Chui hakumbatiwi na mtoto wa Nyoka hafundishwi kutuma.Mkuu, kwani CDM ni chama cha upinzani cha Rwanda? Hata hujui athari ya chama cha siasa ndani ya nchi, hata kama si chama chako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chui hakumbatiwi na mtoto wa Nyoka hafundishwi kutuma.Mkuu, kwani CDM ni chama cha upinzani cha Rwanda? Hata hujui athari ya chama cha siasa ndani ya nchi, hata kama si chama chako?
Uko sahihi.Anamaanisha kama upepo wa ushindi ukiwa kwa Lissu CCM kupitia dola watauvuruga na ili ionekane kuwa kuna kila dalili za uvunjifu wa amani ili kumuokoa mtu wao aendelee hadi baada ya uchaguzi mkuu wa 2025.
Sure hapa lazima Mbowe akae pembeniUlikuwa ni mpango wa Mungu (Nature)Lissu agombee ndio maana akatengeneza mazingira yaliyomlazimisha Lissu agombee.
Nature(Mungu) ana makusudi na kila jambo
Na Yeriko ni wajinga snYanaweza tokea yaliyotokea mwaka 96 kule Tanga kwenye mkutano wa nncr mageuzi
Lyatonga ilibidi ajifiche chini ya mezani
Ccm watapandikiza vurugu wakiwatumia kina ntobi, boni yai n
Ili wapate sababu ya kumbeba mtu wao
The self proclaimed GOD!!!!!!!!! Paschal Mayala, CCM puppet - Esq Mayala.Wanabodi
Mzee wa masauti,
Nimesikia sauti ikiniambia niwaonye Chadema mapema tuu, kwenye huu uchaguzi wao wa mwenyekiti, this time around, wasithubutu au wasifanye ujinga wowote au janja janja yoyote!, wafuate tuu katiba yao, sheria taratibu na kanuni, uchaguzi upite salama. Wakileta ujinga wowote, wajue hiyo tarehe 21 Januari, kutakuwa ni hakuna uchaguzi!.
Kwa kipindi cha miaka 20, uchaguzi wa mwenyekiti wa Chadema, ndio unafanyika uchaguzi kweli, hizo chaguzi nyingine zote za mwenyekiti zilikuwaga ni chaguzi zuga tuu!.
Nimeisikia sauti hiyo, wakati nikichangia bandiko hili
Ni kweli Lissu hakuwa kabisa na nia ya kugombea uenyekiti, nia yake ni kutetea umakamo.
Baada ya kutofautiana na Mbowe, Mzee baba akaamua kumflush TL out of Chadema kwa nafasi yake kumpa Wenje, ndipo Lissu akaamua kama mbway na iwe mbway, mmenianza, mimi namaliza!, akaamua kumvaa Mbowe!.
Ni kweli TL amecheza kama Pele ila anajua jinsi wanachama wao walivyo manyumbu, hivyo hawezi kumshinda Mbowe ila atawasumbua, na tena Chadema wawe makini sana, wakileta ujinga wowote, tarehe 21 January hakuna Uchaguzi.
Sauti hiyo haisemi kitatokea nini mpaka uchaguzi usifanyike, na huwezi kuuliza chochote kwenye the voices from within, ni unasikia tuu sauti, inakuambia kitu, haikuambii sababu wala huwezi kuhoji chochote.
Hivyo na mimi nimetimiza wajibu wangu kusema nilichosikia naomba msiniulize chochote ni kusubiri mpaka hiyo tarehe 21, uchaguzi ufanyike, ndipo tuulizane.
Jumapili Njema.
Paskali.
HUu uzi wako leo nimeupenda, hauja pandisha nyuzi juu ya uzi mzee wa ma "link".Wanabodi
Mzee wa masauti,
Nimesikia sauti ikiniambia niwaonye Chadema mapema tuu, kwenye huu uchaguzi wao wa mwenyekiti, this time around, wasithubutu au wasifanye ujinga wowote au janja janja yoyote!, wafuate tuu katiba yao, sheria taratibu na kanuni, uchaguzi upite salama. Wakileta ujinga wowote, wajue hiyo tarehe 21 Januari, kutakuwa ni hakuna uchaguzi!.
Kwa kipindi cha miaka 20, uchaguzi wa mwenyekiti wa Chadema, ndio unafanyika uchaguzi kweli, hizo chaguzi nyingine zote za mwenyekiti zilikuwaga ni chaguzi zuga tuu!.
Nimeisikia sauti hiyo, wakati nikichangia bandiko hili
Ni kweli Lissu hakuwa kabisa na nia ya kugombea uenyekiti, nia yake ni kutetea umakamo.
Baada ya kutofautiana na Mbowe, Mzee baba akaamua kumflush TL out of Chadema kwa nafasi yake kumpa Wenje, ndipo Lissu akaamua kama mbway na iwe mbway, mmenianza, mimi namaliza!, akaamua kumvaa Mbowe!.
