The Voices From Within: Warning kwa Chadema, Be Very Careful, Msifanye Ujinga Wowote!, Mkileta Tuu Ujinga!, Tarehe 21 Jan. Kutakuwa Hakuna Uchaguzi!.

The Voices From Within: Warning kwa Chadema, Be Very Careful, Msifanye Ujinga Wowote!, Mkileta Tuu Ujinga!, Tarehe 21 Jan. Kutakuwa Hakuna Uchaguzi!.

Anamaanisha kama upepo wa ushindi ukiwa kwa Lissu CCM kupitia dola watauvuruga na ili ionekane kuwa kuna kila dalili za uvunjifu wa amani ili kumuokoa mtu wao aendelee hadi baada ya uchaguzi mkuu wa 2025.
Uko sahihi.
Lakini si Kila wakati mikakati yao itafanikiwa

Nawaonya ccm wakitaka kutunza amani ya nchi hii wakae mbali na huu uchaguzi
 
Wanabodi
Mzee wa masauti,
Nimesikia sauti ikiniambia niwaonye Chadema mapema tuu, kwenye huu uchaguzi wao wa mwenyekiti, this time around, wasithubutu au wasifanye ujinga wowote au janja janja yoyote!, wafuate tuu katiba yao, sheria taratibu na kanuni, uchaguzi upite salama. Wakileta ujinga wowote, wajue hiyo tarehe 21 Januari, kutakuwa ni hakuna uchaguzi!.

Kwa kipindi cha miaka 20, uchaguzi wa mwenyekiti wa Chadema, ndio unafanyika uchaguzi kweli, hizo chaguzi nyingine zote za mwenyekiti zilikuwaga ni chaguzi zuga tuu!.

Nimeisikia sauti hiyo, wakati nikichangia bandiko hili

Ni kweli Lissu hakuwa kabisa na nia ya kugombea uenyekiti, nia yake ni kutetea umakamo.

Baada ya kutofautiana na Mbowe, Mzee baba akaamua kumflush TL out of Chadema kwa nafasi yake kumpa Wenje, ndipo Lissu akaamua kama mbway na iwe mbway, mmenianza, mimi namaliza!, akaamua kumvaa Mbowe!.

Ni kweli TL amecheza kama Pele ila anajua jinsi wanachama wao walivyo manyumbu, hivyo hawezi kumshinda Mbowe ila atawasumbua, na tena Chadema wawe makini sana, wakileta ujinga wowote, tarehe 21 January hakuna Uchaguzi.

Sauti hiyo haisemi kitatokea nini mpaka uchaguzi usifanyike, na huwezi kuuliza chochote kwenye the voices from within, ni unasikia tuu sauti, inakuambia kitu, haikuambii sababu wala huwezi kuhoji chochote.

Hivyo na mimi nimetimiza wajibu wangu kusema nilichosikia naomba msiniulize chochote ni kusubiri mpaka hiyo tarehe 21, uchaguzi ufanyike, ndipo tuulizane.

Jumapili Njema.

Paskali.
The self proclaimed GOD!!!!!!!!! Paschal Mayala, CCM puppet - Esq Mayala.
Chadema endeleeni na democracy, hawa CCM wanaogopa sana democrasi. Sasa hivi wanahaa kuwazuia msifanye uchaguzi wa maana, wa kupendwa. Fanyeni kama sasa hivi mnavyopanga. Mdahalo .

Ushauri kwa Mbowe; jenga Legacy, kubali kuwa kila mwanzo una mwisho, ila Legacy itadumu kama ile ya Edwin Mtei. Fanya Mdahalo na Lisu kwa nia safi kabisa, ukipangua hoja zake una nafasi ya kushinda. Na hata ukishindwa siyo mwisho wa maisha. Chadema itaendelea kuukumbuka Umwamba wako.
 
Wanabodi
Mzee wa masauti,
Nimesikia sauti ikiniambia niwaonye Chadema mapema tuu, kwenye huu uchaguzi wao wa mwenyekiti, this time around, wasithubutu au wasifanye ujinga wowote au janja janja yoyote!, wafuate tuu katiba yao, sheria taratibu na kanuni, uchaguzi upite salama. Wakileta ujinga wowote, wajue hiyo tarehe 21 Januari, kutakuwa ni hakuna uchaguzi!.

Kwa kipindi cha miaka 20, uchaguzi wa mwenyekiti wa Chadema, ndio unafanyika uchaguzi kweli, hizo chaguzi nyingine zote za mwenyekiti zilikuwaga ni chaguzi zuga tuu!.

Nimeisikia sauti hiyo, wakati nikichangia bandiko hili

Ni kweli Lissu hakuwa kabisa na nia ya kugombea uenyekiti, nia yake ni kutetea umakamo.

Baada ya kutofautiana na Mbowe, Mzee baba akaamua kumflush TL out of Chadema kwa nafasi yake kumpa Wenje, ndipo Lissu akaamua kama mbway na iwe mbway, mmenianza, mimi namaliza!, akaamua kumvaa Mbowe!.

