Looks like you know Dar quite well. Kwa huo ufafanuzi, naeza linganisha hiyo magomeni na Kangemi hiviAcha tu hawa jamaa ni vilaza tu, magomeni yenyewe sijui wanacompare na Westland nini? Because magomeni ni residential area ambayo bado ina makazi duni ,makazi ya magomeni ni bungalow za kiajabu ajabu, kuna apartments tu kama nne ,mtaa wa idrisaa,mtaa wa mwinyi na mikumi sioni pale kitu cha kumfanya mtu aitaje, magomeni yenyewe haina hata two star hotel hua nashangaa hawa kakazetu sijui akili walizieka wapi.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Dar inafaa ilinganishwe na Mogadishu because both of them hawana roundabouts. Dar ndo inajenga yao ya kwanza.Wakenya wamepanic kwelikweli
Hahahahah kumbe na nyie mna panic hivoo, yaan Magomeni tuu inawatia jambajamba kiasi hiko
Bro tuusan umewaweza hawa majirani, maana hujaenda mbali umewapa Magomeni wanaweweseka hivi, je ungewapa Kijitonyama au Morocco si ndo uzi ungegeuka NBO vs Dar tena!!
Hahahahah
Wakenya eeh, tunaheshimu Westlands bana ndo maana tuusan akasema mbona ni ya kawaida tuu kama Magomeni Hahahah
Sent using Jamii Forums mobile app
Ama hata Bujumbura heheDar inafaa ilinganishwe na Mogadishu because both of them hawana roundabouts. Dar ndo inajenga yao ya kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua hamna Data yakutosha lakini Tazama Hii Video kwa umakini halafu bubujika povu.Wakenya wamepanic kwelikweli
Hahahahah kumbe na nyie mna panic hivoo, yaan Magomeni tuu inawatia jambajamba kiasi hiko
Bro tuusan umewaweza hawa majirani, maana hujaenda mbali umewapa Magomeni wanaweweseka hivi, je ungewapa Kijitonyama au Morocco si ndo uzi ungegeuka NBO vs Dar tena!!
Hahahahah
Wakenya eeh, tunaheshimu Westlands bana ndo maana tuusan akasema mbona ni ya kawaida tuu kama Magomeni Hahahah
Sent using Jamii Forums mobile app
Magomeni huu ndio uchafu mnalinganisha na Westy????Westy ni avic towers ndio inaleta hii maneno yote,nyumba zenyewe hazijaisha[emoji38][emoji38].....the rest hapa Dar zipo wacha nichubue mute
Sent using Jamii Forums mobile app
Why do all houses in Dar have rusty iron sheets? Najua watesema ni kwa sababu iko karibu na bahari but hata Mombasa pia iko karibu na bahari
Umasikini tu kwani hata Miami na Long Beach pia zipo kando yua bahari na huoni rusty rooftops.Why do all houses in Dar have rusty iron sheets? Najua watesema ni kwa sababu iko karibu na bahari but hata Mombasa pia iko karibu na bahari
Utaumia sana kwa wivu ila njaa iko Turkana peke yake sio Kenya.Sa iyo wetland inasaidiaje kuponya njaa na umaskini walonao wakenya
Wetland ndio nini kijana was mazense?Sa iyo wetland inasaidiaje kuponya njaa na umaskini walonao wakenya
Haijakamilika lakini ni ndefu kuiliko zile twin towers sijui pspp/f na TPA
I know Dar in and out, magomeni ni kama buruburu phase one though hainaga structures kama za buruburu.Looks like you know Dar quite well. Kwa huo ufafanuzi, naeza linganisha hiyo magomeni na Kangemi hivi
Hawa wabongo Wanachekesha kweliI know Dar in and out, magomeni ni kama buruburu phase one though hainaga structures kama za buruburu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo Nairobi mnavyoisifia mtaa wa Westland .tuwekeeni na picha za kariobangi, kasarani,kibera na mathare basi hahahahaa