The Voices From Within: Warning kwa Chadema, Be Very Careful, Msifanye Ujinga Wowote!, Mkileta Tuu Ujinga!, Tarehe 21 Jan. Kutakuwa Hakuna Uchaguzi!.

Yanaweza tokea yaliyotokea mwaka 96 kule Tanga kwenye mkutano wa nncr mageuzi

Lyatonga ilibidi ajifiche chini ya mezani
Ccm watapandikiza vurugu wakiwatumia kina ntobi, boni yai n
Ili wapate sababu ya kumbeba mtu wao
Huo ni woga wao tu, mkuu. Uchaguzi utakuwa huru na wa haki, na utafanyika mbele ya kadamnasi la Watanzania. Kila mmoja atashuhudia mchakato wa kumrudisha kamanda mzigoni.

Hii ndiyo nafasi adimu kwa CDM kuifundisha Sisiemu namna ya kuendesha uchaguzi kwa utulivu. Wanasisiemu wakae mkao wa kuandika pwenti za msingi hiyo Tarehe 21 Jan. 2025.
 
Yaani kuruta anamfundisha spesho komandoo majukumu. haha
 
HUu uzi wako leo nimeupenda, hauja pandisha nyuzi juu ya uzi mzee wa ma "link".

Mbowe mtu mbaya sana kwa hatua hii aliyofikia ameamua kufuta mazuri yale yoote ya nyuma na kuizika chadema ukiwa inapumulia mashine
Hamwezi kuielewa dhamira ya FAM kwa sasa. Itawachukuwa muda mrefu sana.

Lazima uwe na akili kubwa ili kujua kwamba ni mbobevu katika medani za siasa na anaona mbali. Angalieni msije kujutia maamuzi ya pupa.
 
Baada ya kutofautiana na Mbowe, Mzee baba akaamua kumflush TL out of Chadema kwa nafasi yake kumpa Wenje, ndipo Lissu akaamua kama mbway na iwe mbway, mmenianza, mimi namaliza!, akaamua kumvaa Mbowe!.
Kumbe TL hana dhamira ya dhati kuongoza chama, ni conflict of interest tu, aisee 😯
Kumbe ndiyo maana anaropoka sana.
 
Sauti hiyo haisemi kitatokea nini mpaka uchaguzi usifanyike,
Wenye akili wanaelewa kitakachotokea siku hiyo na kusababisha uchaguzi usifanyike. Ngumi na makonde yatatembea. Nguo zitachanika, umeme utazimwa, viti na meza zitavunjika. Damu zitamwagika pande hizo mbili (ya Lissu versus ya Mbowe). Ni kama ilivyotokea huko Tanga kwenye mkutano kama huo wa NCCR -Mageuzi enzi za Lyatonga Mrema.

Tundu Lissu pia alishaahidi kufanya kitu kama hicho kwenye uchaguzi mkuu wa serikali wa 2025 kama katiba mpya haitakuwapo. Alishasema bila katiba mpya hakutakuwa na uchaguzi mkuu. Na ili awe na mabavu ya kutekeleza azima hiyo ni lazima awe kwanza Mwenyekiti wa Chadema. Hivyo bila Tundu Lissu kuwa mwenyekiti wa chadema hakutakuwa na huo uchaguzi wa January 2025. No TL no election.
 
Kila mwana CCM,kwa sasa anajifanya mshauri wa siasa za ndani za CDM.Mpaka hiyo January,tutaona mengi sana.
Wana haki hiyo kwakuwa wana mgombea ambaye wana maslahi nae.Wanataka "ashinde" kwakuwa wanajua hawezi kushinda.Ila anaweza "akashinda"!Chunguza matakataka wanaoandika akina Tlahthaah,malaria2,masambwa etc,hutopata shida kujua mgombea wao ni nani
 
Hakuna hilo mkuu, chama ni Taasisi sio Mali ya MBOWE, Lissu will fix, hii haina ubishi, kama Serikali itafanya hujuma ni baada bya Lissu kutangazwa, wahujumu chini yake,bila uchaguzi upo palepale!!!
Hamna mabadiliko, na mshindi ni LISSU.
 
Thanks for your voice from within
 
Kila mwana CCM,kwa sasa anajifanya mshauri wa siasa za ndani za CDM.Mpaka hiyo January,tutaona mengi sana.
Na CDM ndio chama cha Watanzania, ila CCM wanataka kuwaaminisha wananchi kuwa CCM bado inakubalika kumbe wapi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…