The WESTLANDS district of NAIROBI CITY

The WESTLANDS district of NAIROBI CITY

Af Wakenya bana, Hahahah asa flats kama hizo mbn zimejaa nyingi almost 50% ya kata zote Dar zina flats kama hizo za National Housing Corporation(NHC), JWTZ, POLICE BARRACKS, NEDCO, WHC, NSSF etc hizo flats zimejaa kila kona ya jiji

Af Wakenya wanavyodhani Dar ni isolated city yaan kwamba vitu vingi walivyonavyo Dar hakuna nadhani ni ukosefu wa exposure tuu, mutembee Wakora nyie msing`ang`anie kwny flats za Pipeline ukapanda nganya ukaenda Tao ukazani ume win

You've to wake up and move from uvunguni huko

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenzako alipoitisha picha za kariobangi alidhani kwamba kariobabgi in slum ndio maana akaiweka katika sentensi moja na kibera. Picha ndio hiyo mumeletewa na bado mnaweweseka. Tokeni nje ya mazense mjue kuna life nje ya slums za dar
 
Mwenzako alipoitisha picha za kariobangi alidhani kwamba kariobabgi in slum ndio maana akaiweka katika sentensi moja na kibera. Picha ndio hiyo mumeletewa na bado mnaweweseka. Tokeni nje ya mazense mjue kuna life nje ya slums za dar
Halaf mnajipa tabu kweli, kila comment ya mtu mnataka kujibu kwa mashambulizi

Jamaa aliuliza tuu, vip sehem zingine hizo huwezi ukaleta picha katika sehem alizozitaja majawapo ni Kariobang
Sasa Wakora mkaona sehem hiyo pekee ya kutuma picha


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halaf mnajipa tabu kweli, kila comment ya mtu mnataka kujibu kwa mashambulizi

Jamaa aliuliza tuu, vip sehem zingine hizo huwezi ukaleta picha katika sehem alizozitaja majawapo ni Kariobang
Sasa Wakora mkaona sehem hiyo pekee ya kutuma picha


Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka hata ya kasarani pia tutakuletea. Pale kasarani wewe na wadanganyika wenzako wote hamwezi kuafford kulipa kodi lakini ndani ya akili zenu potovu mndhani ni kama slums za Dar mlizozoea
 
Dar yote ni slums na hizo corrugated iron sheets a k a dream house ndo kabisaa utadhani taka za dampo ukiwauliza utasikia wanasema unplanned settlement,maajabu🤣🤣🤣🤣
 
Watanzania Wenzangu hebu tuwe seriousy katika hili, hata iwe Vipi huwezi kufananisha DSM na NRB wenzetu waKenya mji wao Upo well organized na more developed there is no way tukaweza compete nao BUT DSM nayo inakua kwa speed sana in term of infrastructure..


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Watanzania Wenzangu hebu tuwe seriousy katika hili, hata iwe Vipi huwezi kufananisha DSM na NRB wenzetu waKenya mji wao Upo well organized na more developed there is no way tukaweza compete nao BUT DSM nayo inakua kwa speed sana in term of infrastructure..


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna uzi wa Dar vs NBO mzee, kule ndo kuna mashindano hayo nenda kule kaseme maneno hayo
Mbona hapa hakuna ufananishi wa Dar vs NBO, me naona Wakenya tuu hapa wakisifia eneo mojawapo la NBO liitwalo Westlands
Ko no competition hapa nahisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uzi wa Dar vs NBO mzee, kule ndo kuna mashindano hayo nenda kule kaseme maneno hayo
Mbona hapa hakuna ufananishi wa Dar vs NBO, me naona Wakenya tuu hapa wakisifia eneo mojawapo la NBO liitwalo Westlands
Ko no competition hapa nahisi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamupendi kuambiwa ukweli hata na watanzania wenzenu mijitu nyie
 
Watanzania Wenzangu hebu tuwe seriousy katika hili, hata iwe Vipi huwezi kufananisha DSM na NRB wenzetu waKenya mji wao Upo well organized na more developed there is no way tukaweza compete nao BUT DSM nayo inakua kwa speed sana in term of infrastructure..


Sent from my iPhone using JamiiForums
Asante kwa kuongea ukweli bila ushabiki au uzalendo
 
1553857442627.png
 
Kuna uzi wa Dar vs NBO mzee, kule ndo kuna mashindano hayo nenda kule kaseme maneno hayo
Mbona hapa hakuna ufananishi wa Dar vs NBO, me naona Wakenya tuu hapa wakisifia eneo mojawapo la NBO liitwalo Westlands
Ko no competition hapa nahisi

Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo unaleta ujuaji wa kijinga.. tatizo waTz wengi hatuna exposure..Tembea brother uone Dunia


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Af Wakenya bana, Hahahah asa flats kama hizo mbn zimejaa nyingi almost 50% ya kata zote Dar zina flats kama hizo za National Housing Corporation(NHC), JWTZ, POLICE BARRACKS, NEDCO, WHC, NSSF etc hizo flats zimejaa kila kona ya jiji

Af Wakenya wanavyodhani Dar ni isolated city yaan kwamba vitu vingi walivyonavyo Dar hakuna nadhani ni ukosefu wa exposure tuu, mutembee Wakora nyie msing`ang`anie kwny flats za Pipeline ukapanda nganya ukaenda Tao ukazani ume win

You've to wake up and move from uvunguni huko

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE[ Tofauti ni kwamba majumba yote makubwa Dar ni ya umma /ya kiserikali . Nairobi ina majumba mengi makubwa ya private sector ,Hii Westlands district is 99% private sector development.
 
sanlam-westlands-nairobi-jpg.1138907
1138910
1138911
1138912
1138913
1138914
1138915
1138919
1138934
1138935
1138936
1138937
kempinski-westlands-jpg.1138938
1138945
1138946
1138947
1138948
1138949
the-sarit-centre-westlands-jpg.1138950
1138951
 

Attachments

  • sanlam westlands nairobi.jpg
    sanlam westlands nairobi.jpg
    144.8 KB · Views: 40
  • kempinski westlands.jpg
    kempinski westlands.jpg
    197 KB · Views: 38
  • The-Sarit-Centre westlands.jpg
    The-Sarit-Centre westlands.jpg
    99.7 KB · Views: 37
Back
Top Bottom