The Voices From Within: Warning kwa Chadema, Be Very Careful, Msifanye Ujinga Wowote!, Mkileta Tuu Ujinga!, Tarehe 21 Jan. Kutakuwa Hakuna Uchaguzi!.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi
Mzee wa masauti,
Nimesikia sauti ikiniambia niwaonye Chadema mapema tuu, kwenye huu uchaguzi wao wa mwenyekiti, this time around, wasithubutu au wasifanye ujinga wowote au janja janja yoyote!, wafuate tuu katiba yao, sheria taratibu na kanuni, uchaguzi upite salama. Wakileta ujinga wowote, wajue hiyo tarehe 21 Januari, kutakuwa ni hakuna uchaguzi!.

Kwa kipindi cha miaka 20, uchaguzi wa mwenyekiti wa Chadema, ndio unafanyika uchaguzi kweli, hizo chaguzi nyingine zote za mwenyekiti zilikuwaga ni chaguzi zuga tuu!.

Nimeisikia sauti hiyo, wakati nikichangia bandiko hili Kwanini Tundu Lissu hakutangaza nia mapema ya kugombea uenyekiti wa Chama taifa?
Ni kweli Lissu hakuwa kabisa na nia ya kugombea uenyekiti, nia yake ni kutetea umakamo.

Baada ya kutofautiana na Mbowe, Mzee baba akaamua kumflush TL out of Chadema kwa nafasi yake kumpa Wenje, ndipo Lissu akaamua kama mbway na iwe mbway, mmenianza, mimi namaliza!, akaamua kumvaa Mbowe!.
Katika hili Lissu amecheza kama Pele.
Ni kweli TL amecheza kama Pele ila anajua jinsi wanachama wao walivyo manyumbu, hivyo hawezi kumshinda Mbowe ila atawasumbua, na tena Chadema wawe makini sana, wakileta ujinga wowote, tarehe 21 January hakuna Uchaguzi.

Sauti hiyo haisemi kitatokea nini mpaka uchaguzi usifanyike, na huwezi kuuliza chochote kwenye the voices from within, ni unasikia tuu sauti, inakuambia kitu, haikuambii sababu wala huwezi kuhoji chochote.

Hivyo na mimi nimetimiza wajibu wangu kusema nilichosikia naomba msiniulize chochote ni kusubiri mpaka hiyo tarehe 21, uchaguzi ufanyike, ndipo tuulizane.

Jumapili Njema.

Paskali.
 
kama mbaya mbaya, usiwatishe..... milima ndiyo itabaki........................vyote vitaisha
 
Advocate umerudi tena na "Voices from within ".
Ndugu Advocate Pascal Mayalla upepo upo kwa Lisu.
●Lisu ndo hitaji la sasa
●Hata wewe maandiko yako jitahidi yawe mlengwa wa Lisu.
●Lisu ni Advocate mwenzako
●we need meritocracy.
 
Hauko peke yako mwenye voice within...

Mimi huwa nikiwaza kitu, then kipotee ghafla, basi jua kweli kinaenda kutokea, nakuja kushtuka kikiwa kimeshatokea kwamba daah I foresawa this. Ila kisipopotea ghafla nikakidigest na kukipinga, basi hakitatokea.

Wewe una huo uwezo, lkn una ubinafsi, huwa hautaki kuzikataa hizo sauti zako zenye maono ya mambo mabaya..
 
True
 
P maandalizi ya kisaikolojia ama?Mbona unajihami sana usiulizwe muda useme wenyewe?
 
Uchaguzi umeshaingiwa na ccm hakutakuwa na la maana hata moja sehemu yoyote ukiiona ccm na wafuasi wao wako mbele kujifanya wema hiyo sehemu haina faida tena kwa wahusika kwa sababu lengo la ccm ni kiharibu na sio kujenga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…