Ni kweli TL amecheza kama Pele ila anajua jinsi wanachama wao walivyo manyumbu, hivyo hawezi kumshinda Mbowe ila atawasumbua, na tena Chadema wawe makini sana, wakileta ujinga wowote, tarehe 21 January hakuna Uchaguzi.

Sauti hiyo haisemi kitatokea nini mpaka uchaguzi usifanyike, na huwezi kuuliza chochote kwenye the voices from within, ni unasikia tuu sauti, inakuambia kitu, haikuambii sababu wala huwezi kuhoji chochote.

Hivyo na mimi nimetimiza wajibu wangu kusema nilichosikia naomba msiniulize chochote ni kusubiri mpaka hiyo tarehe 21, uchaguzi ufanyike, ndipo tuulizane.

Jumapili Njema.

Paskali.
HUu uzi wako leo nimeupenda, hauja pandisha nyuzi juu ya uzi mzee wa ma "link".

Mbowe mtu mbaya sana kwa hatua hii aliyofikia ameamua kufuta mazuri yale yoote ya nyuma na kuizika chadema ukiwa inapumulia mashine
 
Wanabodi
Mzee wa masauti,
Nimesikia sauti ikiniambia niwaonye Chadema mapema tuu, kwenye huu uchaguzi wao wa mwenyekiti, this time around, wasithubutu au wasifanye ujinga wowote au janja janja yoyote!, wafuate tuu katiba yao, sheria taratibu na kanuni, uchaguzi upite salama. Wakileta ujinga wowote, wajue hiyo tarehe 21 Januari, kutakuwa ni hakuna uchaguzi!.

Kwa kipindi cha miaka 20, uchaguzi wa mwenyekiti wa Chadema, ndio unafanyika uchaguzi kweli, hizo chaguzi nyingine zote za mwenyekiti zilikuwaga ni chaguzi zuga tuu!.

Nimeisikia sauti hiyo, wakati nikichangia bandiko hili

Ni kweli Lissu hakuwa kabisa na nia ya kugombea uenyekiti, nia yake ni kutetea umakamo.

Baada ya kutofautiana na Mbowe, Mzee baba akaamua kumflush TL out of Chadema kwa nafasi yake kumpa Wenje, ndipo Lissu akaamua kama mbway na iwe mbway, mmenianza, mimi namaliza!, akaamua kumvaa Mbowe!.

Ni kweli TL amecheza kama Pele ila anajua jinsi wanachama wao walivyo manyumbu, hivyo hawezi kumshinda Mbowe ila atawasumbua, na tena Chadema wawe makini sana, wakileta ujinga wowote, tarehe 21 January hakuna Uchaguzi.

Sauti hiyo haisemi kitatokea nini mpaka uchaguzi usifanyike, na huwezi kuuliza chochote kwenye the voices from within, ni unasikia tuu sauti, inakuambia kitu, haikuambii sababu wala huwezi kuhoji chochote.

Hivyo na mimi nimetimiza wajibu wangu kusema nilichosikia naomba msiniulize chochote ni kusubiri mpaka hiyo tarehe 21, uchaguzi ufanyike, ndipo tuulizane.

Jumapili Njema.

Paskali.
Samahani sana mkuu
Mbona na mimi kuna sauti inaniambia unauwezo wa kumfikia Mbowe na kumpa ujumbe kua amechokwa na hakubaliki hata kidogo na asiendeshwe na machawa wake mda ukifika watamcheka
Na mwonyeshe picha iliopigwa toka ikulu
 

Attachments

  • Screenshot_20241225-215807.jpg
    Screenshot_20241225-215807.jpg
    186.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241225-215807.jpg
    Screenshot_20241225-215807.jpg
    186.5 KB · Views: 2
Wanabodi
Mzee wa masauti,
Nimesikia sauti ikiniambia niwaonye Chadema mapema tuu, kwenye huu uchaguzi wao wa mwenyekiti, this time around, wasithubutu au wasifanye ujinga wowote au janja janja yoyote!, wafuate tuu katiba yao, sheria taratibu na kanuni, uchaguzi upite salama. Wakileta ujinga wowote, wajue hiyo tarehe 21 Januari, kutakuwa ni hakuna uchaguzi!.

Kwa kipindi cha miaka 20, uchaguzi wa mwenyekiti wa Chadema, ndio unafanyika uchaguzi kweli, hizo chaguzi nyingine zote za mwenyekiti zilikuwaga ni chaguzi zuga tuu!.

Nimeisikia sauti hiyo, wakati nikichangia bandiko hili

Ni kweli Lissu hakuwa kabisa na nia ya kugombea uenyekiti, nia yake ni kutetea umakamo.

Baada ya kutofautiana na Mbowe, Mzee baba akaamua kumflush TL out of Chadema kwa nafasi yake kumpa Wenje, ndipo Lissu akaamua kama mbway na iwe mbway, mmenianza, mimi namaliza!, akaamua kumvaa Mbowe!.

