Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 18,216
- 12,774
Looks like you know Dar quite well. Kwa huo ufafanuzi, naeza linganisha hiyo magomeni na Kangemi hiviAcha tu hawa jamaa ni vilaza tu, magomeni yenyewe sijui wanacompare na Westland nini? Because magomeni ni residential area ambayo bado ina makazi duni ,makazi ya magomeni ni bungalow za kiajabu ajabu, kuna apartments tu kama nne ,mtaa wa idrisaa,mtaa wa mwinyi na mikumi sioni pale kitu cha kumfanya mtu aitaje, magomeni yenyewe haina hata two star hotel hua nashangaa hawa kakazetu sijui akili walizieka wapi.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app