The WESTLANDS district of NAIROBI CITY

Looks like you know Dar quite well. Kwa huo ufafanuzi, naeza linganisha hiyo magomeni na Kangemi hivi
 
Dar inafaa ilinganishwe na Mogadishu because both of them hawana roundabouts. Dar ndo inajenga yao ya kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wenu sindio mnaupigia kifua sana sikuhz...wahabeshi wa NBO

Sent using Jamii Forums mobile app
Najua hamna Data yakutosha lakini Tazama Hii Video kwa umakini halafu bubujika povu.
 
Sa iyo wetland inasaidiaje kuponya njaa na umaskini walonao wakenya
 
Why do all houses in Dar have rusty iron sheets? Najua watesema ni kwa sababu iko karibu na bahari but hata Mombasa pia iko karibu na bahari
Umasikini tu kwani hata Miami na Long Beach pia zipo kando yua bahari na huoni rusty rooftops.
 
Sa iyo wetland inasaidiaje kuponya njaa na umaskini walonao wakenya
Utaumia sana kwa wivu ila njaa iko Turkana peke yake sio Kenya.
 

Attachments

  • 1553764324566.png
    370.8 KB · Views: 25
Hiyo Nairobi mnavyoisifia mtaa wa Westland .tuwekeeni na picha za kariobangi, kasarani,kibera na mathare basi hahahahaa
 
Hiyo Nairobi mnavyoisifia mtaa wa Westland .tuwekeeni na picha za kariobangi, kasarani,kibera na mathare basi hahahahaa

Tihahahhaaaaa. Kwisha... Ukiona mdangagiza anataja kibra au mathare ujue amebanwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…