Ni kweli TL amecheza kama Pele ila anajua jinsi wanachama wao walivyo manyumbu, hivyo hawezi kumshinda Mbowe ila atawasumbua, na tena Chadema wawe makini sana, wakileta ujinga wowote, tarehe 21 January hakuna Uchaguzi.
Sauti hiyo haisemi kitatokea nini mpaka uchaguzi usifanyike, na huwezi kuuliza chochote kwenye the voices from within, ni unasikia tuu sauti, inakuambia kitu, haikuambii sababu wala huwezi kuhoji chochote.
Hivyo na mimi nimetimiza wajibu wangu kusema nilichosikia naomba msiniulize chochote ni kusubiri mpaka hiyo tarehe 21, uchaguzi ufanyike, ndipo tuulizane.
Jumapili Njema.
Paskali.
AmenMungu ibariki chadema chini ya Tundu lisu
Samahani sana mkuuWanabodi
Mzee wa masauti,
Nimesikia sauti ikiniambia niwaonye Chadema mapema tuu, kwenye huu uchaguzi wao wa mwenyekiti, this time around, wasithubutu au wasifanye ujinga wowote au janja janja yoyote!, wafuate tuu katiba yao, sheria taratibu na kanuni, uchaguzi upite salama. Wakileta ujinga wowote, wajue hiyo tarehe 21 Januari, kutakuwa ni hakuna uchaguzi!.
Kwa kipindi cha miaka 20, uchaguzi wa mwenyekiti wa Chadema, ndio unafanyika uchaguzi kweli, hizo chaguzi nyingine zote za mwenyekiti zilikuwaga ni chaguzi zuga tuu!.
Nimeisikia sauti hiyo, wakati nikichangia bandiko hili
Ni kweli Lissu hakuwa kabisa na nia ya kugombea uenyekiti, nia yake ni kutetea umakamo.
Baada ya kutofautiana na Mbowe, Mzee baba akaamua kumflush TL out of Chadema kwa nafasi yake kumpa Wenje, ndipo Lissu akaamua kama mbway na iwe mbway, mmenianza, mimi namaliza!, akaamua kumvaa Mbowe!.
Ni kweli TL amecheza kama Pele ila anajua jinsi wanachama wao walivyo manyumbu, hivyo hawezi kumshinda Mbowe ila atawasumbua, na tena Chadema wawe makini sana, wakileta ujinga wowote, tarehe 21 January hakuna Uchaguzi.
Sauti hiyo haisemi kitatokea nini mpaka uchaguzi usifanyike, na huwezi kuuliza chochote kwenye the voices from within, ni unasikia tuu sauti, inakuambia kitu, haikuambii sababu wala huwezi kuhoji chochote.
Hivyo na mimi nimetimiza wajibu wangu kusema nilichosikia naomba msiniulize chochote ni kusubiri mpaka hiyo tarehe 21, uchaguzi ufanyike, ndipo tuulizane.
Jumapili Njema.
Paskali.
Chadema ilishakufa toka walipomruhusu Lowassa kugombea Urais. Mwaka 2015 wangempa Slaa tiketi ya urais mchuano ungekuwa mkali sana. Huo mwaka ndio upinzani ulikuwa na nguvu na hakutatokea mwaka mwingine tena. Maana kila Rais ajae ana-refer uongozi wa Jiwe. Hata ukiangalia Wavaa makobazi ndio wasukuma wapya na Kizimkazi ndio chato mpya.Wanabodi
Mzee wa masauti,
Nimesikia sauti ikiniambia niwaonye Chadema mapema tuu, kwenye huu uchaguzi wao wa mwenyekiti, this time around, wasithubutu au wasifanye ujinga wowote au janja janja yoyote!, wafuate tuu katiba yao, sheria taratibu na kanuni, uchaguzi upite salama. Wakileta ujinga wowote, wajue hiyo tarehe 21 Januari, kutakuwa ni hakuna uchaguzi!.
Kwa kipindi cha miaka 20, uchaguzi wa mwenyekiti wa Chadema, ndio unafanyika uchaguzi kweli, hizo chaguzi nyingine zote za mwenyekiti zilikuwaga ni chaguzi zuga tuu!.
Nimeisikia sauti hiyo, wakati nikichangia bandiko hili
Ni kweli Lissu hakuwa kabisa na nia ya kugombea uenyekiti, nia yake ni kutetea umakamo.
Baada ya kutofautiana na Mbowe, Mzee baba akaamua kumflush TL out of Chadema kwa nafasi yake kumpa Wenje, ndipo Lissu akaamua kama mbway na iwe mbway, mmenianza, mimi namaliza!, akaamua kumvaa Mbowe!.