Ni kweli TL amecheza kama Pele ila anajua jinsi wanachama wao walivyo manyumbu, hivyo hawezi kumshinda Mbowe ila atawasumbua, na tena Chadema wawe makini sana, wakileta ujinga wowote, tarehe 21 January hakuna Uchaguzi.

Sauti hiyo haisemi kitatokea nini mpaka uchaguzi usifanyike, na huwezi kuuliza chochote kwenye the voices from within, ni unasikia tuu sauti, inakuambia kitu, haikuambii sababu wala huwezi kuhoji chochote.

Hivyo na mimi nimetimiza wajibu wangu kusema nilichosikia naomba msiniulize chochote ni kusubiri mpaka hiyo tarehe 21, uchaguzi ufanyike, ndipo tuulizane.

Jumapili Njema.

Paskali.
Chadema ilishakufa toka walipomruhusu Lowassa kugombea Urais. Mwaka 2015 wangempa Slaa tiketi ya urais mchuano ungekuwa mkali sana. Huo mwaka ndio upinzani ulikuwa na nguvu na hakutatokea mwaka mwingine tena. Maana kila Rais ajae ana-refer uongozi wa Jiwe. Hata ukiangalia Wavaa makobazi ndio wasukuma wapya na Kizimkazi ndio chato mpya.
 
Wanabodi
Mzee wa masauti,
Nimesikia sauti ikiniambia niwaonye Chadema mapema tuu, kwenye huu uchaguzi wao wa mwenyekiti, this time around, wasithubutu au wasifanye ujinga wowote au janja janja yoyote!, wafuate tuu katiba yao, sheria taratibu na kanuni, uchaguzi upite salama. Wakileta ujinga wowote, wajue hiyo tarehe 21 Januari, kutakuwa ni hakuna uchaguzi!.

Kwa kipindi cha miaka 20, uchaguzi wa mwenyekiti wa Chadema, ndio unafanyika uchaguzi kweli, hizo chaguzi nyingine zote za mwenyekiti zilikuwaga ni chaguzi zuga tuu!.

Nimeisikia sauti hiyo, wakati nikichangia bandiko hili

Ni kweli Lissu hakuwa kabisa na nia ya kugombea uenyekiti, nia yake ni kutetea umakamo.

Baada ya kutofautiana na Mbowe, Mzee baba akaamua kumflush TL out of Chadema kwa nafasi yake kumpa Wenje, ndipo Lissu akaamua kama mbway na iwe mbway, mmenianza, mimi namaliza!, akaamua kumvaa Mbowe!.

Ni kweli TL amecheza kama Pele ila anajua jinsi wanachama wao walivyo manyumbu, hivyo hawezi kumshinda Mbowe ila atawasumbua, na tena Chadema wawe makini sana, wakileta ujinga wowote, tarehe 21 January hakuna Uchaguzi.

Sauti hiyo haisemi kitatokea nini mpaka uchaguzi usifanyike, na huwezi kuuliza chochote kwenye the voices from within, ni unasikia tuu sauti, inakuambia kitu, haikuambii sababu wala huwezi kuhoji chochote.

Hivyo na mimi nimetimiza wajibu wangu kusema nilichosikia naomba msiniulize chochote ni kusubiri mpaka hiyo tarehe 21, uchaguzi ufanyike, ndipo tuulizane.

Jumapili Njema.

Paskali.
Mzee wa RAMLI CHONGANISHI!!

Uchaguzi upo palepale, Lisu atashinda kwa KURA 785 KATI YA WAJUMBE 1200 .

Conspiracy theory Yako haitafanya kazi!!!

Mbowe atagawa sana hela na Covid 19,na Serikali, mwisho wa siku wajumbe watachagua Lissu kwa maslahi mapana, Mbowe ni Sehemu ya mfumo CCM.
 
Ikiwa TL atashindwa uchaguzi, basi itakuwa final blow kwa CDM lakini pia itakuwa fursa adhimu kwa alternative party / parties kuchukua nafasi ya CDM.
Wenyewe wanakwambia hakuna cha ultimate blow wala out-flow, kwa kuwa eti CDM iko mioyoni mwa Watanzania.

Ngoja tuone; muda ni mwalimu mzuri sana.
 
Mzee wa RAMLI CHONGANISHI!!

Uchaguzi upo palepale, Lisu atashinda kwa KURA 785 KATI YA WAJUMBE 1200 .

Conspiracy theory Yako haitafanya kazi!!!

Mbowe atagawa sana hela na Covid 19,na Serikali, mwisho wa siku wajumbe watachagua Lissu kwa maslahi mapana, Mbowe ni Sehemu ya mfumo CCM.
Mkuu, kama uchaguzi huo ukifanikiwa kufanyika, matokeo ni ya aina moja tu na wala si vinginevyo. ^Kamanda anarudi mzigoni!^

Hata kama wajumbe wote 1200 wangempigia kura TAL, bado kamanda anashinda tena kwa kishindo.

Kamanda hawezi kubaki pembeni akitazama tu huku chama chake alichojenga kwa jasho, damu na rasilimali nyingi kinaelekea kuzamishwa kwa maslahi ya watu fulani fulani. No!
 
Back
Top Bottom