitokezeni Kusaidia!

Wapo kwenye system na wanalindwa na system, wamekosa nini zaidi ya support ya Chadema ? Kiufupi ni hata wakishinda wakaendelea kuwa wabunge ni sawa ila Hawapo kwenye mioyo ya wananchi tena na hakuna wakuwapigia kura zaidi ya Chawa wao.
 
Naona unajifanya kunipaka mafuta kwa mgongo wa chupa, kuwa nachangia post zako with objectivity ili uonekane mstaarabu, mimi sio wa sifa nyepesi za hivyo bro. Sifa za hivyo wape wasiojitambua.

Mkuu Tindo kama ni bondia basi unapenda sana kupiga za uso [emoji23]
 
Mkuu una info tusizozijua.
Watu wanaita “an ear to the ground”
Lakini bado Mdee and the 18 wanakosa mizania ya kuwa pale walipo kwa basis ya lack of political sponsorship, kana katiba ya nchi inavyotaka.
 
Mkuu una info tusizozijua.
Watu wanaita “an ear to the ground”
No, hakuna chochote nikijuacho ambacho nyinyi hamkijui, ila nimekuwa tuu nasikia tuu sauti, nikiwaambia nimesikia hivi, nikiwauliza hamjibu!, mfano niliwauliza
Lakini bado Mdee and the 18 wanakosa mizania ya kuwa pale walipo kwa basis ya lack of political sponsorship, kana katiba ya nchi inavyotaka.
Its true, na hapa kwenye hili, ndilo mimi ninalompongezea Dr. Tulia na from now on, Spika wa Bunge letu lazima awe mwanasheria mbobezi. Hapa Spika Tulia katumia her personal initiative kuulinda ubunge wao ili tuu kuwatendea haki!.
P
 
Hasira yako ingekuwa na mantiki kama kweli hiyo mibaba ilikataliwa kweli kwenye sanduku la kura! Labda ukiri kwamba hasira yako ilianzia kwenye ile kura moja uliyovuna kwa wajumbe zama zile za wajumbe si watu!
 
Kwahiyo Paskali hapa unaitangazia dunia kwamba mwaka 2020 palikuwa na uchaguzi huru na wa haki?

Anyway hakuna asiyekujuwa humu, bahati nzuri Mungu alishaingilia ugomvi ila haya mengine madogo sana.
 
Hicho kilevi unachotumia kimeshakudatisha. Nawahurumia sana wanao.
 
Pasco, hawa covid 19, licha ya kuipambania sana CHADEMA, walichokifanya ni kukosa maarifa. Uwezo wao mdogo wa ku0na mambo uliwafanya watumbukie shimoni.

1) waliangalia maslahi yao ya muda mfupi badala ya kuangalia hatima yao ya kisiasa.

2) umenunua shba, umelima, umepalilia, umevuna, ukayaacha mazao yao shambani, mvua zikayanyeshea, yakaoza = utaishia na big zero, ingawa kazi zote mpaka mavuno ulifanya kwa juhudi na akili kubwa, lakini ukakosa akili na juhudi za kuyasomba mazao yako na kuyatunza ghalani. Mwishoni, utakuwa sawa na wale ambao ni wavivu, hawakuwahi kununua wala kulima zao lolote.

3) kiburi na kuamishwa na watu wenye akili ndogo kama Ndugai, kutayagharimu maisha ya kisiasa ya Mdee na wenzake.

4) hawa akina Mdee, hata wanfepata wakili makini kiasi gani, hawawezi kushinda. Kwao ushindi ni kusogeza tu miezi mbele ili waendelee kupata kamshahara ka-ubunge. Hoha zipo wazi. Kwanza katiba ya CHADEMA, inazuia masuala ya maamuzi ya chama kupelekwa mahakamani. Labda kama katika maamuzi hayo kuwepo na jinai. Pili, uwanachama wa chama chochote cha siasa, huamliwa na taasisi za chama, siyo mahakama. Hata kama watasogea hatua moja mbele, mahakama itapitia maamuzi ya CHADEMA kwa kutumia katiba ya chama, na siyo vinginevyo.
 
Sasa ndio utashangaa mtu anayejiita mwanasheria haya yote hayaoni.

Licha ya kwamba Kibatala ni best lawyer kwa sasa, ila kesi za kipumbavu kama hizi ni kwenda kumuongezea ujiko Kibatala bila sababu maana anakwenda kuwapiga mapema tu na wataaibika.

Unashinda vipi kesi kama hii?
 
Kwahiyo Paskali hapa unaitangazia dunia kwamba mwaka 2020 palikuwa na uchaguzi huru na wa haki?
Mkuu Matola, matokeo ya uchaguzi wa 2020 mimi niliyaposti humu November 30 2015 Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Hivyo kilichofanyika siku ya uchaguzi ilikuwa ni kukamisha tuu taratibu za uchaguzi ule na nikawaandaa kisaikolojia Uchaguzi 2020 - Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio mshindi wa jumla wa Uchaguzi huu
Anyway hakuna asiyekujuwa humu,
Kosa langu ni kuwa mkweli daima, kama watu walinisoma, there was no any surprises kwenye kilichotokea uchaguzi wa 2020, na sisi watu wa kushauri, tulishauri
  1. Uchaguzi 2020 - Ili kuondoa kelele za kutotendewa haki, nawashauri CHADEMA na ACT wekeni Mawakala kila Kituo ili kujiridhisha, Uchaguzi Mkuu ni huru na wa haki
  2. Uchaguzi 2020 - Je, Tanzania tuna upinzani makini, upinzani wa kweli wa kuing'oa CCM madarakani au bado sana? Nilichoshuhudia leo uzinduzi CHADEMA, kiukweli...
  3. Uchaguzi 2020 - Kukubalika kwa Rais Magufuli/CCM: Kishindo cha asilimia 99.9% ni mawingu tu ya dalili, mvua ni 2020, ni lele tu, ngoma ni 2020!
  4. Uchaguzi 2020 - Je, Unaweza kupita Ubungo Interchange usiseme asante Magufuli? Mtakubaliana na mimi, asante stahiki ni kura zote kwa Magufuli
  5. Uchaguzi 2020 - Kama TPSF ni wakweli, then, JPM, CCM itashinda ushindi wa kishindo cha ajabu! But for National Unity, TL ateuliwe Ubunge kuwafariji his sympathizers?
  6. Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
  7. Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?
  8. Ombi Maalum, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis. Tutabarikiwa!
  9. Ushindi mtamu ni ushindani katika uwanja sawa, sio ule wa mezani. Magufuli, kasi yako ni ushindi wa kishindo. Ruhusu ushindani wa haki, sawa na wazi
P
 
mtu aliyezoea jinai... ukimleta kwenye madai atambwelaa tuu wachache sanaa wapo competent kote kote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…