Ni kweli TL amecheza kama Pele ila anajua jinsi wanachama wao walivyo manyumbu, hivyo hawezi kumshinda Mbowe ila atawasumbua, na tena Chadema wawe makini sana, wakileta ujinga wowote, tarehe 21 January hakuna Uchaguzi.
Sauti hiyo haisemi kitatokea nini mpaka uchaguzi usifanyike, na huwezi kuuliza chochote kwenye the voices from within, ni unasikia tuu sauti, inakuambia kitu, haikuambii sababu wala huwezi kuhoji chochote.
Hivyo na mimi nimetimiza wajibu wangu kusema nilichosikia naomba msiniulize chochote ni kusubiri mpaka hiyo tarehe 21, uchaguzi ufanyike, ndipo tuulizane.
Jumapili Njema.
Paskali.
Mzee wa RAMLI CHONGANISHI!!Wanabodi
Mzee wa masauti,
Nimesikia sauti ikiniambia niwaonye Chadema mapema tuu, kwenye huu uchaguzi wao wa mwenyekiti, this time around, wasithubutu au wasifanye ujinga wowote au janja janja yoyote!, wafuate tuu katiba yao, sheria taratibu na kanuni, uchaguzi upite salama. Wakileta ujinga wowote, wajue hiyo tarehe 21 Januari, kutakuwa ni hakuna uchaguzi!.
Kwa kipindi cha miaka 20, uchaguzi wa mwenyekiti wa Chadema, ndio unafanyika uchaguzi kweli, hizo chaguzi nyingine zote za mwenyekiti zilikuwaga ni chaguzi zuga tuu!.
Nimeisikia sauti hiyo, wakati nikichangia bandiko hili
Ni kweli Lissu hakuwa kabisa na nia ya kugombea uenyekiti, nia yake ni kutetea umakamo.
Baada ya kutofautiana na Mbowe, Mzee baba akaamua kumflush TL out of Chadema kwa nafasi yake kumpa Wenje, ndipo Lissu akaamua kama mbway na iwe mbway, mmenianza, mimi namaliza!, akaamua kumvaa Mbowe!.
Ni kweli TL amecheza kama Pele ila anajua jinsi wanachama wao walivyo manyumbu, hivyo hawezi kumshinda Mbowe ila atawasumbua, na tena Chadema wawe makini sana, wakileta ujinga wowote, tarehe 21 January hakuna Uchaguzi.
Sauti hiyo haisemi kitatokea nini mpaka uchaguzi usifanyike, na huwezi kuuliza chochote kwenye the voices from within, ni unasikia tuu sauti, inakuambia kitu, haikuambii sababu wala huwezi kuhoji chochote.
Hivyo na mimi nimetimiza wajibu wangu kusema nilichosikia naomba msiniulize chochote ni kusubiri mpaka hiyo tarehe 21, uchaguzi ufanyike, ndipo tuulizane.
Jumapili Njema.
Paskali.
Wenyewe wanakwambia hakuna cha ultimate blow wala out-flow, kwa kuwa eti CDM iko mioyoni mwa Watanzania.Ikiwa TL atashindwa uchaguzi, basi itakuwa final blow kwa CDM lakini pia itakuwa fursa adhimu kwa alternative party / parties kuchukua nafasi ya CDM.
Halafu kuna wanafalsa wanasema mzizi ulivyo ni kiashiria tosha cha tawi na majani yalivyo. Mzizini kama ni kubaya, basi tegemea na majanini na matawini kuwe hivyo pia.Ila nk kwel CDM hakunaga uchaguzi huku chini ni kupachikana tu hilo hata Lema alisema aliwahi kumpachika mtu japo alieshinda alikua mwingine
Ndio mkataba wake na Maximelo, maana analipwa kwa idadi ya maneno. Hatakiwi kuzidisha kiwango cha juu walichoandikishiana kwenye mkataba.huaga huna comment ndefu na lazma Cc iwepo
Mkuu, kama uchaguzi huo ukifanikiwa kufanyika, matokeo ni ya aina moja tu na wala si vinginevyo. ^Kamanda anarudi mzigoni!^Mzee wa RAMLI CHONGANISHI!!
Uchaguzi upo palepale, Lisu atashinda kwa KURA 785 KATI YA WAJUMBE 1200 .
Conspiracy theory Yako haitafanya kazi!!!
Mbowe atagawa sana hela na Covid 19,na Serikali, mwisho wa siku wajumbe watachagua Lissu kwa maslahi mapana, Mbowe ni Sehemu ya mfumo CCM.
Kwani utatufanyaje, mkuu? Kwanza, hivi hamhitaji tena vibunda ili kusaidia zoezi la uchaguzi? Sisi tuko tayari kabisa kuwachangia ili zoezi lifanikiwe 100%!Uko sahihi.
Lakini si Kila wakati mikakati yao itafanikiwa
Nawaonya ccm wakitaka kutunza amani ya nchi hii wakae mbali na huu uchaguzi